Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Daudi hivi nikizitaka hizo Tshirts 500 nalipa bei gani aisee ?
Wewe Mbowe ndio kawambia kuwa kuna kofia ya kuzuia mabomu ya machozi na virungu? HahahahahaTaarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;
Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo
Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
T.shirt & kofia mbona ni vitu vya kawaida sana . kama vikoba wanachapisha itakuwA chama cha siasa???Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Njoo tar moja upewe hiyo kituSample zipo wapi?
Tutakuwa wengi sana hapo kwenye mkesha tuombeane afya njemaTaarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;
Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo
Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
Kwani nyinyi kofia zenu na tshirts huwa mnampatia nani na lini nyinyi mliwahi kuhoji mtemgenezaji wa hayo mavazi yenu? Mbona unaongea kama upo shimoni?Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Surrender! !!!!!No retreat,no.......
Huyo siku zote yupo usingizini tuUpo nje ya mada Mkuu..
Jibu muruwaaaaaaaUko sawa ila tutauliza baada ya september 1.
Mkuu huwa najiuliza mengi sana kuhusiana na wewe kumwita jamaa Bob.Maana bob ni kifupi cha jina la yule wa sauzi rodeshia....sasa sijui umekompea karakta zikamechi ndo maana ukaamua kutumia jina moja kwa wote??? bado najiuliza.Hizo taarifa bob hapendi ujue
Jiandaeni kuyapokea hayo maandamano maana hamna jinsi ya kuyazuiaUnanikumbusha enzi za 'Kinjekitile Ngware'...! Kwamba bunduki zitatoa maji badala ya risasi...!
-----------
Vijana wa dot com hata kama utawapa 'kilevi' gani hawawezi kukubali 'uongo' huu.
UmeelewaTShert?? [emoji57]
Wewe endelea kukata vitunguu na kukuna nazi wanaume wataweza tuYale yale ya Kinjeketile na wapiganaji wake wa majimaji...!
...yetu macho, masikio, na pesa za kununua magazeti kusoma yatakayokuwa yamejiri sept 01...
Huyo tayari amesha katwa tayariHilo halikuhusu. Kama umesha katwa mkia lazima uumie kwa habr hii.