Ukuu wa Dollar ya Marekani umefika mwisho?

Ukuu wa Dollar ya Marekani umefika mwisho?

Hadi sasa Marekani anaongoza katika uzalishaji na utumiaji wa mafuta duniani
 
Nimesoma comments nyingi za wadau wengi katika huu uzi na kubaini yafuatayo :

1.Wengi wa wachangiaji hawajui lolote kuhusu mambo ya kiuchumi (mburulaz).

2.Wengi wanaleta ushabiki maandazi, kisa tu wanamahaba na marekani.

3. Wengi wanabishana bishana ilimradi tu, bila kujenga hoja zao vizuri kwa kuweka facts/ data.


Hitimisho:Kwa kweli ni jambo la aibu kabisa kwa vijana wa kisomi kushindwa kujua jambo dogo kabisa ya kuwa dola ya kimarekani (USD) inaelekea shimoni.
IMG_20240728_141758.jpg
 
Back
Top Bottom