Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.
Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.
Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.
Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.
Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.
Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.
Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.
Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.
Tutaukumbuka utawala wako Mhe.