Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dùuuuuuuuùu, hadi nyangumi alishapanda, it's more than dangerous
VITA [emoji125][emoji125][emoji125]!! Hii vita inanikumbusha Mtukula VITA ya Nduli AMINI, haliilivyozidi kua mbaya, mapambano ya usiku ilibidi tulale kwenye MIILI kumi na sita iliyo haribiwa na mabomu miili ya asikari wa Uganda tulilala mpaka alfajiri ndio tukaanza kuteleza mmoja mmoja taratibu, USIOMBEE isikie tu kama ninavyo elezewa!!
Ni Othodox inami ya kale ya inakaribiana na imani ya kiyahudi na wengi wa Warusi pia wanamwingilianona.Waisrael!Ni Mkatoliki?
Ndiyo maana wana akili sanaNi Othodox inami ya kale ya inakaribiana na imani ya kiyahudi na wengi wa Warusi pia wanamwingilianona.Waisrael!
Akina Nani hao unauliza kama wamemshindwa?Huyu muuaji wamemshindwa kweli?
Hahaha jamaa ni dizain ya wale watu wakati wakifanya maamuzi magumu akili zao wanazifungiaga kabatini.Dùuuuuuuuùu, hadi nyangumi alishapanda, it's more than dangerous
afu inaonekana ni kafupi.Wadau wenzangu wa ejukwaa la JF aliye na picha yoyote rasmi ya Mheshimiwa Putin anaruhusiwa kuiweka hapa
Karibuni
View attachment 2130818
View attachment 2130820
View attachment 2130821
View attachment 2130823
View attachment 2130824
View attachment 2130825
View attachment 2130827
View attachment 2130828
View attachment 2130829
View attachment 2130830
Asante, Aisee umenikukumbusha tulivyokuwa tunawafundisha kuchimba handaki la familia na handaki la kawaida, unakuta unakurupushwa huko unakimbia handaki litakalo kuwa mbeleyako basi ni halali yako unazama unaskilizia ikiwashari unadonga[emoji1787][emoji1787]Aisee Poleni sana, vita isikie kwa mwingine, mwaka huo nilikuwa mdogo na nilikuwa naishi Mbezi Luis kulikuwa hakujajengeka kama sasa hivi ni Giza tupu na nyumbani kulipandwa migomba basi migomba ikitingishika na upepo naona kama wanajeshi wa Idd Amin[emoji31][emoji31] Ndege ikipita angani hasa usiku nakimbia ndani kujificha[emoji23][emoji23][emoji23]nina shangazi yangu anaishi Bukoba anasema walikuwa wanalala kwenye maandaki kila nyumba ilifundishwa jinsi ya kuchimba maandaki.
Jamaa nachomkubalia hataki ushoga kabisaNdio au ni orthodox
Marekani na UlayaAkina Nani hao unauliza kama wamemshindwa?