Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambae hashauriwi yuko wapi sasa? Maana hata kwenye Corona alikataa ushauri wa wataalamu akaleta za kujua eti papai lina Corona na nyie misukule mkashangilia, Corona ikapita naye sasa yuke peke yake kaburi nyie misukule mko huku mnateseka na maji na umemeSafi sana! Huyo ndio rais sasa!
Siyo hawa pimbi wa sasa hivi wanaoshauriwa na kina Makamba na Nape
Hakuna wa kumsimanga, ila ni matendo yake ndiyo yanazungumziwa hapa, kama kusema matendo ya mtu aliyekuwa Rais ni kumsimanga basi acha asimangwe tuWe have to move forward tuache Gubu.
JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.
Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.
Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
Yaani ufanye upumbavu na uovu then utegemee watu wakae kimya tu kama misukule? Labda nchi nzima ingekuwa na watu kama wew au CrimeaHawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
Ishi na watu vizuri uone kama ukiondoka watakusema vibaya, kwani Mkapa au Nyerere hawajawahi kutawala nchi hii? Au wao hawakuwa na makosa, lakini hawasemwi kwasababu makosa yao ni kidogo kuliko mema yao, njoo kwa yule alikuwa anajiita kichaa sasaCCM ako kutafuta mtu wa kumbebesha mzigo ili waonekane wanaupiga mwingi, no wonder uwezo wako wa kufikiri umeshindwa kugundua hili. JPM aliwahi kulaumu serikali kushindwa kwenye kesi zake, unajua ni kwa nini? Majizi ya CCM ndo yanatengeneza hizo kesi na kupiga pesa. Mchawi ni yule uliye naye wala siye aliyefariki
Magufuli alikuwa janga la Taifa!Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Acheni kumsingizia maana serikali hii haina inachofanya zaidi ya kujifanya imeelemeea na yaliyopitaTangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Hivi hakuna namna yoyote ya Kumburuza Mahakamani huyu mtu hata kama kafa ili iwe fundisho kwa wakurupukaji wengine ?Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Vipi unawashwa? Jiangalie usijepata mimba za bila kutazamiatulia
Sasa alikurupuka au hao walioingia mikataba ndio walikurupuka kwa sababu ya tamaa na wizi wao ndio mwisho wake huo..Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Uzalishaji gani ungefanya wakati huna umeme wa kutosha wala usafirishaji wa haraka wa bidhaa zako?Ugumu wa maisha unaendelea mtaani kwa wengi yeye ndie chanzo kwa kupeleka pesa nyingi Sana kwenye miradi. Na miradi yote imepeleka pesa nje kwenye nchi zao kununua vifaa vya miradi.
Pesa zote zile zingebakia nchini kuchochea uzalishaji kupitia nguvu Kazi ya ndani, maisha yasingekuwa magumu kiasi hiki.
Lazima tuzungumzie historia na tuifundishe shuleni ili watu wajifunzeWe have to move forward tuache Gubu.
JPM he is No longer, tuko wenyewe sasa tuonyeshe maajabu.
Njia pekee ya kupambana na marehemu JPM nikufanya vitu vikubwa na tangiable zaidi yake halafu raia tutapima wenyewe.
Kumsimanga halafu hakuna mnachofanya na wala hatuoni maajabu yeyote zaidi yake ni kuonyesha KIASI CHA UPUMBAVU WA HALI YA JUU.
Hawa unawazungumzia akina Nani? Mimi sio sehemu ya utawala wa Sasa na huwa naukosoa piaHawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
Magufuli alikuwa sehemu ya serikali tangu mwaka 1995, ni mmoja wa walioingia mkatabaSasa alikulupuka au hao walioingia mikataba ndio walikirupuka kwa sababu ya tamaa na wizi wao ndio mwisho wake huo..
Alichofanya Magu ni kusimamizisha uwizi huo na hiyo fine unayoona sijui ya mabillioni ndio gharama za kusimamisha ujambazi huo usiendelee..
Magu aliamua ni bora uumie sasa bado mapema kuliko kwenda kuumia mbeleni pakubwaa..
Kama wewe hukutekwa basi jiwe hakufanya kazi yake ipasavyoSasa hivi watu wako huru kufanya na kusema chochote bila wasiwasi wa kutekwa au kuuwawa
...mungu wako ni mjinga sana, ccm itawatesa miaka mingi sanaMimi naona kumuondoa yule dhalimu na one step kuelekea kuitoa CCM, ila yule alikuwa balaa sana mpaka Mungu akaona bora aanza kumwondoa Jiwe kabla ya CCM
Lisu analelewa belgiji ananihusu nini mimi?Umempumzisha Lissu??
Harafu Kuna kenge maji,punda wa dobi,hutaka tumuone Jiwe kama mzalendo,Tangu akiwa Waziri Magufuli alifahamika kama mtu mkurupukaji mwenye kufanya maamuzi ya pupa kwa hasira na kukomoa.
Hii sio iliumiza watu wengi tu bali pia kuitia hasara serikali pale ambapo aliyechezewa rafu na mwendazake ni wa kimataifa na anaishtaki Serikali.
Leo tena tumeona ndege ya Tanzania kukamatwa nje ya nchi baada ya serikali ya Magufuli kuvunja mkataba bila kuzingatia sheria mwaka 2016.
Na bado mengine mengi yanakuja, soma hapa.
Mashauri sita yaliyosababishwa na Serikali ya John Pombe Magufuli: Kugharimu mabilioni ya kodi za Watanzania
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...www.jamiiforums.com
Maji na umeme kututesa ni matokeo ya hao mapimbi wako kushauriwa na kina Makamba na NapeAmbae hashauriwi yuko wapi sasa? Maana hata kwenye Corona alikataa ushauri wa wataalamu akaleta za kujua eti papai lina Corona na nyie misukule mkashangilia, Corona ikapita naye sasa yuke peke yake kaburi nyie misukule mko huku mnateseka na maji na umeme