ukawa2020
JF-Expert Member
- Apr 1, 2016
- 339
- 1,314
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;
Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo
Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo
Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.