Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.

Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.

Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.

Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.

Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
 
Walivyo wajinga utawaona wakiandika..."Magufuli asiposhinda navua nguo hadharani"...!Utadhani wameona bwawa wanataka kuogelea!😂😂😂😂😂
Kama Lisu alijiokoa mwenyewe kwenye zile risasi zilizotoka kwenye silaha ya kivita basi kuna uwezekano hatashinda kiti cha Urais . Lakini kama hajajiokoa basi aliyemwokoa atamfanya aingie Ikulu as president bila wewe kutarajia.
 
Kama Lisu alijiokoa mwenyewe kwenye zile risasi zilizotoka kwenye silaha ya kivita basi kuna uwezekano hatashinda kiti cha Urais . Lakini kama hajajiokoa basi aliyemwokoa atamfanya aingie Ikulu as president bila wewe kutarajia.
Mbona unaandika vitu kama unacheza kiduku?Be patient!The "Messiah" is arriving presently!😂😂😂
 
Kwani 2015 alishinda?
Not this time
2332550_matokeo_uchaguzi_3.jpg


Ujinga kama huu hautarudiwa tena
 
Wahindi husema " MANENO PINDUA", subiri mwezi wa October, 2020. Ni kwa Chadema kupoteza uwakilishi Bungeni.

Sio kwa kura boss, bali Magufuli atahakikisha wanatangazwa washindi hawa wanaotoa rushwa hivi sasa. Lengo hasa ni kupata bunge la wala rushwa, ambalo atalitumia kumpitisha kuwa rais zaidi ya miaka 10.
 
Kifo hiki ni mpango wa Mungu. Maana ndiye aliyekuwa anategemewa kulazimisha matokeo. Hata 2015 kule Zanzibar ndiye aliyemwamuru Jecha kufuta uchaguzi. Sasa mbabe kafa na uhuru soon utapatikana iwe kwa jasho au damu.
 
Vyombo Hivi Vitakuwa Wapi Mpaka Asishinde:-
1.TISS
2.PCCB
3.TPDF
4.POLICE
4.PRISON
5.IMMIGRATION
6.FIRE
7.MADAWA YA KULEVYA
😀😁😅😄😃😂

😶🤨😏

Hao ni watu na wao wana familia. Kama watafanya ubabe kuilinda ccm waziwazi, basi kutakuwa na umwagikaji damu na hapo ndipo ule uhuru utakapopatikana. Sababu inaweza tokea vita ya person to person maana wengi tunajuana
 
Wahindi husema " MANENO PINDUA", subiri mwezi wa October, 2020. Ni kwa Chadema kupoteza uwakilishi Bungeni.
Kwa mfumo wa hii NEC, Sheria za kudhibiti zilizopitishwa kwa mwendo kasi, chama chochote cha upinzani kitakacho ingia kwenye uchaguzi ujue ni mamluki wa CCM. Wakumbuke yaliyo tokea uchaguzi serikali za mitaa.
 
Back
Top Bottom