Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Kutoa pongezi kwa cdm kufanikisha ukutaNisubiri nini kwa mfano labda....[emoji15]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa pongezi kwa cdm kufanikisha ukutaNisubiri nini kwa mfano labda....[emoji15]
Tangazo hili limevunja morali ya wale waliokuwa wamejiandaa....! Huwezi kudanganya vijana na watu wazima kwa mbinu za 'kienyeji' hivi kama alizotumia Kinjekitile...!!Jiandaeni kuyapokea hayo maandamano maana hamna jinsi ya kuyazuia
Endeleeni kujidanganganya na tv yenu ya kuanza kutuonyesha vita za nchi jirani lkn mnajichosha tu kwa sasa ni mbele kwa mbeleTangazo hili limevunja morali ya wale waliokuwa wamejiandaa....! Huwezi kudanganya vijana na watu wazima kwa mbinu za 'kienyeji' hivi kama alizotumia Kinjekitile...!!
Matope ni matope hayawezi kuwa chumaWe tulia uone tar 1/9/2016
Mwache awewesekeUpo nje ya mada Mkuu..
Daima mbele nyuma mwikoUKUTA utafanyika hakuna wa kuzuia
Hiyo inaitwa toroka uje cdmHahhahahaaaa [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Ubongo wako na wa kibajaj hautofautianihahahahahahhahahaha natamani sana cku hyo ifike ndo mtajua vyombo vya dora vnafanyaje kazi yanapotokea machafuko na oparation rudisha nyumbu serengeti itakavyokuwa cku hyo c khaki bali ni mabaka mabaka nadhani mnakumbka wale viburi wa mtwara na pia nawakaribisha nyumbu wote waliojificha nyuma ya keypad au keybord mjitokeze cku hyo tukutane site
siungi mkono vitu kama hiviNo retreat,no.......
UmevurugwaUbongo wako na wa kibajaj hautofautiani
Kwani mimi ni mwizi kama wale wa uvccm?Umevurugwa
Kwani wewe ulivyo unaogopa hiyo kitu?Hahahahahaaaaaaaa! Njooni na hizo t shirt zenu na kofia muone kama zitaweza kuzuia mvuke wa mabomu
Tangu lini uliunga mkono kuipinga ccm?siungi mkono vitu kama hivi
unaandika matapishi tu.Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Umekosea ku-pichaduka...texture zimepishana..! Very easy to detect with naked eyes.