Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Short story. Nguvu ya Marekani ipo kwenye dollar yake anbayo ndiyo "sarafu ya dunia." Moja ya sababu inayofanya dollar iendelee kuwa sarafu ya dunia ni kutumika kwake kufanyia biashara ya mafuta. Biashara yenye pesa nyingi zaidi duniani.
Mwaka 1974 Marekani na Saudi Arabia(Akiwa mzalishaji mkubwa zaidi wa mafuta) kutumia dollar pekee kama sarafu ya kuuzia mafuta. Badala yake SA atauziwa silaha na kupewa ulinzi. Mkataba huo ulikuwa wa miaka 50. Mwaka huu mwezi wa sita mkataba huo umeisha na Mwanamfalme wa SA bado hajaonyesha nia yoyote ya kusign upya, na hata amekataa mualiko wa kwenda kwenye mkutano wa G7.
Je dollar itaanguka au US atamdhibiti SA kama anbavyo aliwadhibiti wengine waliojaribu kuchallenge dollar yake?
Mwaka 1974 Marekani na Saudi Arabia(Akiwa mzalishaji mkubwa zaidi wa mafuta) kutumia dollar pekee kama sarafu ya kuuzia mafuta. Badala yake SA atauziwa silaha na kupewa ulinzi. Mkataba huo ulikuwa wa miaka 50. Mwaka huu mwezi wa sita mkataba huo umeisha na Mwanamfalme wa SA bado hajaonyesha nia yoyote ya kusign upya, na hata amekataa mualiko wa kwenda kwenye mkutano wa G7.
Je dollar itaanguka au US atamdhibiti SA kama anbavyo aliwadhibiti wengine waliojaribu kuchallenge dollar yake?