Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ngano tunategemea ya Ukraine na Russia unadhani wanalimia mikono?
Yani ungekataa vyote ila apo kwenye umeme wa Nini mkuu umefeli sana futa kauli yako kabisa Yani ata wenzako wasio mpenda magu hawato kuunga mkono
Watu kama hawa si wanafuata mkumbo kusikia magu anachukiwa basi nao wanamalizia hasira za umaskini wao hapo kila mmoja ana mapungufu yake magu alizingua kwa upande fulani na nikawaida kwa viongozi wa afrika panapostahili pongezi apewe anapozingua aambiwe kama mama yetu anapenda kusifiwa kwakua ni binadamu na ana mapungufu yake pia
 
Chawa wa Samia

Kuna Mu Iran mmoja yuko uhamishoni Canada. Alikuwa ndugu wa ufalme na mwana usalama kabla hajakimbia alipokosana nao.

Anasema kwenye documentary ya NETFLIX kwamba serikalini Iran wana ofisi ya IT kazi yake ni kutuma maelfu na maelfu ya ma post ya kuupamba utawala, na kupinga wakosoaji, na wanayatuma kana kwamba kuna watu weeengi wanaunga mkono utawala. Kama hicho kitengo hakipo serikalini URT basi kipo CCM, I bet everything I have on this.
Sio kitengo tu na mapopoma kibao wanatofautiana misimu tu kipindi cha jpm walikuepo waliosifia hadi ujinga unaotuumiza na hivyo hivyo serikali hii pia wapo kusifia hata visivyofaa kusifiwa ila mwisho wa uongozi utaona wanaibuka wengine wa kumsifia na wengine watamponda
 
Ugumu wa maisha unaendelea mtaani kwa wengi yeye ndie chanzo kwa kupeleka pesa nyingi Sana kwenye miradi. Na miradi yote imepeleka pesa nje kwenye nchi zao kununua vifaa vya miradi.

Pesa zote zile zingebakia nchini kuchochea uzalishaji kupitia nguvu Kazi ya ndani, maisha yasingekuwa magumu kiasi hiki.
Na hizi pesa mnazokopa kila siku mnapeleka wapi? Kama hamtakaa mkafikiria mtalalamika wee mpaka kiporo kinaisha 2025 hii hapa.
 
Magufuli alisema tutamkumbuka na in kweli tunazidi kukukumbuka.mama nchi imemshinda anachojua ni kupokea vi PhD uchwara tu
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Jizi kazini.
hata uibe vipi utaliwa na funza tu
 
Nchi ilikuwa katika laana:

Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
Umekaribia kuzaaaa tu mimba ya marehemu
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Tumieni hizo phD mlizopata kutatua changamoto za Watanzania.
 
Tafuta pesa na ununue generator na uchimbe kisima, achana na habari za kumlilIa mungu wako wa mchongo aka Jiwe
Ondoka hapo nyumban kwa shemejibalikoolewa dadako ndio utajua umuhimu wa umeme
 
Acha jazba sukuma gang, dhalimu alikuwa sio.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jaziba zipi sasa?

Nyie watu mliobutuliwa na Magufuli mna tabu kweli!

Mtaishi kwa stress mpaka lini?
 
We nae punguwani kabisa. Ndiyo umeandika maujinga gani haya?

Aliyesabasha ndege ikamatwe ni jpm wako aliyekurupuka kuvunja mkataba 2016. Huu ndiyo ukweli!
Akili yako ni mazagazaga kama lilivyo jina lako
 
Bado kesi za walioporwa mali zao baada ya Azimio la Arusha na Mapinduzi ya Zanzibar zitakuja tu siku moja.

Haiwezekani, kipindi hicho katiba haikutambua haki za binadamu. Ndio maana wengi walishindwa kufungua kesi dhidi ya serikali.
 
Yule alikuwa hamna kitu
Kwani Magufuli ndiyo aliye sign hiyo mikataba ya kiunyonyaji!!? Tena Magu alifanya vizuri sana kuivunja angalau na sisi tumejua kumbe kuna watu wali sign mikataba ya hovyo sana hadi kesho itaendelea kuligharimu Taifa!!
 
Na hizi pesa mnazokopa kila siku mnapeleka wapi? Kama hamtakaa mkafikiria mtalalamika wee mpaka kiporo kinaisha 2025 hii hapa.
Mikopo ni biashara za watawala kutakatishia kodi zetu,wao ukopa kupata 10% wataondoka madarakani mzigo watabeba walipa kodi
 
Ngano tunategemea ya Ukraine na Russia unadhani wanalimia mikono?
Yani ungekataa vyote ila apo kwenye umeme wa Nini mkuu umefeli sana futa kauli yako kabisa Yani ata wenzako wasio mpenda magu hawato kuunga mkono
Nani kasema kilimo ni cha mkono.
 
Aisee
20221202_074328.jpg
 
Back
Top Bottom