Hayo ni mawazo ya kukariri ndugu,ipo miradi mingi tena ya ndani na inaweza rejesha pesa na faida tele,omba ueleweshwe usijifungie kwenye box si wote tunalingana ufahamu sema wengi hawapo kwenye level ya maamuzi lakini Wana fikra pana zaidi.Usingeuliza umeme wa nini kwenye kilimo ningeona ww unauelewa mpana ila umesinyaa akili kwa kuwaza unapoishia kuona hakuna mradi wowote unaorudisha hela kwa haraka usijidanganye ka kaakili kako ka ngedere
Tukubaliane kuto kubaliana.Hawa wanapenda kujificha nyuma ya kivuli cha mtu ambaye ni mfu na hajui lolote. Wanaacha kushughulikia namna bora ya kutatua changamoto zilizopo mbele ya nchi, badala yake wanakaa chini na kuanza kulia, kulaumu, kukufuru n.k. vitu ambavyo havina msaada hata kidogo kwa nchi. Aliyeenda kaenda kulia kwa ajili ya makosa yake haitatusaidia kama taifa.
Sasa kilimo Gani hakiihitaji umeme?Nani kasema kilimo ni cha mkono.
Umeme wa kutegemea maji sio chanzo pekee cha umemeSasa kilimo Gani hakiihitaji umeme?
Hayo ni mawazo ya kukariri ndugu,ipo miradi mingi tena ya ndani na inaweza rejesha pesa na faida tele,omba ueleweshwe usijifungie kwenye box si wote tunalingana ufahamu sema wengi hawapo kwenye level ya maamuzi lakini Wana fikra pana zaidi.
Maji ndio cheap way ya umeme na salama ata kama usingetosha ila sisi tulitakiwa tuwe na vyanzo vingi vya umeme wa maji na tuvune umeme mwingi wa maji kuliko nchi zote AfricaUmeme wa kutegemea maji sio chanzo pekee cha umeme
Fungua fikraMkuu unazingua kiukweli
Mvua zimeenda na Magu,ipo haja ya kubuni vyanzo hakika vingine piaMaji ndio cheap way ya umeme na salama ata kama usingetosha ila sisi tulitakiwa tuwe na vyanzo vingi vya umeme wa maji na tuvune umeme mwingi wa maji kuliko nchi zote Africa
NB: Netherlands wanavuna umeme kwa mawimbi ya bahari em fikilia apo af useme sio wakutegemea
Point ako iwe tusitegemee mvua ila sio umeme wa majiMvua zimeenda na Magu,ipo haja ya kubuni vyanzo hakika vingine pia
Hakuna umeme wa maji bila mvua.Point ako iwe tusitegemee mvua ila sio umeme wa maji
Maji ya konyo, hujui wakati na nyakati? Ukame ulimkuta? Bwege kabisaKweli hadi kaleta umeme na maji ya mgao.
Mama anaupiga mwingi na tuumpe muda.
Hahahahah mkuu unaongea Nini? Ethiopia wanatumia umeme Gani, Egypt?Hakuna umeme wa maji bila mvua.
Huo wa mawimbi ni mchakato
Hata mtoto mdogo anajua umuhimu wa umeme, nunua generator uache kulia lia.Ondoka hapo nyumban kwa shemejibalikoolewa dadako ndio utajua umuhimu wa umeme
Apumzike kiaje, kaua watu wengi then unasema apumzike???Jamani kuweni wastaraabu basi mtu alishafariki lakini kila kukicha mko nae mumuache mzee wa watu apumuzike.