gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Hapo sasa!. Vipi sisi wadai demokrasia tutavaa nini?Sample zipo wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa!. Vipi sisi wadai demokrasia tutavaa nini?Sample zipo wapi?
kujenga ofisi siyo kazi,kazi ni kuitangaza chama kwa umma. aluta continua!!!!!!!!!!!!!!!! babaNdio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Hapo sasa!. Vipi sisi wadai demokrasia tutavaa nini?
Mbona wanatoa vifaa kiduchu, watoe na wao mabomu ya machozi ili mpambano uwe droo, au siyo?Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;
Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo
Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
hapo ni biashara. mtu anapewa order ya kusupply kwa bei mbaya watu wanakula ruzuku.Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;
Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo
Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
ukimsikiliza utapata jibu,mbona ccm wana ofisi kila kona lakini wezi kuliko panya wa Majumbani,mmewapa wazungu wafukue ardhi yetu na kuacha mashimo kwa hoja ya Mrahaba,Ofisi siyo issueNdio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Tuna ela za kulikombia taifa kwanza! Ofisi zitajengwa baadaeNdio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Mshan ebu nisaidie kutafut panyaroad Kama vle celewelew vle.. Babu mbn hakai chini amalize hili wingu jmniiiiiHizo taarifa bob hapendi ujue
Pengine wameshamtengenezaMshan ebu nisaidie kutafut panyaroad Kama vle celewelew vle.. Babu mbn hakai chini amalize hili wingu jmniiiii