Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Uchaguzi 2020 Ukweli ambao wana CCM hawataki kuusikia: Magufuli hatashinda Urais Uchaguzi Octoba 2020

Kifo hiki ni mpango wa Mungu. Maana ndiye aliyekuwa anategemewa kulazimisha matokeo. Hata 2015 kule Zanzibar ndiye aliyemwamuru Jecha kufuta uchaguzi. Sasa mbabe kafa na uhuru soon utapatikana iwe kwa jasho au damu.
Siyo huko tu hata Newala kwa Mkuchika,Mkapa alilazimisha wamtangaze huyo mzee tena walitangazia usiku kwenye redio Newala, mali ya halmashauri. Siku ile askari walipiga mabomu sana mji ulikuwa kimya ili wamtangaze huyo mzee. Wakichoniudhi walipiga mabomu mpaka ndani ya uzio wa hospitali kwa wagonjwa kuwatawanya wafuasi wa CUF ambai mgombea wao alivuna kura nyingi. Naona kifo hiki kitawaliza wengi kwa mambo mengine mno na siyo kifo kama kifo. Hatareee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hivyo vyombo sio malaika, bali vinaundwa na wanadamu wenye ukomo katika kufikiri na kutenda.
@Salary Slip asikudanganye mtu, CCM inaweza kupata viti vingi vya ubunge (approx 50%) lakini sio kushinda urais kwa KURA.
Niko kijijini huku tokea jana lakini kwa tafiti nilizofanya Magu ameumiza wengi na vijijini haya matambo ya ndege, madaraja, SGR sijui Stingaji nk ni hadithi zao wasizo na hamu nazo.
Magu labda aibe/apore lakini akijifanya kura za uwazi kama hizi maoni ya ubunge ccm basi ataishia aibu kama ya mwanae kule Kigamboni.
 
Chadema mnatufuraisha Sana kwa ndoto zenu
Niwaambie tu kuwa hata Mobutu alisifiwa sana kwenye utawala wake , waliomsifia walikuja na sababu lukuki.
Huenda Magufuli amefanya mengi mazuri kuliko hata Mobutu.

Hata yule aliyekuwa Rais wa Malawi walimsifia sana na wapo walioamini kuwa aliyoyafanya yatampa kiti tena kwa mara ya pili.

Mifano ni mingi, muda ni mchache. Kama vile waliomfyatulia risasi Tundulisu walijua tayari kinachofuata ni mazishi tu lakini ikawa tofauti.

Ile nguvu iliyomfanya Lisu awe hai pasi watesi wake kutarajia, the same power ndio itakayomkalisha Lisu madarakani kwenye uchaguzi ujao.

Tutaukumbuka utawala wako Mhe.
 
JIDANGANYE NA UMWAGIKAJI WA DAMU NYIE NDIOO WANAFIKI MLIOUANWATU ENZI ZA.LOWASSA MNATANGAZA MAANDAMANO MNABAKI NA WAKE ZENU NDAN MNAULIZA WAMEPIGEA SANA EEH NA TRIPUHII HATAHAYO MAANDAMANO MUANZIE WAPIII...M
CHUMBILE CHA MLUNGU CHA KUMEMEMENA
Hao ni watu na wao wana familia. Kama watafanya ubabe kuilinda ccm waziwazi, basi kutakuwa na umwagikaji damu na hapo ndipo ule uhuru utakapopatikana. Sababu inaweza tokea vita ya person to person maana wengi tunajuana
 
HOW TO GET PREGNANT.
This is a topic we as ladies suppose to discuss. I have.realised that most of us fails/failed to be pregnant because we tend to ignore small things which might lead to pregnancy failure.
1. Before you try to conceive. Plis its very important to clean the womb. The reason behind that is because if your womb is dirty e.g. ( infection) instead of allowing your fallopian tubes for fertilization, sperms will be killed by that infection before they can even reach the tubes.
2. Target your ovulation days. Most ladies don't know when and how to know that you ovulating. Simply to see that you ovulating. You will have that "horny " feeling of meeting your man, that is being horny" and the COLOURLESS discharge will come out. That's ovulation sign. It happens few days before your period. Use that chance. Otherwise other days might be useless.
3.avoid standing up emmidiately after sex. Or urinating. Because it kills or take sperms out side before they fertilize the egg.
4. Let's avoid over thinking about pregnancy when you want a baby. E.g. . Being too desperate to have a kid to an extend that you even go through fake signs of pregnancy. Fake pregnancy has same signs of real pregnancy too. E.g.
* vomiting
*being fat/thick
*missing period or spotting
*nausea
That's why when u test you find out that u negative. ..Why? Because you having fake signs of pregnancy produced by your hormones when u were desperately wanting a kid.SPECIAL MEDICINE FOR FIBROIDS
Do not tamper your body with operations we have medicine that cure permanently without surgery.Our medicine will eliminate the following SYMPTOMS of fibroids
👉 Pelvic pain or pressure
👉Heavy menstrual bleeding
👉 Bleeding or spotting between menstrual periods
👉 Unusually frequent urination
👉Abdominal swelling
👉 Low back pain during intercourse or during menstrual periods
👉Fatigue or low energy from heavy periods and excessive bleeding.
👉Infertility, if the fibroids are blocking the fallopian tubes.
👉Constipation
👉 Repeated miscarriages.
We also have medicine for👍 #hemorrhoids 👍#gas #ulcers 👍#kidney 👍stones👍 #hepatitis👍 #herpes 👍#heart disease #kidney failure👍 #warts👍 #cervical cancer👍 #breast cancer👍 #diabetes 👍#stroke👍 #asthma👍 #acne 👍#toothache #tumors 👍no side effects. come for scan call or what's up+2347062747116
 
Unajua kwenye maisha wajinga lazima wawepo na ndo huwa wanaachwa hata kwenye maendeleo.

Siamini kama kuna watu wajinga namna hii kwwnye huu uzi

Hvi kwa hali ya kawaida tuu...unashindaje uchaguz 2020 upinzani


Yan hata mtoto hawez waza kama mtoa mada..yaan anaamini kwwenye miujiza...nyie ndo mnaliwaga hela na kina gwajima na mwamposa
 
Uchaguzi huu wa 2020 ni mgumu mno tangu kuasisiwa kwa vyama vingi !!
True na upinzani utapata wabunge wengi Sana kuliko awamu zingine.
Bunge lijalo litakuwa strong lenye wabunge vichwa toka ccm na upinzani, upinzani utakuwa na wabunge wengi Sana upcoming.
 
Unajua kwenye maisha wajinga lazima wawepo na ndo huwa wanaachwa hata kwenye maendeleo.

Siamini kama kuna watu wajinga namna hii kwwnye huu uzi

Hvi kwa hali ya kawaida tuu...unashindaje uchaguz 2020 upinzani


Yan hata mtoto hawez waza kama mtoa mada..yaan anaamini kwwenye miujiza...nyie ndo mnaliwaga hela na kina gwajima na mwamposa
Inaitwa saikolojiko war,hakuna uhalisia, kumbuka October watu wanataka kulipiza kisasi cha kusomeshwa namba.
Siasa ni upepo sio hisabati.
Hata hao wakurugenzi ni wahanga
 
Hata 2015 mlituambia "Now or Never"

Huyo jamaa yenu hata ndani ya chama tu mpaka sasa katolewa ulimi na Nyalandu, sijui huo uhakika nnautoa wapi kuwa yeye ndiye mgombea.

Ukweli ni kwamba,wanaCCM hawawazi urais 2020 bali target ni kuchukua majimbo yote.
Hata 2015 hakushinda ila alitangazwa na kuapishwa.
Kuna nguruwe hawajui Kama alitangazwa tuu, na ndo sabb Ni muoga mnoo kwa upinzani
 
Kuna nguruwe hawajui Kama alitangazwa tuu, na ndo sabb Ni muoga mnoo kwa upinzani
Ni kipi sasa kitafanya asitangazwe tu mwaka huu?

Kama mnalijua hilo then zaidi ya uwendawazimu kuendelea kutubania pua na ngonjera zenu za Lisu.
 
Back
Top Bottom