Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ila nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
Sasa mwekezaji gani angekuja kipindi cha utawala wa giza usiofata sheria? Wawekezaji karibu wotw walisepa ila kwa sasa Mama anajaribu kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji. Pia punguza munkali na kulia lia bila sababu. Nchi gani watu wanaokota pesa? Kuwa serious wakati mwingine
 
We have to move forward tuache Gubu.

JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.

Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.

Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
 
We have to move forward tuache Gubu.

JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.

Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.

Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
Kwa ambao hakuwagusa mnaimba na kusifu
 
Kwani huyo Magufuli ndie anayeendelea kuwafanya hawa wa sasa washindwe kulipa hicho tunachodaiwa?

Magufuli alikuwa sehemu ya tatizo ambaye alishapita, CCM kiini cha tatizo bado tunayo, badala ya kuhangaika na kiini cha tatizo, mnahangaika na sehemu ya tatizo ambayo ilishapita, ajabu kutwa kujiita GT wa JF!.

Pesa nyingi za walipa kodi huwa zinachezewa na serikali ya CCM, hasa ripoti za CAG hutuonesha na wahusika hawachukuliwi hatua zozote.

Kwanini wasitoe sehemu ya hizo pesa wanazochezea wakalipe hayo madeni badala ya kuacha pesa nyingi ziishie kwenye matumbo ya wachache kila mwaka?

Kama wewe na wenzio mnamuona Magufuli alikuwa ni tatizo, kwangu CCM na serikali yake inayowalinda wezi ni tatizo kubwa zaidi.

Hawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
 
Nchi ilikuwa katika laana:

Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
CCM ako kutafuta mtu wa kumbebesha mzigo ili waonekane wanaupiga mwingi, no wonder uwezo wako wa kufikiri umeshindwa kugundua hili. JPM aliwahi kulaumu serikali kushindwa kwenye kesi zake, unajua ni kwa nini? Majizi ya CCM ndo yanatengeneza hizo kesi na kupiga pesa. Mchawi ni yule uliye naye wala siye aliyefariki
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Hata ndege yetu imeshikiliwa Tena kwa makosa ya kukurupuka ya kufuta Mkataba wa mwekezaji wa miwa kule Morogoro
 
Back
Top Bottom