Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...
Habari Wana JF, Bila shaka wengi mnafahamu kuwa Serikali ya Tanzania maarufu kama Serikali ya Magufuli ilitenda kwa kutanguliza nguvu, vitisho na weledi duni hasa katika kudeal na majadiliano ya kibiashara na wawekezaji mbalimbali. Matumizi ya nguvu yalichagizwa zaidi na kutungwa kwa sheria...
Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Acha mawazo ya kimaskin Yani kilimo umeme wa Nini unadhani kilimo Cha mkono kinaweza mtoa mtu
Ndege ni nchi ngapi wana makampuni Yao ni magu aliwanunulia?
Kwako umeme Hauna umuhimu hivyo kwako bwawa halikua muhimi sasa ww unatofauti Gani na wamama waliokua wanagalagala Lindi leo
Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Ngano tunategemea ya Ukraine na Russia unadhani wanalimia mikono?
Yani ungekataa vyote ila apo kwenye umeme wa Nini mkuu umefeli sana futa kauli yako kabisa Yani ata wenzako wasio mpenda magu hawato kuunga mkono
Kuna Mu Iran mmoja yuko uhamishoni Canada. Alikuwa ndugu wa ufalme na mwana usalama kabla hajakimbia alipokosana nao.
Anasema kwenye documentary ya NETFLIX kwamba serikalini Iran wana ofisi ya IT kazi yake ni kutuma maelfu na maelfu ya ma post ya kuupamba utawala, na kupinga wakosoaji, na wanayatuma kana kwamba kuna watu weeengi wanaunga mkono utawala. Kama hicho kitengo hakipo serikalini URT basi kipo CCM, I bet everything I have on this.
Kilimo umeme wa nini.Pili hizo zaidi ya tilioni 30 zilizowekwa kwenye miradi kwa akili yako zitarudi na hata zikirudi ni baada ya miaka mingapi.
Hizo ndege je zote zinafanya Kazi? Hio miradi muda wa kurejesha mkopo ulishafika tena kwa riba kubwa hali hata uzalishaji bado.Zipo project tu nyingi za ndani zingeweza rejesha hio pesa ndani ya mda mfupi Sana.
Usingeuliza umeme wa nini kwenye kilimo ningeona ww unauelewa mpana ila umesinyaa akili kwa kuwaza unapoishia kuona hakuna mradi wowote unaorudisha hela kwa haraka usijidanganye ka kaakili kako ka ngedere
Acha mawazo ya kimaskin Yani kilimo umeme wa Nini unadhani kilimo Cha mkono kinaweza mtoa mtu
Ndege ni nchi ngapi wana makampuni Yao ni magu aliwanunulia?
Kwako umeme Hauna umuhimu hivyo kwako bwawa halikua muhimi sasa ww unatofauti Gani na wamama waliokua wanagalagala Lindi leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.