gidamulida
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 286
- 95
Ndio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Hebu tueleze zile za kumpokea D UCHWARA kwa maandamano kutoka airport mpaka lumumba zilitoka wapiNdio raha ya kuongoza hawa watu hawajiulizi hiyo tenda ya kuchapisha t - shirt na kofia za maandamano amepewa nani??
Hizo hela za kuchapisha hizo t shirt zimetoka bajeti gani??
Ni kwa nini hela za kujenga ofisi za chama Mbowe anasema hamna , lkn za kuchapisha t shirt za maandamano zinapatikana??
Nimesoma your join date... nimeshangaa ulikua unatumia ID ipi, wewe si wa mwaka huu??? Tena siku 29 zilizopita??? bbbbwwwaahahahahahahaaaTangu lini uliunga mkono kuipinga ccm?