Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kat ya wewe na yeye nani mwenda wazimu unawajua worldometer wamehesabu adi madini ardhini akati mengine hayajahesabiwa nchi zote znahesabu Mali zake sema Kwa akili yako unazani ni kama sensa wanavohesabu huwazi kwanini Kuna chuo Cha takwimu? Kuna mbinu za kuhesabu ko wewe APo ndo mjinga sasaKusema ule ukweli kabisa na Mungu ananiona Magufuli alifaa kuwa Afisa Mifugo pengine wa Wilaya au hata Mkoa.
Hakufaa kabisa kuwa Raisi wala Waziri Mkuu wa Taifa letu teule Kisiwa cha Amani kwenye Bahari ya Vita.
Mimi nilisemaga iadaliwe "Kamba" aliposema anajua idadi ya Samaki kwenye Bahari ya Hindi huku akipigiwa makofi na Wagonjwa wenzake wa Akili akiwemo Spika wa wakati huo "mwenye file Mirembe"hapo nilishtuka sana.
Na sasa yeye kajiua katuachia madeni yasiyolipika.
Hebu kwanza tujikite kwenye Samaki,samaki ni Viumbe hai wanaohamahama kwenye open ocean kama Sardines unawahesabuje ndugu huenda mimi ndio chizi.hayajahesabiwa nchi zote znahesabu Mali zake sema Kwa akili yako
hawahesabu mmoja baada ya mwingine ila hua yanafanyika makadilio maalum nchi zote Duniani zinaizo takwimu kama worldometer wanajua idadi ya watu wote wanaozaliwa na kufa kila sekunde na ndio juzi wakafanya Dunia iseme tupo 8B unazani wanahexabu vipiHebu kwanza tujikite kwenye Samaki,samaki ni Viumbe hai wanaohamahama kwenye open ocean kama Sardines unawahesabuje ndugu huenda mimi ndio chizi.
Usinihamishie kwenye Watu kuna Sensa na records turudi kwenye samaki wanaohama na kuna aina nyingi za Samaki Baharini wakiwemo deep ocean creatures kuna Kasa kuna Mabilioni ya Planctons hiyo idadi ameitumia njia gani kuipata?Ndio maana nkasema Kuna chuo Cha takwimu hawahesa
hawahesabu mmoja baada ya mwingine ila hua yanafanyika makadilio maalum nchi zote Duniani zinaizo takwimu kama worldometer wanajua idadi ya watu wote wanaozaliwa na kufa kila sekunde na ndio juzi wakafanya Dunia iseme tupo 8B unazani wanahexabu vipi
huyu ndio hamna kitu kabisaYule alikuwa hamna kitu
Wewe inaonekana ni mtu fake. Hujui hata kinachojadiliwa.Ulivyo laanika wewe na ukoo wako unafikiri ni nchi nzima?
Hakuna aliye mkamilifu lakini kuna uovu unavuka mipaka ya ubinadamu, unaingia kwenye ushetani. MtuIshi na watu vizuri uone kama ukiondoka watakusema vibaya, kwani Mkapa au Nyerere hawajawahi kutawala nchi hii? Au wao hawakuwa na makosa, lakini hawasemwi kwasababu makosa yao ni kidogo kuliko mema yao, njoo kwa yule alikuwa anajiita kichaa sasa
Sijui mwaka huu watamtuma nani kwenda kuikomboaTangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Bunge fakeNchi ilikuwa katika laana:
Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
Umesahau Nduli Jiwe alikuwa natembea na maburunguti ya mipesa za wizi nakugawanya kwa makada nani anaweza kusahauWewe tafuta hela acha kulia lia hapa! Lini serkali inagawa hela! Sema tu serkali ya bibi yenu haijui inachofanya!
Alikuwa janga hata kwa baba yako!Alikuwa janga kwa ukoo wako siyo taifa
Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie
[emoji706]kivuko cha mv bagamoyo
kituo cha mafuta mwanza
meli ya uvuvi ya wachina
kuunganisha mifuko ya kijamii
kubomoa jengo la TANESCO ubungo
Punguza utoto dogo.Hili nalo ni soga lingine Lina ujauzito wa Jpm mtatosha tu mpaka muite mamaaa
Wewe unamsongo wa mawazo sio bure.Wewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.
Safi sana! Huyo ndio rais sasa!
Siyo hawa pimbi wa sasa hivi wanaoshauriwa na kina Makamba na Nape
Msitufanye wajinga, kwanza huu uzi wa nini wakati uzi wenyewe upo? Umeshindwa kukomenti kule? Same project against one dead person!Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
We nae punguwani kabisa. Ndiyo umeandika maujinga gani haya?Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie