Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tupo wengi sanaTupo pamoja nimejiandaa kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wengi sanaTupo pamoja nimejiandaa kweli kweli
Hujui?Duh!! Kuna kofia inazuia Bomu la machozi...like really??
Kweli kabisa mkuuUKUTA utafanyika hakuna wa kuzuia
Hahhahahaaaa [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Mkuu huwa najiuliza mengi sana kuhusiana na wewe kumwita jamaa Bob.Maana bob ni kifupi cha jina la yule wa sauzi rodeshia....sasa sijui umekompea karakta zikamechi ndo maana ukaamua kutumia jina moja kwa wote??? bado najiuliza.
Jidanganye tuPropaganda at work...!
Zitasambazwa tu mkuu wala usijali kabisaHapo sasa!. Vipi sisi wadai demokrasia tutavaa nini?
Alah!....sasa nimepata klu.Hahhahahaaaa [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Cdm hawana haraka ya kujenga ofisi maana tunaweza kununua magogoni tukayafanya hqkujenga ofisi siyo kazi,kazi ni kuitangaza chama kwa umma. aluta continua!!!!!!!!!!!!!!!! baba
Yes hii ni non stopSASA SI WAKATI WA KUTULIA HATA KIDOGO,BALI NI WAKATI WA KUENDELEZA MOTO HUU ILI HII SERIKALI IJUE MAENDELEO HAYAJI KWA KUZUIA VYAMA VYA SIASA KUFANYA SHUGHULI ZAKE.
Wewe subiri hapo hapo nyumbani kwakoPamoja na kwamba siipendi sisiemu, lakini huu upuuzi siwezi kuufanya aiseeee [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Bvitaaaahh haina macho muraaMaswala ya bajeti fedha zimetoka wapo uje baada ya sep 1
Nisubiri nini kwa mfano labda....[emoji15]Wewe subiri hapo hapo nyumbani kwako
Kwa hiyo Chadema ni sawa tu na ccm ??Kwani nyinyi kofia zenu na tshirts huwa mnampatia nani na lini nyinyi mliwahi kuhoji mtemgenezaji wa hayo mavazi yenu? Mbona unaongea kama upo shimoni?
Kama mlivyo kula 10% ya land cruiserhapo ni biashara. mtu anapewa order ya kusupply kwa bei mbaya watu wanakula ruzuku.
Cdm hakuna majizi kama ccmKwa hiyo Chadema ni sawa tu na ccm ??
Stupid things
Mbona Chadema ndio majizi zaidi hadi yanajiibia posho kwa kujipiga ngwala.Cdm hakuna majizi kama ccm
pongezi kwa kujua uhalisia wa siasa na siri ya ulinzi wa taifaNdio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Juzi mmekamatana wizi, nilini na wapi kiongozi wa cdm amewahi kufikishwa mahakamani? Tumia akili ya kawaida siyo masaburiMbona Chadema ndio majizi zaidi hadi yanajiibia posho kwa kujipiga ngwala.
Wanaleta maigizo ya UKUTA ili wapate nafasi ya kula ruzuku ya chama !!!!
Dawa ya moto ni moto umefanya vizuri sanaYou are what u said