Ukumbi wa Papa: Ndiyo Utambulisho wa yule Nyoka wa Eden?






unaona nini hapa mkuu sio snake kweli????
 
Mbona sioni picha yoyote ya nyoka?au umbo lolote la nyoka....ENDELEA kuamin kile unachoamin kwa kuwa AKILI imeamua uamin hivyo..
 
Uko sahihi na ndio maana comment yangu haija unga mkono HOJA ya hu UZI na wala sijapinga cause katika ku dig out inategemea sources zako ulizitumia; mfano kuna hili la Martin Luther ambaye ndiye mwinzlishi wa Lutheran; ukisoma historia yake kupitia vitabu vya wa protestant utagundua kitu tofauti na ukisoma historia yake kupitia kwa Wakatoliki, now the thing is, mtu anaezungumziwa ni mmoja why historia yake isemwe tofauti?

So it depends na sources zako and this si why nilizungumza habari za somo hili la HISTORIA; unadhani hi ya mama Ndalichako kuhusu Historia ya nchi yetu ambayo wanataka tuanze kufunza watoto wetu inaweza kua sahihi sana? Lazima kuna vitu vitaingizwa ili tu kumpendeza mtu fulani, utashangaa hata mfumo wa vyama vingi utakavyo chakachuliwa ilihali wakati unaanza wengine tulikuwepo na tunazo kumbukumbu zote, nimetolea mfano wa mapinduzi ya ZANZIBAR, tulicho funzwa shuleni ni tofauti kabisa na ukiwasoma akina Visran Khasam, historia, historia, historia.
 
Na wasabato je?,Mna Hadi Biblia zinaitwa Biblia za Watoto.Jinga kabisa nyie
 
Vipi kuhusu Ellen White kuwa nabii wenu?, Imeandikwa wapi katika Biblia?.
 
Hakuna dini iliyo sahihi ni vikundi kwa ajili ya maslahi ya watu fulani.
 
Vipi kuhusu Ellen White kuwa nabii wenu?, Imeandikwa wapi katika Biblia?.
Sijui kwanini huaga mnadhania kila anae andika kuhusu RC hua mnadhania ni MSABATO; now to answer your question ni kwamba huyo mtu (Hellen G. White ) namchulia kama nabii wa UONGO kama walivyo manabii wengine wa UONGO. Una swali lingine?
 
Sijui kwanini huaga mnadhania kila anae andika kuhusu RC hua mnadhania ni MSABATO; now to answer your question ni kwamba huyo mtu (Hellen G. White ) namchulia kama nabii wa UONGO kama walivyo manabii wengine wa UONGO. Una swali lingine?
Ndiyo.Wewe unaabudu Kanisa gani??
 
[emoji1635][emoji1635]
 
Nauliza mkuu.
Ndio hivyo, mie sio Msabato na wala sina ndugu hata mmoja ambe ni Msabato; chimbuko langu la KIDINI ni RC, kua kwenye chimbuko hilo hakunifanyi nisihoji chochote ingawa pia kwenye hu uzi hakuna sehemu nimelisema vibaya thehebu hili, nimeonesha upande wa pili ninao ujua through michango ya watu kama 2 hivi.
 
Tazama muonekano wa majengo ya UDOM kisha unipe tafsiri yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…