Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Mr Nditolo, you have very strong wishful thinking, hopefully you are student or recent Graduate. Nchi yeyote inapokaribia kwenda kubadilisha watawala huwa kuna ambiancy fullani hivi ambayo hujitokeza. Magufuli kwa mwaka huu tumekwisha mkosa, anagalagaza tuu upinzani.

Ila siasa za kweli zipo kuanzia 2020 mpaka 2025, bahati mbaya tumekwisha poteza askari wa vyeo vya juu wengi mnoo. Na hapa CCM bado wapo hatua ya nne tuu kati ya hatua 11 za kumshugulikia Hasimu/mpinzani wako wa kisiasa

Wako hatua ya Nne ya sheria ya kumshughulikia Chama pinzani na Shindani katika sheria 11 za kumaliza upinzani. Sheria hizi hufanya kazi mara baada ya kushinda uchaguzi. Hufanya kwa kidodo kidodo ili mahasimu wasichanganyikwe. (sababu mkifanya haraka na wakachanganyikiwa wanaweza kusababisha kupotea kwa amani na utulivu katika nchi )


1) Adui yako wa kisiasa unatakiwa umpige sana achakaye kiasi ambacho hata atakapo pata nafasi ya kujibu mapigo, mapigo yake yawe dhaifu sana kiasi ambacho anakuwa hana madhara kwako.

2) Wakati wa mashambulizi ya kisiasa, hakikisha Magenerali ( wakuu wa vyombo vingine vya utendaji wa chama chako wako imara na wakiendeleza mashambulizi na kutoa kipigo maeneo yote ambayo hasimu wako wa kisiasa anaweza kupata usaidizi, au kukimbia au kuepuka mapigo kabla hajapigwa sana na kuchakazwa. ( kukimbia ni moja ya mbinu za kupigana vita)

3) Hakikisha unavunja nguvu za hasimu kwa kiasi kikubwa sana kupitia kuwanyong'onyesha Viongozi wake ambao wana nafasi ya kungundua mapambano ni makali. Hakikisha wanachama wanatenganishwa na viongozi wanao weza kugundua mapambano makali na kijikusanya tena. Ondoa akili bakiza makapi ili waendelee kupoteana.

4) Tumia vyombo vyote vya imani ( faith based) kwa kupitia kivuli na sio moja kwa moja ilI uendelee kuwapiga kwenye nyoyo zao ili wawe waumini wa unayoyataka na pia watiifu kwa mamlaka.

NITAWAPA SHERIA 7 ZILIZO BAKI KWA DOZI KIDODO KIDOGO ( THE ART OF POLITICAL WAR AGAINST THE VANGUISHED). KARIBUNI.

Wapinzani elimikeni siasa Za ubobezi ni sayansi, ELIMIKENI ACHENI UFUASI MFUU.
Kwa hiyo hili genge la watawala Ni adui wa umma mzima wa waTanzania?
 
True na upinzani utapata wabunge wengi Sana kuliko awamu zingine.
Bunge lijalo litakuwa strong lenye wabunge vichwa toka ccm na upinzani, upinzani utakuwa na wabunge wengi Sana upcoming.
hahahaha, yetu macho.Upepo wa Lowassa bado unawasumbua akili, na kujiona nanyi mnaweza mnasikitisha
 
Uchaguzi huu wa 2020 ni mgumu mno tangu kuasisiwa kwa vyama vingi !!
Kwenye uchaguzi wa
Mwaka 2015 Rais wa CCM alipata kura 8million+ na Mgombea wa CHADEMA alipata kura 6million+.
Kwa graph hii sioni ikishuka bali naona ikipanda tena kwa kasi ya ajabu!!

Ukiangalia existting live factors zilizopo na vibe ya Mhs Tundu Lissu, tuombe Mungu atupe uchaguzi wa uhuru na haki!
Tanzania sio nchi ya umwagaji damu.
Vyombo vya ulinzi na usalama visitumike kama maroboti, watumie akili zao na busara, hao wapinzani wanao wafurumusha ni ndg kaka na dada zao!!
Wasitumike kwa matakwa ya mtu mmoja waangalie maslahi mapana ya nchi yetu!!
Muhimu zaidi usalama na Amani!!
 
Baa
Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.

Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.

Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.

Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.

Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
Baada ya Magufuli kutangazwa mshindi wa Urais, tafadhali nitakuomba urudi tena uje uandike utumbo wako na Ramli ya kijinga kama hi. Karibu sana!
 
Kwa hiyo hili genge la watawala Ni adui wa umma mzima wa waTanzania?

Hizi ni sheria za kawaida tuu katika kukabiliana na chama pinzani baada ya ushindi kufuatia upinzani mkali. Nikawaida tuu.

Sheria hizi hazifanyi kazi kama umma hauko nyuma yako. Unatakiwa uwe na hakika wengi ya raia wapo nyuma ya chama chako.

USIPANIK, MAPIGO MATATU MATAKATIFU YANAKUJA MUDA SIO MREFU KABLA YA UCHAGUZI. siasa ni sayansi
 
HOW TO GET PREGNANT.
This is a topic we as ladies suppose to discuss. I have.realised that most of us fails/failed to be pregnant because we tend to ignore small things which might lead to pregnancy failure.
1. Before you try to conceive. Plis its very important to clean the womb. The reason behind that is because if your womb is dirty e.g. ( infection) instead of allowing your fallopian tubes for fertilization, sperms will be killed by that infection before they can even reach the tubes.
2. Target your ovulation days. Most ladies don't know when and how to know that you ovulating. Simply to see that you ovulating. You will have that "horny " feeling of meeting your man, that is being horny" and the COLOURLESS discharge will come out. That's ovulation sign. It happens few days before your period. Use that chance. Otherwise other days might be useless.
3.avoid standing up emmidiately after sex. Or urinating. Because it kills or take sperms out side before they fertilize the egg.
4. Let's avoid over thinking about pregnancy when you want a baby. E.g. . Being too desperate to have a kid to an extend that you even go through fake signs of pregnancy. Fake pregnancy has same signs of real pregnancy too. E.g.
* vomiting
*being fat/thick
*missing period or spotting
*nausea
That's why when u test you find out that u negative. ..Why? Because you having fake signs of pregnancy produced by your hormones when u were desperately wanting a kid.SPECIAL MEDICINE FOR FIBROIDS
Do not tamper your body with operations we have medicine that cure permanently without surgery.Our medicine will eliminate the following SYMPTOMS of fibroids
[emoji117] Pelvic pain or pressure
[emoji117]Heavy menstrual bleeding
[emoji117] Bleeding or spotting between menstrual periods
[emoji117] Unusually frequent urination
[emoji117]Abdominal swelling
[emoji117] Low back pain during intercourse or during menstrual periods
[emoji117]Fatigue or low energy from heavy periods and excessive bleeding.
[emoji117]Infertility, if the fibroids are blocking the fallopian tubes.
[emoji117]Constipation
[emoji117] Repeated miscarriages.
We also have medicine for[emoji106] #hemorrhoids [emoji106]#gas #ulcers [emoji106]#kidney [emoji106]stones[emoji106] #hepatitis[emoji106] #herpes [emoji106]#heart disease #kidney failure[emoji106] #warts[emoji106] #cervical cancer[emoji106] #breast cancer[emoji106] #diabetes [emoji106]#stroke[emoji106] #asthma[emoji106] #acne [emoji106]#toothache #tumors [emoji106]no side effects. come for scan call or what's up+2347062747116
we jamaa nilikua naona mtu wa maana sana kumbe takataka tu
 
cdm bana 😂 😂 😂 😂 , mtu mwenyewe hata kura za maoni hajatoka wa kwanza sasa sjui mnategemea miujiza gan ya kura! kampeni zinaanza tutaona mengi
 
Uvundo wa hatari
Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.

Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.

Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.

Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.

Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
 
Kujenga barabara , kujenga flyover na madaraja sio kabisa kigezo cha kuchaguliwa kuwa rais na wananchi , wakoloni walifanya mambo makubwa zaidi ya hayo...Walichokosea wakoloni walikuwa hawawapi uhuru wananchi ,waliwatesa ,walipewa ajira za kitumwa(kulima plantations) etc

Wananchi wanataka uhuru ,kwasasa uhuru hakuna watu wanaogopa kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii maana kuna sheria kibao za kumziba mwananchi mdomo waliojaribu kusema waziwazi tumeona kina lissu walivyopigwa risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini ,tumeona wapinzani walivyofungwa etc

Kutawala bila kufuata katiba/sheria:- Tumeshuhudia mtu firani akitoa maneno ambayo yanaenda kinyume na katiba kuzuia mikutano ya kisiasa kwa wapinzani huku chama chake kikifanya siasa saa 24 huku kikilindwa na dola ,tumeshuhudia vyama vya upinzani vikinyanyaswa na mamlaka ya usajiri na hatujwahi kusikia hata siku moja SISIEMU kikiandikiwa barua na msajili kitoe maelezo.

Tumeona kwa miaka mi5 hakuna nyongeza yeyote ya mishahara kwa watumishi wa umma kinyume na sheria za kazi/utumishi wa umma unavyotaka kwamba mfanyakazi anakuwa entitled na nyongeza ya mishahara kila mwaka,tumeshuhudia watu wanapandishwa vyeo lakini hakuna nyongeza ya mshahara.

Uchumi kupiga mweleka,katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia uchumi wetu umeipga mweleka kwa kiwango cha SGR ,haihitaji rocket sayansi katika hili,maduka mengi yamefungwa ,biashara nyingi zimefungwa ,masoko ya bidhaa nje zimeshuka, uwekezaji umeshuka.

Kunayanyasa wafanyabiashara wakubwa:-Katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia wafanyabiashara wakubwa wakipitia kwenye mkono wa chuma ,Mo kutekwa na genge la Bashite na kisa kuchotwa mabilioni kama ransom ,tumeshuhudia manji kufungwa na figisu za hapa na pale mpaka kupelekea Qaulity Group kuwa magofu ya kale na soko la mbaazi kushuka kutoka elfu 3 kwa kilo mpaka Tsh 100 , Lema Northern engineering alifungwa tu baada ya mtu kurani kuingia madarakani na kuchotwa mipesa.

Mambo ni mengi sana tunayaacha kwenye kampeni kupiga pini pesa za nssf/ppf ,kuweka kikotoo kipya etc ukifanya mambo ya hovyo yanayoguza/athiri maisha ya wananchi hakika hakuna atakayekupenda hata ujenge lami hadi milangoni na flyover hadi chumbani.


hongera kwa kuandika novel ndefu sana, ila amna cha maana umeandika apa, katika kipindi cha huu mwaka wote tsh ya tanzania ndo pesa pekee iliobaki stable kwa mwaka uzima ukijumlisha na corona ndo nchi pekee ambayo haijafukuza watu kwenye ajira kisa corona! kuhusu uchumi just shut up maaana ndo kwanza tumeingia uchumi wa kati, uhuru wa mitandao kwan hujaandika taarifa apa jamii forum na tumeisoma unataka uhuru gan mwingine? biashara kufungwa ni kitu cha kawaida sana hata kwenye uchumi imara biashara bado znafungwa na hata kwenye uchumi mbovu bado biashara nyingi zinafunguliwa! swala la lissu ni very open na hauna any evidence kwamba ni ccm inahusika kama una evidence jitokeze kafungue mashtaka utaskilizwa mahakama zpo nyingi sio lazima ufungue kesi tz.. kwa kua huna ushahidi then just shut the hell up or else mpaka apo unamashataka ya kujibu, mara wafanya biashara yaani unaongea vitu ambavyo hauna evidence navyo! of which ndo kiwakilishi kizuri cha cdm kazi yao kuongea vitu visivo na evidence! tunawaacha tu kwa kua hua hamnaga pointi za maana
 
Kujenga barabara , kujenga flyover na madaraja sio kabisa kigezo cha kuchaguliwa kuwa rais na wananchi , wakoloni walifanya mambo makubwa zaidi ya hayo...Walichokosea wakoloni walikuwa hawawapi uhuru wananchi ,waliwatesa ,walipewa ajira za kitumwa(kulima plantations) etc

Wananchi wanataka uhuru ,kwasasa uhuru hakuna watu wanaogopa kuandika chochote kwenye mitandao ya kijamii maana kuna sheria kibao za kumziba mwananchi mdomo waliojaribu kusema waziwazi tumeona kina lissu walivyopigwa risasi 38 huku 16 zikiingia mwilini ,tumeona wapinzani walivyofungwa etc

Kutawala bila kufuata katiba/sheria:- Tumeshuhudia mtu firani akitoa maneno ambayo yanaenda kinyume na katiba kuzuia mikutano ya kisiasa kwa wapinzani huku chama chake kikifanya siasa saa 24 huku kikilindwa na dola ,tumeshuhudia vyama vya upinzani vikinyanyaswa na mamlaka ya usajiri na hatujwahi kusikia hata siku moja SISIEMU kikiandikiwa barua na msajili kitoe maelezo.

Tumeona kwa miaka mi5 hakuna nyongeza yeyote ya mishahara kwa watumishi wa umma kinyume na sheria za kazi/utumishi wa umma unavyotaka kwamba mfanyakazi anakuwa entitled na nyongeza ya mishahara kila mwaka,tumeshuhudia watu wanapandishwa vyeo lakini hakuna nyongeza ya mshahara.

Uchumi kupiga mweleka,katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia uchumi wetu umeipga mweleka kwa kiwango cha SGR ,haihitaji rocket sayansi katika hili,maduka mengi yamefungwa ,biashara nyingi zimefungwa ,masoko ya bidhaa nje zimeshuka, uwekezaji umeshuka.

Kunayanyasa wafanyabiashara wakubwa:-Katika kipindi cha huyu bwana tumeshuhudia wafanyabiashara wakubwa wakipitia kwenye mkono wa chuma ,Mo kutekwa na genge la Bashite na kisa kuchotwa mabilioni kama ransom ,tumeshuhudia manji kufungwa na figisu za hapa na pale mpaka kupelekea Qaulity Group kuwa magofu ya kale na soko la mbaazi kushuka kutoka elfu 3 kwa kilo mpaka Tsh 100 , Lema Northern engineering alifungwa tu baada ya mtu kurani kuingia madarakani na kuchotwa mipesa.

Mambo ni mengi sana tunayaacha kwenye kampeni kupiga pini pesa za nssf/ppf ,kuweka kikotoo kipya etc ukifanya mambo ya hovyo yanayoguza/athiri maisha ya wananchi hakika hakuna atakayekupenda hata ujenge lami hadi milangoni na flyover hadi chumbani.

Kama sio kigezo cha kuchaguliwa kwenda ikulu hebu twambie mnakwenda ikulu kufanya nini? Mtawambia watanzania mtawafanyia nini? Bawacha hebu twambie
 
Kama sio kigezo cha kuchaguliwa kwenda ikulu hebu twambie mnakwenda ikulu kufanya nini? Mtawambia watanzania mtawafanyia nini? Bawacha hebu twambie

hawajawahi kuwaga na cha maaana , juzi juzi mbowe alienda kufanya kampeni jimboni kwake wakamtimua! wanalalamika jamaa kila akienda haongei atafanya nn ila anapiga story za lissu kila sku
 
Hivi kuna watu wazima wenye akili zao timamu bado wako wanawaza kua Tundu Lissu atashinda uchaguzi wa mwaka huu? Yani pamoja na umaarufu wa Dr. Slaa na wimbi la kuungwa mkono hadi kupeleka kura za maruhani, hakushinda, Tundu Lissu atashindaje yani. Nadhani tuwe realistic, Lissu mwaka huu hawezi kupenya, kimsingi sio Lissu, mpinzani yeyote hawezi penya.

Tuache ushabiki na tuwe wakweli.
 
Not this timeView attachment 1517562

Ujinga kama huu hautarudiwa tena

Mimi nitaendelea kukusifu kwa wewe kuwa na imani ya dini: Yesu anarudi miaka 2000 imepita na bado unaendelea kusubiri bila kukata tamaa, ra kwa mambo ya kidunia na yatendwayo na mwanadamu. NILIKUWA HUKO AMBAKO UKO WEWE LEO NA NIKAWA KIONGOZI NA KUTUMIA MALI ZANGU KUJENGA CHAMA UPARENI lakini baada ya kupata nafasi na nikachungulia nyumba, nilikuta nilivyo aminishwa sivyo. LEO NIPO KATI KWA KATI NA NIKIFUATILIA KWA UFAHAMU NA SIYO KWA HISIA.
 
Hahaha...watu na ndogo zao.. Mtaashia kusema mmeibiwa kura baada ya uchaguzi
 
Back
Top Bottom