whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Ndio.Kwa hiyo sas hivi kimepanda kitu gani?
Yani unapandisha elfu 20
Alafu gaharama za maisha zinapanda kwa 200% kisha mnashangilia?
Si mataahira nyie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio.Kwa hiyo sas hivi kimepanda kitu gani?
Yani unapandisha elfu 20
Alafu gaharama za maisha zinapanda kwa 200% kisha mnashangilia?
Si mataahira nyie?
Sasa mwekezaji gani angekuja kipindi cha utawala wa giza usiofata sheria? Wawekezaji karibu wotw walisepa ila kwa sasa Mama anajaribu kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji. Pia punguza munkali na kulia lia bila sababu. Nchi gani watu wanaokota pesa? Kuwa serious wakati mwingineIla nyinyi vyeti feki mna shida sana! Sasa Samia akaingia vipi siku hizi mnaokota pesa? Maana nijuavyo mimi hakuna mwekezaji makini anaweza kuja kwenye nchi isiyo na umeme! Mnajificha kweney kivuli cha JPM huku watu wanajua uwezo wenu kuongoza nchi ni zero!
Kwa ambao hakuwagusa mnaimba na kusifuWe have to move forward tuache Gubu.
JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.
Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.
Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
mpwa tafuta helaUsione aibu kuja kuomba kibarua utakufa njaa bure wewe kiazi
Sijaipotezampwa tafuta hela
Let's assume ni kweli, wewe hapo unakuwa umeumizwa au kuwashwa wapi?Mtu mmoja na id zake 20 aiseee unaanzisha uzi na kujijibu
Kwani huyo Magufuli ndie anayeendelea kuwafanya hawa wa sasa washindwe kulipa hicho tunachodaiwa?
Magufuli alikuwa sehemu ya tatizo ambaye alishapita, CCM kiini cha tatizo bado tunayo, badala ya kuhangaika na kiini cha tatizo, mnahangaika na sehemu ya tatizo ambayo ilishapita, ajabu kutwa kujiita GT wa JF!.
Pesa nyingi za walipa kodi huwa zinachezewa na serikali ya CCM, hasa ripoti za CAG hutuonesha na wahusika hawachukuliwi hatua zozote.
Kwanini wasitoe sehemu ya hizo pesa wanazochezea wakalipe hayo madeni badala ya kuacha pesa nyingi ziishie kwenye matumbo ya wachache kila mwaka?
Kama wewe na wenzio mnamuona Magufuli alikuwa ni tatizo, kwangu CCM na serikali yake inayowalinda wezi ni tatizo kubwa zaidi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nchi ilikuwa katika laana:
Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
tuliaSijaipoteza
Sasa na hoja zake wapi na wapi? Kila mkiambiwa ukweli juu ya yule mwovu mnajificha kwenye vyeti fake mara madawa ya kulevya mara mimba yaani vuru vuru lakini haibadili ukweli kuwa yule ailkuwa muovu kuliko mtu yeyote nchiniUnamimba ya magufuli?
Mimi naona kumuondoa yule dhalimu na one step kuelekea kuitoa CCM, ila yule alikuwa balaa sana mpaka Mungu akaona bora aanza kumwondoa Jiwe kabla ya CCM.mungu wako mbona hakuondolei ccm?
Sasa hivi watu wako huru kufanya na kusema chochote bila wasiwasi wa kutekwa au kuuwawaUnaonaje sasa hivi inavyoelekea peponi kwa kasi ya ajabu!
Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie
Jibu hoja hapo, yaan nchi ilitamalaki kwenye ufeki tuUlivyo laanika wewe na ukoo wako unafikiri ni nchi nzima?
Nyie misukule ya mama ndio mna adabu?
Tena matahira namba moja.Mwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie
Hata ndege yetu imeshikiliwa Tena kwa makosa ya kukurupuka ya kufuta Mkataba wa mwekezaji wa miwa kule MorogoroTangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com