Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Ukurupukaji wa Hayati Magufuli unavyozidi kuligharimu taifa hata baada ya kifo chake

Choo cha Sink safi kabisa mnakiona, naona mnaenda kujisaidia Machakani.
 
Safi sana! Huyo ndio rais sasa!

Siyo hawa pimbi wa sasa hivi wanaoshauriwa na kina Makamba na Nape
Ambae hashauriwi yuko wapi sasa? Maana hata kwenye Corona alikataa ushauri wa wataalamu akaleta za kujua eti papai lina Corona na nyie misukule mkashangilia, Corona ikapita naye sasa yuke peke yake kaburi nyie misukule mko huku mnateseka na maji na umeme
 
We have to move forward tuache Gubu.

JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.

Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.

Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
Hakuna wa kumsimanga, ila ni matendo yake ndiyo yanazungumziwa hapa, kama kusema matendo ya mtu aliyekuwa Rais ni kumsimanga basi acha asimangwe tu
 
Hawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
Yaani ufanye upumbavu na uovu then utegemee watu wakae kimya tu kama misukule? Labda nchi nzima ingekuwa na watu kama wew au Crimea
 
CCM ako kutafuta mtu wa kumbebesha mzigo ili waonekane wanaupiga mwingi, no wonder uwezo wako wa kufikiri umeshindwa kugundua hili. JPM aliwahi kulaumu serikali kushindwa kwenye kesi zake, unajua ni kwa nini? Majizi ya CCM ndo yanatengeneza hizo kesi na kupiga pesa. Mchawi ni yule uliye naye wala siye aliyefariki
Ishi na watu vizuri uone kama ukiondoka watakusema vibaya, kwani Mkapa au Nyerere hawajawahi kutawala nchi hii? Au wao hawakuwa na makosa, lakini hawasemwi kwasababu makosa yao ni kidogo kuliko mema yao, njoo kwa yule alikuwa anajiita kichaa sasa
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Magufuli alikuwa janga la Taifa!
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Acheni kumsingizia maana serikali hii haina inachofanya zaidi ya kujifanya imeelemeea na yaliyopita
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Hivi hakuna namna yoyote ya Kumburuza Mahakamani huyu mtu hata kama kafa ili iwe fundisho kwa wakurupukaji wengine ?
 
Awamu ya sita imekuwa ya hovyo sana.kila tatizo likitokea inamlaumu magufuli hata kama mikataba in ya kipumbavu.Toka ianze hii awamu ni kulaumu tu magufuli na watamaliza muda wao hawajafanya chochote cha maana zaidi ya kulaumu tu mzalendo magufuli
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Sasa alikurupuka au hao walioingia mikataba ndio walikurupuka kwa sababu ya tamaa na wizi wao ndio mwisho wake huo..

Alichofanya Magu ni kusimamisha uwizi huo na hiyo fine unayoona sijui ya mabillioni ndio gharama za kusimamisha ujambazi huo usiendelee..

Magu aliamua ni bora uumie sasa bado mapema kuliko kwenda kuumia mbeleni pakubwaa..
 
Ugumu wa maisha unaendelea mtaani kwa wengi yeye ndie chanzo kwa kupeleka pesa nyingi Sana kwenye miradi. Na miradi yote imepeleka pesa nje kwenye nchi zao kununua vifaa vya miradi.

Pesa zote zile zingebakia nchini kuchochea uzalishaji kupitia nguvu Kazi ya ndani, maisha yasingekuwa magumu kiasi hiki.
Uzalishaji gani ungefanya wakati huna umeme wa kutosha wala usafirishaji wa haraka wa bidhaa zako?
 
We have to move forward tuache Gubu.

JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.

Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.

Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
Lazima tuzungumzie historia na tuifundishe shuleni ili watu wajifunze
 
Hawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
Hawa unawazungumzia akina Nani? Mimi sio sehemu ya utawala wa Sasa na huwa naukosoa pia
Viongozi wetu waliopo na waliopita lazima wajadiliwe, kwa mazuri au mabaya, mtake msitake
 
Sasa alikulupuka au hao walioingia mikataba ndio walikirupuka kwa sababu ya tamaa na wizi wao ndio mwisho wake huo..

Alichofanya Magu ni kusimamizisha uwizi huo na hiyo fine unayoona sijui ya mabillioni ndio gharama za kusimamisha ujambazi huo usiendelee..

Magu aliamua ni bora uumie sasa bado mapema kuliko kwenda kuumia mbeleni pakubwaa..
Magufuli alikuwa sehemu ya serikali tangu mwaka 1995, ni mmoja wa walioingia mkataba
 
Mimi naona kumuondoa yule dhalimu na one step kuelekea kuitoa CCM, ila yule alikuwa balaa sana mpaka Mungu akaona bora aanza kumwondoa Jiwe kabla ya CCM
...mungu wako ni mjinga sana, ccm itawatesa miaka mingi sana
 
Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.

Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.

Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.

Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.

Harafu Kuna kenge maji,punda wa dobi,hutaka tumuone Jiwe kama mzalendo,
 

Attachments

  • Screenshot_20221201-145610_1.jpg
    Screenshot_20221201-145610_1.jpg
    47.2 KB · Views: 2
Ambae hashauriwi yuko wapi sasa? Maana hata kwenye Corona alikataa ushauri wa wataalamu akaleta za kujua eti papai lina Corona na nyie misukule mkashangilia, Corona ikapita naye sasa yuke peke yake kaburi nyie misukule mko huku mnateseka na maji na umeme
Maji na umeme kututesa ni matokeo ya hao mapimbi wako kushauriwa na kina Makamba na Nape
 
Back
Top Bottom