Tetesi: UKUTA: Kofia na Tisheti za kuzuia mabomu ya machozi kusambazwa

Tetesi: UKUTA: Kofia na Tisheti za kuzuia mabomu ya machozi kusambazwa

Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??

Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
kujenga ofisi siyo kazi,kazi ni kuitangaza chama kwa umma. aluta continua!!!!!!!!!!!!!!!! baba
 
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??

Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??

Tulieni dawa iwaingie vizuri tutaheshimiana tu
 
SASA SI WAKATI WA KUTULIA HATA KIDOGO,BALI NI WAKATI WA KUENDELEZA MOTO HUU ILI HII SERIKALI IJUE MAENDELEO HAYAJI KWA KUZUIA VYAMA VYA SIASA KUFANYA SHUGHULI ZAKE.
 
Hapo sasa!. Vipi sisi wadai demokrasia tutavaa nini?

Plan ziko nyingi tusubili kadili siku zinavyosogea.. Hasa mimi nataka zaidi kofia nizuie moshi wa mabomu.. Make washawasha nirahisi sana kukata ile mipira yao.. Tuliwai kufanikisha Mwanza na sasa tumejiandaa vizuri
 
Pamoja na kwamba siipendi sisiemu, lakini huu upuuzi siwezi kuufanya aiseeee [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;

Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo

Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
Mbona wanatoa vifaa kiduchu, watoe na wao mabomu ya machozi ili mpambano uwe droo, au siyo?
Cha moto mnakitafuta na mtakipata.
Sumu haionjwi!
 
Maswala ya bajeti fedha zimetoka wapo uje baada ya sep 1
 
634c868ee0a8c9e47be28519b48625a4.jpg
 
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kwamba kamati ndogo ya ULINZI na usalama ( ukuta ) imetoa mapendekezo yake kwenye kamati kuu na mapendekezo ayo yamekubaliwa kuwa;

Kofia na t-shirt za kuzuia Maji ya washa washa na mabomu ya machozi kuanza kusambazwa nchi nzima kuanzia jumapili hii tarehe 21/8/2016 Kwa ajiri ya red briged wapatao 1000 kila kata, ambao watasambaa nchi nzima kuanzia Jumatatu ijayo

Mimi naendelea kujenga ukuta , tukutane jangwani siku ya mkesha.
hapo ni biashara. mtu anapewa order ya kusupply kwa bei mbaya watu wanakula ruzuku.
 
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??

Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
ukimsikiliza utapata jibu,mbona ccm wana ofisi kila kona lakini wezi kuliko panya wa Majumbani,mmewapa wazungu wafukue ardhi yetu na kuacha mashimo kwa hoja ya Mrahaba,Ofisi siyo issue
 
Wangegawa na magari ya washawasha ili ngoma iwe droo
 
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??

Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Tuna ela za kulikombia taifa kwanza! Ofisi zitajengwa baadae
 
Back
Top Bottom