Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Alikuwa janga kwa ukoo wako siyo taifaMagufuli alikuwa janga la Taifa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa janga kwa ukoo wako siyo taifaMagufuli alikuwa janga la Taifa!
Na huyu mamako anaeupiga mwingi yeye vipi?Magufuli alikuwa sehemu ya serikali tangu mwaka 1995, ni mmoja wa walioingia mkataba
Mimi nasema moto uendelee huko kuzimuHarafu Kuna kenge maji,punda wa dobi,hutaka tumuone Jiwe kama mzalendo,
Kweli hadi kaleta umeme na maji ya mgao.JPM alikuwa mtu wa hovyo sana, hovyo kabisa
Wewe ni nani hadi awe ni laana ya taifa? Shida ya hili taifa unahisi chanzo chake ni JPM?Sasa matatizo yaliyopo hutaki watu wazungumzie chanzo? Jiwe alikuwa laana kwa taifa
Anaweza asiwe yeye pekee lakini yeye anamchango mkubwa sana kwenye kubaribu hii nchiWewe ni nani hadi awe ni laana ya taifa? Shida ya hili taifa unahisi chanzo chake ni JPM?
Nchi mbovu toka zamani, na bora hata JPM alikuwa anataka kuweka mfumo mpya kuona kama ungeleta tija.. Ila hawana wengine wanapita mle mle kubovu kwa miaka yote.Anaweza asiwe yeye pekee lakini yeye anamchango mkubwa sana kwenye kubaribu hii nchi
Tafuta pesa na ununue generator na uchimbe kisima, achana na habari za kumlilIa mungu wako wa mchongo aka JiweMaji na umeme kututesa ni matokeo ya hao mapimbi wako kushauriwa na kina Makamba na Nape
Kweli CCM imetutesa miaka mingi lakini Jiwe ndani ya miaka mitano kazidi mateso ya CCM ya miaka nenda rudi ndiyo maana Mungu akamwondosha haraka sana...mungu wako ni mjinga sana, ccm itawatesa miaka mingi sana
Ningetekwa tu, it was just a matter of time. Sema kwa upendo mkuu wa Mungu akatuondolea kadhia ileKama wewe hukutekwa basi jiwe hakufanya kazi yake ipasavyo
Let's assume ni kweli, wewe hapo unakuwa umeumizwa au kuwashwa wapi?
Viva JPMNchi mbovu toka zamani, na bora hata JPM alikuwa anataka kuweka mfumo mpya kuona kama ungeleta tija.. Ila hawana wengine wanapita mle mle kubovu kwa miaka yote.
Hawa unawazungumzia akina Nani? Mimi sio sehemu ya utawala wa Sasa na huwa naukosoa pia
Viongozi wetu waliopo na waliopita lazima wajadiliwe, kwa mazuri au mabaya, mtake msitake
Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie