Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujenga barabara , kujenga flyover na madaraja sio kabisa kigezo cha kuchaguliwa kuwa rais na wananchi , wakoloni walifanya mambo makubwa zaidi ya hayo...Walichokosea wakoloni walikuwa hawawapi uhuru wananchi ,waliwatesa ,walipewa ajira za kitumwa(kulima plantations) etcNiwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.
Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.
Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.
Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.
Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
Hivi hiyo TPDF, bado kirefu chake ni Tanzania people's defend force au ni Tanzania presedent defence forceVyombo Hivi Vitakuwa Wapi Mpaka Asishinde:-
1.TISS
2.PCCB
3.TPDF
4.POLICE
4.PRISON
5.IMMIGRATION
6.FIRE
7.MADAWA YA KULEVYA
😀😁😅😄😃😂
😶🤨😏
CCM imekuwa kama Dini Kwa wengine. Ila kuna wasioenda Ibadan Na hasa vijana Na shida zao. Lolote laweza kutokeaMagufuli Ni malaika, ndio maana hata ndani ya CCM printer ziligoma ku print form zaidi za utais.
Sasa aje huku ashindane na wanadamu na mashetani, asitumie polisi, TISS, JWTZ wala tume ya uchaguzi, tume iwe huru, wazi na ya haki, atagaragazwa saa moja asubuhi October 28,2020
Kwa hiyo watanzania wote 55 milioni tulikuwa tunamuogopa mkapa tu? Please be serious kidogoKifo hiki ni mpango wa Mungu. Maana ndiye aliyekuwa anategemewa kulazimisha matokeo. Hata 2015 kule Zanzibar ndiye aliyemwamuru Jecha kufuta uchaguzi. Sasa mbabe kafa na uhuru soon utapatikana iwe kwa jasho au damu.
Yaani unamfananisha Raise wetu na Mobutu?kweli bavicha mmekosa hojaTutaukumbuka utawala wako Mhe
Mbaya zaidi Msafisha Njia Wake Hatunae!!Pumzika Kwa Amani Mzee Wetu BWM.Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.
Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.
Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.
Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.
Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
Hivyo vyombo sio malaika, bali vinaundwa na wanadamu wenye ukomo katika kufikiri na kutenda.Vyombo Hivi Vitakuwa Wapi Mpaka Asishinde:-
1.TISS
2.PCCB
3.TPDF
4.POLICE
4.PRISON
5.IMMIGRATION
6.FIRE
7.MADAWA YA KULEVYA
😀😁😅😄😃😂
😶🤨😏
Bahati mbaya mkapa kaukimbia
Hao ni watu na wao wana familia. Kama watafanya ubabe kuilinda ccm waziwazi, basi kutakuwa na umwagikaji damu na hapo ndipo ule uhuru utakapopatikana. Sababu inaweza tokea vita ya person to person maana wengi tunajuana
Utakuwa tayari kupigwa risasi ya kichwa? Au unazogoa tuuKifo hiki ni mpango wa Mungu. Maana ndiye aliyekuwa anategemewa kulazimisha matokeo. Hata 2015 kule Zanzibar ndiye aliyemwamuru Jecha kufuta uchaguzi. Sasa mbabe kafa na uhuru soon utapatikana iwe kwa jasho au damu.
Eti kumwaga damu, upo tayari kupigwa risasi ya kichwa?Hao ni watu na wao wana familia. Kama watafanya ubabe kuilinda ccm waziwazi, basi kutakuwa na umwagikaji damu na hapo ndipo ule uhuru utakapopatikana. Sababu inaweza tokea vita ya person to person maana wengi tunajuana
uyo diwani sasa akaunga juhudiHakushinda, maana tulimiminika kwa wingi kwenda kumpigia kura manvi, pamoja na madiwani na mbunge. Kituo changu cha Forest Mpya Mbeya hakushinda ndio maana hata mbunge wetu alikuwana kura nyingi kuliko mbunge yoyote pamoja na rais wa zanzibar.
Tume iliyonunuliwa nyumba mpya Dodoma?Magufuli Ni malaika, ndio maana hata ndani ya CCM printer ziligoma ku print form zaidi za utais.
Sasa aje huku ashindane na wanadamu na mashetani, asitumie polisi, TISS, JWTZ wala tume ya uchaguzi, tume iwe huru, wazi na ya haki, atagaragazwa saa moja asubuhi October 28,2020