Ukuu wa Dollar ya Marekani umefika mwisho?

Ukuu wa Dollar ya Marekani umefika mwisho?

Ukitka kununua MRI toka USA utatumia pesa ya Saudia? Dola ina nguvu kwa sababu ya industrial productions ambazo zinahitajika duia nzima.
Ndo wangekuwa wanasumbuka na Russia ,China,Iran,Cuba,Venezuela na North Korea?Embu weka taarifa yako vizùri.
 
United States has a significant supply of fuel, It is one of the world's largest producers of crude oil and natural gas.
 
Swali : Dola itaanguka???

Jibu: Ndiyo itaanguka, lakini ni ngumu kutokea kwa sasa!

Sababu ni nini? Uchumi wa dunia umetengenezwa na kushikamanishwa kupitia dola, kuanguka kwa dola ni kuanguka kwa uchumi wa dunia.

Siku dunia ikiamua kuacha kutumia dola kama sarafu kwenye hifadhi zake kwenye nyanja mbalimbali basi huo ndiyo mwisho wa dola!

Unaona kuna nchi inayojaribu kufanya hivyo kwa sasa??
labda tuiweke hivi ....Kama mauzo ya bidhaa kwa dollar itapungua ndo kusema thamani yake itakuwa ileile kama 1970.
 
Haujanibana kwa hoja, umeongea tu points za kukariri, unachosha hata kukujibu.

Unadhani watu wanatumia dollar kwa hiari yao? Pesa yako kuwa pesa ya dunia kuna faida kubwa sana. Ndiyo maana Marekani anahakikisha anapambana na yeyote anayehatarisha hilo. Libya, Iraq, Iran na Venezuela walikataa kuuuza mafuta exclusively kwa dollar ndiyo maana US anawasakama.

Kuanzia miaka ya 1970 ukubwa wa Dollar unasababishwa hasa na matumizi yake kama pesa pekee ya kuuzia mafuta. Ndiyo maana kuna neno petrodollar. Toka US alipoacha kuwa muuzaji zaidi duniani na alipoachana na gold standard njia pekee inayoisimamia dollar yake ni petrodollar.

Unafikiri Marekani hazalishi mafuta? Hapa si kuzalisha au kutozalisha mafuta, ni kuwa hayo mafuta yananuliwa kwa sarafu ipi. Hilo ndilo la msingi kama unataka kuelewa hoja iliyopo mezani.

Hoja zako nyingine kama mikopo kuwa kwa dollar ni matokeo ya nguvu ya dollar na si sababu zinazofanya dollar kuwa na nguvu.

Kinachotafutwa na wengi si mbadala wa dollar kama sarafu-akiba. Kwamba pesa ya China ibadili kuwa sarafu-akiba. Kinachotafutwa ni uhuru wa kutumia sarafu zingine. Mfano Iraq, Iran, Venezuela, Saudi Arabia nk nk waweze kuuza mafuta yao kwa Euro, Renminbi, Rupia nk nk. Au kupatikane sarafu ambayo haiwi issued na nchi moja na hivyo kufanya inyonye zingine.
Tatizo lako umekaririri soga za maskani...
Libya na Iran hatakama wasingeuza mafuta kwa Dollar,still wangehitaji hazina yake kwa manunuzi ya Vipuli ya Sekta hiyo ya mafuta,delta ya Kompyuta, aviation na Mashine kubwa ambapo USA bado ana dominate.
 
Tatizo lako umekaririri soga za maskani...
Libya na Iran hatakama wasingeuza mafuta kwa Dollar,still wangehitaji hazina yake kwa manunuzi ya Vipuli ya Sekta hiyo ya mafuta,delta ya Kompyuta, aviation na Mashine kubwa ambapo USA bado ana dominate.
Daah
 
Haujanibana kwa hoja, umeongea tu points za kukariri, unachosha hata kukujibu.

Unadhani watu wanatumia dollar kwa hiari yao? Pesa yako kuwa pesa ya dunia kuna faida kubwa sana. Ndiyo maana Marekani anahakikisha anapambana na yeyote anayehatarisha hilo. Libya, Iraq, Iran na Venezuela walikataa kuuuza mafuta exclusively kwa dollar ndiyo maana US anawasakama.

Kuanzia miaka ya 1970 ukubwa wa Dollar unasababishwa hasa na matumizi yake kama pesa pekee ya kuuzia mafuta. Ndiyo maana kuna neno petrodollar. Toka US alipoacha kuwa muuzaji zaidi duniani na alipoachana na gold standard njia pekee inayoisimamia dollar yake ni petrodollar.

Unafikiri Marekani hazalishi mafuta? Hapa si kuzalisha au kutozalisha mafuta, ni kuwa hayo mafuta yananuliwa kwa sarafu ipi. Hilo ndilo la msingi kama unataka kuelewa hoja iliyopo mezani.

Hoja zako nyingine kama mikopo kuwa kwa dollar ni matokeo ya nguvu ya dollar na si sababu zinazofanya dollar kuwa na nguvu.

Kinachotafutwa na wengi si mbadala wa dollar kama sarafu-akiba. Kwamba pesa ya China ibadili kuwa sarafu-akiba. Kinachotafutwa ni uhuru wa kutumia sarafu zingine. Mfano Iraq, Iran, Venezuela, Saudi Arabia nk nk waweze kuuza mafuta yao kwa Euro, Renminbi, Rupia nk nk. Au kupatikane sarafu ambayo haiwi issued na nchi moja na hivyo kufanya inyonye zingine.
Hakuna nchi inayopangiwa aina ya fedha ya kutumia...ila bila kuwa na one currency kama world reserve, ina maana...
  • Nchi zetu ziwe na akiba ya pesa zaidi ya tano au kumi.
  • Na nchi zenye kutegemea viwanda zitaanguka kiuchumi...
Ujifunze kuhusu uchumi wa dunia unavyoenda acha story za mtaani..
 
Bado unasafari ndefu kujua mambo yanavyoenda. Hapa siyo nani ana mafuta mengi, hapa ni pesa ipi inatumika kununulia hayo mafuta.

Na hao wanatumia nini kununua vitu toka USA? China ni biggest exporter toka 2009, USA comes in 2nd story hizi hizi zilianza ila hadi Leo dollar ipo pale pale, what's new now?

Nenda kaangalie kama kuna mkopo wowote umeandikwa kwa yuan ulete majibu. China wenyewe wanataka dollar.
 
Bado unasafari ndefu kujua mambo yanavyoenda. Hapa siyo nani ana mafuta mengi, hapa ni pesa ipi inatumika kununulia hayo mafuta.
SA ana mikopo? Anailipa kwa kutumia sarafu gani?
 
Kufa kwa dollar kupo palepale Sababu dunia inabadiika watu au njia zilizokuwa zinatumika kuiimarisha dollar Enzi hizo kadri siku zinavyoenda zinapugua na zingine zinakosa nguvu mambo mengi yanabadilka kwa maana hyo USA Alishasoma mchezo kuwa haya makaratasi dollar kuna siku yatamuangusha ss akaja ni mbinu mbadala ndo hii kitu inaitwa BITCOIN ni mbadala wke na ameshafanikiwakwa hilo lkn kuna vitu kwenye bitcoin havijakaa sawa kuna mbadala mwingine tena unakuja kwa mfumo wa Bitcoin unaitwa Pi networks hyo yote kuhakikisha anaendelea kuwa juu
 
Kilichopo ni kuwa Saudi Arabia imekubaliana na Marekani kuuza mafuta yake kwa Dollar. Ndiyo maana huoni watu wakitafuta pesa yao kwenda kununua mafuta. Lakini leo wakisema wanauza mafuta yao kwa Riyal unafikiri ni wangapi wataanza kuisaka hiyo pesa?
Saudi Arabia sio mzalishaji pekee wa mafuta duniani kwa sasa. Mexico, Canada, Iraq, UAE na Brazil ni wazilishaji wengine muhimu sana kidunia.
 
Saudi Arabia wanasita kusaini mkataba wa Petro dollar. Kuna harakati nyingi sana za watu kutaka kuachana na dollar.
Hakujawahi kuwa na mkataba uliosaniwa wa petrodollar kati ya Marekani na Saudi Arabia. Achana na fictions na porojo.
 
Kitendo cha akiba ya dollar za Russia kuwa frozen kimewafanya watu wengi waanze harakati za kuikimbia dollar.
Ni bora huko Marekani ambapo waki frozen akiba unaona utaratibu wa kitaasisi uliofuatwa kufikia hayo maamuzi. Sasa jichange ukaweke akiba zako za fedha Russia au Saudi Arabia ambapo mtawala anaweza kuamka tu amegombana na mke wake akazikomba zote.
 
Mleta uzi kaja na story za vijiweni ila ukisoma reply zake utagundua ana exposure ndogo

Hata soko la pharmaceutical limekamatwa na makampuni mengi ya marekani na wanauza dawa kupitia dollar

U.s ndo mchangiaji mkubwa un na mashirika yake na anafanya hivyo kupitia dollar
Yaani dollar kupotea ni practical imposible kwa kipindi hiki itachukua mda sana
Wew umeshaawahi kuona mlalahoi ananunua dawa kutoka usa au ulaya ..cipro ya denk inauzwa kati ya 3600-4000 ya kwetu inauzwa 200 .
 
zote ni underlicence ya USA , kama hujui jua hilo maana patents bado ni za USA, ndio wagunduzi huwezi kuzitengeneza bila ruhusa yao kimataifa.
I stand to be corrected!
Siyo kila kinachotengenezwa kutoka viwanda vya china ni underlicence ya USA vinginevyo hukusoma kabisa au umeamua kujizima data
 
Kufa kwa dollar kupo palepale Sababu dunia inabadiika watu au njia zilizokuwa zinatumika kuiimarisha dollar Enzi hizo kadri siku zinavyoenda zinapugua na zingine zinakosa nguvu mambo mengi yanabadilka kwa maana hyo USA Alishasoma mchezo kuwa haya makaratasi dollar kuna siku yatamuangusha ss akaja ni mbinu mbadala ndo hii kitu inaitwa BITCOIN ni mbadala wke na ameshafanikiwakwa hilo lkn kuna vitu kwenye bitcoin havijakaa sawa kuna mbadala mwingine tena unakuja kwa mfumo wa Bitcoin unaitwa Pi networks hyo yote kuhakikisha anaendelea kuwa juu
keep on dreaming
 
Back
Top Bottom