imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mbona nyie WanaCCM ndio mumemuwa vinara wa Matusi.Ukiwa na staha wewe kwa huyo mamko inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona nyie WanaCCM ndio mumemuwa vinara wa Matusi.Ukiwa na staha wewe kwa huyo mamko inatosha
Hutapaona maana wewe ni mpishi wake hapo ikulu,Amefeli wapi???...
Nyie misukule ya mama ndio mna adabu?Hawa misukule ya yule mwendakuzimu hawana adabu kabisa
Ulivyo laanika wewe na ukoo wako unafikiri ni nchi nzima?Nchi ilikuwa katika laana:
Rais PhD fake - JPM
RC cheti fake - Makonda
Mawaziri vyeti fake - Mwigulu, Kigwangala
Uchaguzi fake
Madai fake - Kabudi alithibitisha
Uzalendo fake - CAG alithibitisha tulikuwa na Rais mzalendo fake, mporaji wa fedha za umma
Ununuzi wa korosho fake
Kama nakuona ulivyofura baada ya kuguswa, hahahaahah eti cheti feki cha mama yake, umesahau na madawa ya kulevya au muuza ngandaMwambie mamako kufeli kwake asijifiche kwenye mgongo wa jpm!
Mbona Dowans sijui Richmond mmewalipa?
Mataahira nyie
Kichwa kimeliwa.. Tutapumzika kidogoBaraza la Mawaziri unalijua?
Hizi hasira zote ni sababu alikubutua akakucha bila urithi?Wewe taahira umekariri vyeti feki tu, huyu kichaa wenu mwenyewe alidesa ile PHD yake ya mchongo. Na kwa taarifa yako mimi sijawahi kuajiriwa na serikali wala mashirika yake naitumia elimu yangu kujiingizia kipato si haba na kuna watu nawalipa mshahara. Na sina mrengo na utawala uliopo pia ndiyo maana mtu yeyote akiboronga nasema kwani siishi kwa fadhila ya watawala kama wewe uliyeachwa yatima na yule dhalimu aiyekufa kibudu. Bwege wewe na wote wenye akili maiti kama wewe.
Mimi sishauriki kabisa, na ukinishauri ndiyo umeharibu kabisaEnzi ya yule mwendakuzimu kulikuwa na Baraza la Mawaziri?
Shika adabu yako, mimi sina mrengo wowote, anayeboronga namnyookea tu, sijawahi kuishi kwa uchawa wala fadhila za watawala kama wewe.Nyie misukule ya mama ndio mna adabu?
Kunyima waalimu ajira 2015kivuko cha mv bagamoyo
kituo cha mafuta mwanza
meli ya uvuvi ya wachina
kuunganisha mifuko ya kijamii
kubomoa jengo la TANESCO ubungo
Kwanini ile 1.5tr ambayo Jiwe na gang lake waliipiga wasingelipa hayo madeni?Kwani huyo Magufuli ndie anayeendelea kuwafanya hawa wa sasa washindwe kulipa hicho tunachodaiwa?
Magufuli alikuwa sehemu ya tatizo ambaye alishapita, CCM kiini cha tatizo bado tunayo, badala ya kuhangaika na kiini cha tatizo, mnahangaika na sehemu ya tatizo ambayo ilishapita, ajabu kutwa kujiita GT wa JF!.
Pesa nyingi za walipa kodi huwa zinachezewa na serikali ya CCM, hasa ripoti za CAG hutuonesha na wahusika hawachukuliwi hatua zozote.
Kwanini wasitoe sehemu ya hizo pesa wanazochezea wakalipe hayo madeni badala ya kuacha pesa nyingi ziishie kwenye matumbo ya wachache kila mwaka?
Kama wewe na wenzio mnamuona Magufuli alikuwa ni tatizo, kwangu CCM na serikali yake inayowalinda wezi ni tatizo kubwa zaidi.
Wewe na viroboto wenzako masalia ya dhalim ndiyo mumeachwa yatima mnalialia tu, sisi tusio na mrengo tunatusua muda wote.Hizi hasira zote ni sababu alikubutua akakucha bila urithi?
Nyie mataahira mna kazi sanaKama nakuona ulivyofura baada ya kuguswa, hahahaahah eti cheti feki cha mama yake, umesahau na madawa ya kulevya au muuza nganda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watatosha wapi? Au umekosa cha kuandika? Wahedi weweHili nalo ni soga lingine Lina ujauzito wa Jpm mtatosha tu mpaka muite mamaaa
Safi sana! Huyo ndio rais sasa!Mimi sishauriki kabisa, na ukinishauri ndiyo umeharibu kabisa
Sasa matatizo yaliyopo hutaki watu wazungumzie chanzo? Jiwe alikuwa laana kwa taifaJPM katangulia, kumuandama sana na kujaribu kujificha kwenye kivuli cha makosa yake, haindoi madudu ya serikali iliyopo hivi sasa madarakani
Si useme tu ukweli kwamba alivyokubutua akakuacha bila urithi ili tukusaidie kulea?Wewe na viroboto wenzako masalia ya dhalim ndiyo mumeachwa yatima mnalialia tu, sisi tusio na mrengo tunatusua muda wote.
Kwa hiyo sas hivi kimepanda kitu gani?Kunyima waalimu ajira 2015
Kutokupandisha mishahara
Wewe mjane wa dhalim ndiyo huna hela unalia lia tu nenda kaombolezee huko kaburini kwake bwege weweWewe tafuta hela acha kulia lia hapa! Lini serkali inagawa hela! Sema tu serkali ya bibi yenu haijui inachofanya!
Hama nchi then ikija ya babu yako unarudi nchiniWewe tafuta hela acha kulia lia hapa! Lini serkali inagawa hela! Sema tu serkali ya bibi yenu haijui inachofanya!