Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Ukurasa wa Serikali 'Tanzania Government' uliotumika kutangaza kutafutwa Kigogo2014, wafutwa

Una uhakika ni ya serikali? Ulishaingia kwa hiyo account kabla au baada ya hiyo post??
Dah nchi hii inahitaji ukombozi, koo wanaweza ku verified account ya parody kwa jina la nchi ? "Tanzania Government"

Kuwa na matumizi ya elimu yako mkubwa
 
Kigogo hakamatiki! Kangi Lugola alijiapiza, lakini mpaka anatumbuliwa na bosi wake, alishindwa kumtia mikononi!

Dawa sahihi ni kwa serikali mpya kukibali tu kubadilika. Rais avunje Baraza la Mawaziri. Airudishe Nchi katika misingi sahihi ya kiutawala, na mwisho wa siku huyo Kigogo atapoteza mashabiki na kupotea kabisa.
Kifupi raisi awaache watu wale bila bugudha.
 
Kifupi raisi awaache watu wale bila bugudha.
Mbona hata aliyepita aliwabana tu wale ambao hawakuwa wa upande wake? Vipi akina Makonda alio watangaza hadharani kutaka kukwepa kodi? Aliwachukulia hatua gani?

Kangi Lugola na yule mwenzake wa Zima Moto nao aliwatangaza hadharani kutaka kupiga hela kupitia mkataba tata wa mabilioni ya shilingi! Hatua gani zilichukuliwa?

Jambo la msingi hapa ni kuimarishwa tu kwa mifumo yetu ya kimahakama, na pia kupunguza kulimbikiza mamlaka/madaraka kwa mtu mmoja tu, ambaye ni Rais wa nchi.
 
Mzee yule sio watu wengi ni mmoja tu kama unabisha nenda kamuulize kuhusu MANCITY .

Haiwezekani taasisi nzima ishabikie team moja boss
Kwa mimi naona ni mmoja ila taarifa anapokea kwa watu tofauti tofauti ambao ni spy wake🚶🚶
 
Back
Top Bottom