Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Mtu anae ikosoa ccm Yuko sahii ila anaemkosoa magufuri ni chuki 2 sawa ametia hasara ila ila ukilinganisha na walio tangulia na alie fatia yeye ni Bora mara 100
 
Kusema ule ukweli kabisa na Mungu ananiona Magufuli alifaa kuwa Afisa Mifugo pengine wa Wilaya au hata Mkoa.

Hakufaa kabisa kuwa Raisi wala Waziri Mkuu wa Taifa letu teule Kisiwa cha Amani kwenye Bahari ya Vita.

Mimi nilisemaga iadaliwe "Kamba" aliposema anajua idadi ya Samaki kwenye Bahari ya Hindi huku akipigiwa makofi na Wagonjwa wenzake wa Akili akiwemo Spika wa wakati huo "mwenye file Mirembe"hapo nilishtuka sana.

Na sasa yeye kajiua katuachia madeni yasiyolipika.
Kat ya wewe na yeye nani mwenda wazimu unawajua worldometer wamehesabu adi madini ardhini akati mengine hayajahesabiwa nchi zote znahesabu Mali zake sema Kwa akili yako unazani ni kama sensa wanavohesabu huwazi kwanini Kuna chuo Cha takwimu? Kuna mbinu za kuhesabu ko wewe APo ndo mjinga sasa
 
hayajahesabiwa nchi zote znahesabu Mali zake sema Kwa akili yako
Hebu kwanza tujikite kwenye Samaki,samaki ni Viumbe hai wanaohamahama kwenye open ocean kama Sardines unawahesabuje ndugu huenda mimi ndio chizi.
 
Ndio maana nkasema Kuna chuo Cha takwimu hawahesa
Hebu kwanza tujikite kwenye Samaki,samaki ni Viumbe hai wanaohamahama kwenye open ocean kama Sardines unawahesabuje ndugu huenda mimi ndio chizi.
hawahesabu mmoja baada ya mwingine ila hua yanafanyika makadilio maalum nchi zote Duniani zinaizo takwimu kama worldometer wanajua idadi ya watu wote wanaozaliwa na kufa kila sekunde na ndio juzi wakafanya Dunia iseme tupo 8B unazani wanahexabu vipi
 
Ndio maana nkasema Kuna chuo Cha takwimu hawahesa
hawahesabu mmoja baada ya mwingine ila hua yanafanyika makadilio maalum nchi zote Duniani zinaizo takwimu kama worldometer wanajua idadi ya watu wote wanaozaliwa na kufa kila sekunde na ndio juzi wakafanya Dunia iseme tupo 8B unazani wanahexabu vipi
Usinihamishie kwenye Watu kuna Sensa na records turudi kwenye samaki wanaohama na kuna aina nyingi za Samaki Baharini wakiwemo deep ocean creatures kuna Kasa kuna Mabilioni ya Planctons hiyo idadi ameitumia njia gani kuipata?
 
Ishi na watu vizuri uone kama ukiondoka watakusema vibaya, kwani Mkapa au Nyerere hawajawahi kutawala nchi hii? Au wao hawakuwa na makosa, lakini hawasemwi kwasababu makosa yao ni kidogo kuliko mema yao, njoo kwa yule alikuwa anajiita kichaa sasa
Hakuna aliye mkamilifu lakini kuna uovu unavuka mipaka ya ubinadamu, unaingia kwenye ushetani. Mtu

1) kuwaua wenzake, hatuwezi kusema ni mapungufu ya kibinadamu, huo ni ushetani

2) kuwateka na kuwapoteza binadamu wenzake, huo ni ushetani

3) kuwabambikia kesi wenzake za uhujumu uchumi, na kisha kuwapora pesa zao, na kuwatesa kila wanaohoji uovu wako, huo ni uharamia.

Matendo kama haya, yanamwondoa mtu kuwa na sifa za binadamu. Unakuwa shetani.

Tulikuwa na Rais aliyekosa sifa za ubinadamu, achilia mbali uongozi.
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Sijui mwaka huu watamtuma nani kwenda kuikomboa
 
Nchi ilikuwa katika laana:

Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
Bunge fake
 
Wewe tafuta hela acha kulia lia hapa! Lini serkali inagawa hela! Sema tu serkali ya bibi yenu haijui inachofanya!
Umesahau Nduli Jiwe alikuwa natembea na maburunguti ya mipesa za wizi nakugawanya kwa makada nani anaweza kusahau
 
Waliosaini hio Mikataba ya Ajabu na wanaondelea Kusaini hio Mikataba wao lawama zao ziende wapi au tutawapa lini hizo Lawama ?!!
 
Wewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.
Wewe unamsongo wa mawazo sio bure.
Kama hukuwa mwizi awamu ya tano basi wewe nicheti feki.
Hiyo comment yako inaonyesha jinsi ulivyo mweupe kichwani, hunatofauti na mlevi,punguza hasira akili zitakurudia taratibu.
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Msitufanye wajinga, kwanza huu uzi wa nini wakati uzi wenyewe upo? Umeshindwa kukomenti kule? Same project against one dead person!
 
Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!

Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?

Mataahira nyie
We nae punguwani kabisa. Ndiyo umeandika maujinga gani haya?

Aliyesabasha ndege ikamatwe ni jpm wako aliyekurupuka kuvunja mkataba 2016. Huu ndiyo ukweli!
 
Back
Top Bottom