Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Usingeuliza umeme wa nini kwenye kilimo ningeona ww unauelewa mpana ila umesinyaa akili kwa kuwaza unapoishia kuona hakuna mradi wowote unaorudisha hela kwa haraka usijidanganye ka kaakili kako ka ngedere
Hayo ni mawazo ya kukariri ndugu,ipo miradi mingi tena ya ndani na inaweza rejesha pesa na faida tele,omba ueleweshwe usijifungie kwenye box si wote tunalingana ufahamu sema wengi hawapo kwenye level ya maamuzi lakini Wana fikra pana zaidi.
 
Hawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
Tukubaliane kuto kubaliana.
Wanao ona katimiza wajibu wake kwa ufanisi mkubwa ,wabaki na msimamo wao . Wanao amni aliboronga wabakie hivyo.

Bahati mbaya upande mmoja hauna hoja zaidi ya kebehi na matusi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unazingua kiukweli
Hayo ni mawazo ya kukariri ndugu,ipo miradi mingi tena ya ndani na inaweza rejesha pesa na faida tele,omba ueleweshwe usijifungie kwenye box si wote tunalingana ufahamu sema wengi hawapo kwenye level ya maamuzi lakini Wana fikra pana zaidi.
 
Umeme wa kutegemea maji sio chanzo pekee cha umeme
Maji ndio cheap way ya umeme na salama ata kama usingetosha ila sisi tulitakiwa tuwe na vyanzo vingi vya umeme wa maji na tuvune umeme mwingi wa maji kuliko nchi zote Africa
NB: Netherlands wanavuna umeme kwa mawimbi ya bahari em fikilia apo af useme sio wakutegemea
 
Maji ndio cheap way ya umeme na salama ata kama usingetosha ila sisi tulitakiwa tuwe na vyanzo vingi vya umeme wa maji na tuvune umeme mwingi wa maji kuliko nchi zote Africa
NB: Netherlands wanavuna umeme kwa mawimbi ya bahari em fikilia apo af useme sio wakutegemea
Mvua zimeenda na Magu,ipo haja ya kubuni vyanzo hakika vingine pia
 
Back
Top Bottom