Ukuu wa Dollar ya Marekani umefika mwisho?

Ukuu wa Dollar ya Marekani umefika mwisho?

Uliuliza kama kuna nchi zinajaribu kuachana na dola kwa sasa nikakujibu. Hujalitilia maanani jibu, umequote unachojua wewe. Inaonekana wewe ndiyo unataka ubishi, huwezi kusoma majibu na kuelewa au ujuaji tu.

Tukirudi kwenye mada. Hizo nchi umetaja hazijawahi kujaribu kuachana na Dollar. Baada ya WWII Marekani alihakikisha Ujenrumani na Japan zinakuwa imara kichumi ili ziiserve dollar kwenye maeneo yao, yaani Ujerumani Ulaya(Kumbuka Ujerumani "Ndiyo EU") na Japan Asia. Hizo nchi hazijawahi taka kuachana na dollar. Waliojaribu walau ni Ghaddafi na Saddam Hussein. Na tunajua kilichowapata. Kazi kubwa ya jeshi la Marekani ni kuilinda Dollar.

Kwa sasa harakati za nchi kutaka kuachana na dollar zina nguvu sana, nimekuwekea harakati hizo hapo juu(Sijui kama umesoma).

Unaweza kutuambia kwa nini dollar ni reserve currency ya dunia pamoja na manyanyaso yote ambayo dunia inapitia?
Kwa hayo maelezo uliyo yaweka hapo ,inaonesha kweli hauna ufahamu na uchumi wa dunia....
  1. Unafkiri Amerika ali lazimisha watumie pesa yake...
  2. Unafkiri uchumi wa Libya au Iraq ungeweza iangusha dollar
  3. Unafkiri Dollar ilikuwa kubwa kisa mafuta
  4. Unafkiri Marekani naye hazalishi mafuta?
 
  • Vita kuu ya Pili ya dunia ndiyo iliyoifanya Amerika kuwa Taifa kubwa kiuchumi maradufu....(i)Aliuza sana silaha na bidhaa kwa nchi nyengine (ii) Alikopesha sana
Ugumu wa kui-ditch dollar
  • Mikopo mingi ya mataifa na mashirika makubwa imeandikishwa kwa Dollar
  • Silaha nzito kununuliwa kwa Dollar,marekani ndiyo muuzaji mkubwa
  • Kutokuwepo na nchi nyingine yenye uchumi mkubwa na utayari wa kubeba mikoba ya Dollar
  • Kuogopa mkanganyiko wa kiuchumi:Uhalali/uzito wa utumizi wa pesa hujengwa na Imani kama imani za watumiaji zipo kwa dollar basi itazidi kuimarika..

Sababu ya China kutoweka kuchukua nafasi hiyo kwa hivi karibuni
  • Uchumi wake unategemea viwanda,,,kama pesa yake ndiyo ikawa world reserve, itaongezeka thamani na kufanya bidhaa zake zisi uzike nje.
  • China ana mchezo wa kucheza na thamani ya fedha yake...siyo floating currency
  • Wateja wakubwa kutaka kufanya malipo kwa Dollar au Euro......na wateja wakubwa china ni USA na nchi za Ulaya....nchi za Afrika manunuzi yetu ni madogo sana.
  • Ugomvi wa Kidiplomasia/Udhibiti....Kubuka china haina maelewano mazuri na India,Ufilipino,Taiwan,Japan,Korea Kusini hizi nchi zote ni za Asia ila zipo radhi kutumia Dollar kuliko Reminbi
Kama Yen,haitoweza ,Unafkiri nchi gani itaweza...?
 
Nchi nyingi zinaanza kufanya makubaliano ili zifanye biashara kwa kutumia sarafu zao. BRICS wanapambana kushusha utawala wa dola. Saudi Arabia wanasita kusaini mkataba wa Petro dollar. Kuna harakati nyingi sana za watu kutaka kuachana na dollar. Kitendo cha akiba ya dollar za Russia kuwa frozen kimewafanya watu wengi waanze harakati za kuikimbia dollar.

Na wkt huo we unajua USA wamelala wakiwaacha hao brics wakae vikao vyao vya upatu kuiangusha dollar?
 
Unatumia maana US anakuwa na uhakika wa kwenda kuitumia kununulia mafuta SA
As of April 2024, the top 10 oil producers in the world by share of total world oil production are:
  • United States: 22%
  • Saudi Arabia: 11%
  • Russia: 11%
  • Canada: 6%
  • China: 5%
Ambacho hamjui USA anaproduce mafuta kuliko nchi yeyote ila hayupo kwenye huo utopolo wa OPEC. For some reason watu wanadhani US haina natural resources hasa miafrika, US ina mafuta, gas, gold na natural resources nyingi sana kuliko nchi nyingi duniani. US haipendi kuendeshwa na siasa taka ndo maana haipo kwenye organizations uchwara kama ambavyo haipo The Hague. But that shouldn't be confused kwamba US haina au inategemea zaidi nchi uchwara. On the other end, Saudia anahiitaji US kuliko US inavyomuhitaji Saudia. Saudia ana kandarasi ya kudumu kununua silaha US unadhani atakuja na hizo karatasi zake? Atanunulia technology kwa karatasi zake? US bado ipo sana.
 
As of April 2024, the top 10 oil producers in the world by share of total world oil production are:
  • United States: 22%
  • Saudi Arabia: 11%
  • Russia: 11%
  • Canada: 6%
  • China: 5%
Ambacho hamjui USA anaproduce mafuta kuliko nchi yeyote ila hayupo kwenye huo utopolo wa OPEC. For some reason watu wanadhani US haina natural resources hasa miafrika, US ina mafuta, gas, gold na natural resources nyingi sana kuliko nchi nyingi duniani. US haipendi kuendeshwa na siasa taka ndo maana haipo kwenye organizations uchwara kama ambavyo haipoThe Hague that shouldn't be confused kwamba US haina au inategemea zaidi nchi uchwara. On the other end, Saudia anahiitaji US kuliko US inavyomuhitaji Saudia. Saudia ana kandarasi ya kudumu kununua silaha US unadhani atakuja na hizo karatasi zake? Atanunulia technology kwa karatasi zake? US bado ipo sana.
Mleta uzi kaja na story za vijiweni ila ukisoma reply zake utagundua ana exposure ndogo

Hata soko la pharmaceutical limekamatwa na makampuni mengi ya marekani na wanauza dawa kupitia dollar

U.s ndo mchangiaji mkubwa un na mashirika yake na anafanya hivyo kupitia dollar
Yaani dollar kupotea ni practical imposible kwa kipindi hiki itachukua mda sana
 
  • Vita kuu ya Pili ya dunia ndiyo iliyoifanya Amerika kuwa Taifa kubwa kiuchumi maradufu....(i)Aliuza sana silaha na bidhaa kwa nchi nyengine (ii) Alikopesha sana
Ugumu wa kui-ditch dollar
  • Mikopo mingi ya mataifa na mashirika makubwa imeandikishwa kwa Dollar
  • Silaha nzito kununuliwa kwa Dollar,marekani ndiyo muuzaji mkubwa
  • Kutokuwepo na nchi nyingine yenye uchumi mkubwa na utayari wa kubeba mikoba ya Dollar
  • Kuogopa mkanganyiko wa kiuchumi:Uhalali/uzito wa utumizi wa pesa hujengwa na Imani kama imani za watumiaji zipo kwa dollar basi itazidi kuimarika..

Sababu ya China kutoweka kuchukua nafasi hiyo kwa hivi karibuni
  • Uchumi wake unategemea viwanda,,,kama pesa yake ndiyo ikawa world reserve, itaongezeka thamani na kufanya bidhaa zake zisi uzike nje.
  • China ana mchezo wa kucheza na thamani ya fedha yake...siyo floating currency
  • Wateja wakubwa kutaka kufanya malipo kwa Dollar au Euro......na wateja wakubwa china ni USA na nchi za Ulaya....nchi za Afrika manunuzi yetu ni madogo sana.
  • Ugomvi wa Kidiplomasia/Udhibiti....Kubuka china haina maelewano mazuri na India,Ufilipino,Taiwan,Japan,Korea Kusini hizi nchi zote ni za Asia ila zipo radhi kutumia Dollar kuliko Reminbi
Kama Yen,haitoweza ,Unafkiri nchi gani itaweza...?
Inaonekana mkuu umekariri points za kujibia mitihani bila ya kuzielewa vyema.
 
As of April 2024, the top 10 oil producers in the world by share of total world oil production are:
  • United States: 22%
  • Saudi Arabia: 11%
  • Russia: 11%
  • Canada: 6%
  • China: 5%
Ambacho hamjui USA anaproduce mafuta kuliko nchi yeyote ila hayupo kwenye huo utopolo wa OPEC. For some reason watu wanadhani US haina natural resources hasa miafrika, US ina mafuta, gas, gold na natural resources nyingi sana kuliko nchi nyingi duniani. US haipendi kuendeshwa na siasa taka ndo maana haipo kwenye organizations uchwara kama ambavyo haipoThe Hague but that shouldn't be confused kwamba US haina au inategemea zaidi nchi uchwara. On the other end, Saudia anahiitaji US kuliko US inavyomuhitaji Saudia. Saudia ana kandarasi ya kudumu kununua silaha US unadhani atakuja na hizo karatasi zake? Atanunulia technology kwa karatasi zake? US bado ipo sana.
Bado unasafari ndefu kujua mambo yanavyoenda. Hapa siyo nani ana mafuta mengi, hapa ni pesa ipi inatumika kununulia hayo mafuta.
 
CIA wametengeneza pesa mtandao inaitwa Bitcoin ndo mbadala wa Dollar wenzetu wanawaza miaka elfu mbele walishalijua hilo kitambo sana
 
Mleta uzi kaja na story za vijiweni ila ukisoma reply zake utagundua ana exposure ndogo

Hata soko la pharmaceutical limekamatwa na makampuni mengi ya marekani na wanauza dawa kupitia dollar

U.s ndo mchangiaji mkubwa un na mashirika yake na anafanya hivyo kupitia dollar
Yaani dollar kupotea ni practical imposible kwa kipindi hiki itachukua mda sana
Hatuangalii kitu kimoja kimoja kama nani ana makampuni makubwa ya madawa angalia trade deficit na trade surplus.
 
Bado unasafari ndefu kujua mambo yanavyoenda. Hapa siyo nani ana mafuta mengi, hapa ni pesa ipi inatumika kununulia hayo mafuta.
Cheki unavyokwepa hoja ukibanwa,,,sasa safari ndefu ipi....
Wewe umekaa kukariri kwamba mafuta ndiyo yana dhibiti dollar....
 
Ukibanwa kwenye hoja zako unatafuta pa kukimbilia...
Haujanibana kwa hoja, umeongea tu points za kukariri, unachosha hata kukujibu.

Unadhani watu wanatumia dollar kwa hiari yao? Pesa yako kuwa pesa ya dunia kuna faida kubwa sana. Ndiyo maana Marekani anahakikisha anapambana na yeyote anayehatarisha hilo. Libya, Iraq, Iran na Venezuela walikataa kuuuza mafuta exclusively kwa dollar ndiyo maana US anawasakama.

Kuanzia miaka ya 1970 ukubwa wa Dollar unasababishwa hasa na matumizi yake kama pesa pekee ya kuuzia mafuta. Ndiyo maana kuna neno petrodollar. Toka US alipoacha kuwa muuzaji zaidi duniani na alipoachana na gold standard njia pekee inayoisimamia dollar yake ni petrodollar.

Unafikiri Marekani hazalishi mafuta? Hapa si kuzalisha au kutozalisha mafuta, ni kuwa hayo mafuta yananuliwa kwa sarafu ipi. Hilo ndilo la msingi kama unataka kuelewa hoja iliyopo mezani.

Hoja zako nyingine kama mikopo kuwa kwa dollar ni matokeo ya nguvu ya dollar na si sababu zinazofanya dollar kuwa na nguvu.

Kinachotafutwa na wengi si mbadala wa dollar kama sarafu-akiba. Kwamba pesa ya China ibadili kuwa sarafu-akiba. Kinachotafutwa ni uhuru wa kutumia sarafu zingine. Mfano Iraq, Iran, Venezuela, Saudi Arabia nk nk waweze kuuza mafuta yao kwa Euro, Renminbi, Rupia nk nk. Au kupatikane sarafu ambayo haiwi issued na nchi moja na hivyo kufanya inyonye zingine.
 
Mimi nafanya biashara ya kununua vitu china
Mchina anataka dollar mara nyingi ni mara chache anataka euro au pound
Sasa si kwa sababu dollar ndiyo reserve currency ya dunia!? Maana naye akitaka kwenda kununua mafuta Saudi Arabia itambidi alipe kwa dollar. Hicho ndicho kitu wanachokikataa.
 
Back
Top Bottom