Hayo ni mawazo ya kukariri ndugu,ipo miradi mingi tena ya ndani na inaweza rejesha pesa na faida tele,omba ueleweshwe usijifungie kwenye box si wote tunalingana ufahamu sema wengi hawapo kwenye level ya maamuzi lakini Wana fikra pana zaidi.Usingeuliza umeme wa nini kwenye kilimo ningeona ww unauelewa mpana ila umesinyaa akili kwa kuwaza unapoishia kuona hakuna mradi wowote unaorudisha hela kwa haraka usijidanganye ka kaakili kako ka ngedere