Tetesi: UKUTA: Kofia na Tisheti za kuzuia mabomu ya machozi kusambazwa

Tetesi: UKUTA: Kofia na Tisheti za kuzuia mabomu ya machozi kusambazwa

1471447052199.jpg
 
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
 
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;

Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo

Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
Wewe Mbowe ndio kawambia kuwa kuna kofia ya kuzuia mabomu ya machozi na virungu? Hahahahaha
 
Ukiwa na wanachama wa aina hii una uhakika utatawala mpaka utakaporudi kwa Muumba.
 
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??

Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
T.shirt & kofia mbona ni vitu vya kawaida sana . kama vikoba wanachapisha itakuwA chama cha siasa???
 
Amna kitu mmekosa sera mna tapa tapa tu ukuta utawaangukia wenyewe
 
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;

Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo

Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
Tutakuwa wengi sana hapo kwenye mkesha tuombeane afya njema
 
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??

Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Kwani nyinyi kofia zenu na tshirts huwa mnampatia nani na lini nyinyi mliwahi kuhoji mtemgenezaji wa hayo mavazi yenu? Mbona unaongea kama upo shimoni?
 
Hizo taarifa bob hapendi ujue
Mkuu huwa najiuliza mengi sana kuhusiana na wewe kumwita jamaa Bob.Maana bob ni kifupi cha jina la yule wa sauzi rodeshia....sasa sijui umekompea karakta zikamechi ndo maana ukaamua kutumia jina moja kwa wote??? bado najiuliza.
 
Unanikumbusha enzi za 'Kinjekitile Ngware'...! Kwamba bunduki zitatoa maji badala ya risasi...!
-----------
Vijana wa dot com hata kama utawapa 'kilevi' gani hawawezi kukubali 'uongo' huu.
Jiandaeni kuyapokea hayo maandamano maana hamna jinsi ya kuyazuia
 
Yale yale ya Kinjeketile na wapiganaji wake wa majimaji...!
...yetu macho, masikio, na pesa za kununua magazeti kusoma yatakayokuwa yamejiri sept 01...
Wewe endelea kukata vitunguu na kukuna nazi wanaume wataweza tu
 
Back
Top Bottom