Ukweli kuhusu aliyefungua mlango wa ndege ya Precision Air iliyopata ajali mjini Bukoba

Ukweli kuhusu aliyefungua mlango wa ndege ya Precision Air iliyopata ajali mjini Bukoba

Your head can't sustain simple argument like this? So that you turn to attack for assistance? What a waste.
What argument is there in first place other than envy? Let the young get the glory he deserves
 
What argument is there in first place other than envy? Let the young get the glory he deserves
The very reason I doubt your thinking capacity. What is envious in analysing multiple contradicting sources.
 
Nimeona wahanga wengi wakisema walifunguliwa na wasaidizi, Hilo likapelekea niweze kuhusu uwezekano wa kasia kuvunja mlango. Kumbuka mlango unafungwa kutoka nje. Hivyo resistance ni kubwa kama unagongwa kwa nje.

NB: Sitaki kubeza jitihada za Majaliwa bali kama binadamu mwenye akili timamu lazima nievaluate ninayoambiwa.
Emergency door/exit unaweza kufungua tokea nje au tokea ndani. Ndiyo maana ukaitwa mlango wa dharura ili kusaidia kuokoa waliomo ndani incase wameshindwa au wao wenyewe kujiokoa tokea ndani. Na hauna resistance kubwa kuuvunja kama mlango mkuu. Ule una utepe(strip) ambayo unaivuta kisha una smash hata kwa kichwa au kiwiko kama una nguvu. Hivyo hoja yako ya kasia kuwezakuvunja mlango nadhani nimeijibu.
 
Kiswahili sahihi ni wahanga ni watu wanaojitoa muhanga yaani WaPo tayari kufa kwa ajili ya wengine au kitu fulani wanaookolewa ni waathilika
 
Mbona wavivu sana kufikiri nyie... Mbona hata kwenye picha ilionesha sehemu ya nyuma ikiwa haijazama na sehemu ya mbele ikiwa imezama? Ulimsikia yule abiria alokua amekaa siti ya mwisho kabisa kwenye ndege alichosema? Na alisisitiza kabisa mhudumu alihangaika sana kufungua mlango na akasema badae mlango ulifunguka ila hana uhakika kama ni mhudumu ndo alifungua au nini kilitokea ukafunguka. Na majaliwa mwenyewe alisema baada ya kusaidia mlango kufunguka ndio akahamia mbele kwa rubani...hii maanake ni kuwa mlango alosaidia kufungua majaliwa ulikua nyuma na wote tunajua sehemu ya nyuma ilikua bado haijazama kwenye maji.
Nyie wachambuzi uchwara hamuwezi hata kuconnect dots afu mnajifanya makachero
Mkuu, hivi ushawahi kufanya kazi airport? Nimeuliza tu kwa kuwa unachokizungumza wewe sicho ambacho tunakutana nacho wakati wa kuipokea ndege ikiwa inafanya landing. Umechukulia mambo kirahisi sana. Ungekuwa DSM nimgekuarika hapa Mwalimu Nyerere walau ufanye majaribio
 
Unfortunately its too late to change the tale. The youngin is getting already his flowers and recognition. It was written from day one he came off his moms womb. Thats his destiny, greatness.
 
Uchwara ni wewe usiyehoji mambo. Siwezi kumsikiliza majaliwa bila kuhoji kama nina maswali ya kuhoji. Unategemea majaliwa asemme ukweli? kwanini umuamini? Kama kuna sehemu ya kuhoji lazima uhoji..
Wewe unakimbilia kuhoji hata taarifa ya kutosha huna....tafuta taarifa kwanza mbona iko wazi kabisa na unajua wengi waliopona ni waliokua wamekaa siti za nyuma? Hilo nalo linahitaji darasa au ni wivu tu kwa kijana mwenzio majaliwa
 
Unfortunately its too late to change the tale. The youngin is getting already his flowers and recognition. It was written from day one he came off his moms womb. Thats his destiny, greatness.
My analysis is regardless the recognition is getting. And your ability to analyse the case is being blurred by the attention he's getting.
 
Mkuu, hivi ushawahi kufanya kazi airport? Nimeuliza tu kwa kuwa unachokizungumza wewe sicho ambacho tunakutana nacho wakati wa kuipokea ndege ikiwa inafanya landing. Umechukulia mambo kirahisi sana. Ungekuwa DSM nimgekuarika hapa Mwalimu Nyerere walau ufanye majaribio
Kufanya kazi airport hakuna uhusiano.. precision yenyewe nimepanda sana kutokea Arusha kupitia Zanzibar kuja Dar. Mlango wa dharura haukufunguka hata baada ya mhudumu kujaribu kuufungua hata abiria wamesema,ila baadae ulifunguka na huenda ni baada ya kugongwa kwa nje na majaliwa. Unachozungumzia wewe ni katika hali ya kawaida sio katika ajali. Kwenye ajali ni kawaida mlango kugoma kufunguka baada ya impact hata kama uko unlocked na ni nguvu tu ndio inaweza saidia kufungua
 
My analysis is regardless the recognition is getting. And your ability to analyse the case is being blurred by the attention he's getting.
Talking like you are in aviation industry when you are just some dude with a smartphone and plent of time to waste.
 
Kinachonifurahisha mleta uzi na wanaocomments umu wengi hakuna ata mmoja aliyekuwa eneo la tukio wala muathirika wa tukio lile..akili mgando hizi
Watu nchi hii hata kushukuru tu kuna watu wametoka salama washukuru Mungu hapana wako busy kumuonea wivu Majaliwa. Kama tunaona shida basi wakuwashutumu uwongo RC,Waziri mkuu ndio muwaseme maana sisi tumemjuwa kwa kauli zao na Waziri mkuu ni mtu well informed na kiongozi wetu kwa hiyo mnataka kusemaje? yuko Mama kasema kuna kijana alizamia ndani akamfungua mkanda na kumsukuma juu jiulize wewe ungeweza kufanya nini?
 
Watu nchi hii hata kushukuru tu kuna watu wametoka salama washukuru Mungu hapana wako busy kumuonea wivu Majaliwa. Kama tunaona shida basi wakuwashutumu uwongo RC,Waziri mkuu ndio muwaseme maana sisi tumemjuwa kwa kauli zao na Waziri mkuu ni mtu well informed na kiongozi wetu kwa hiyo mnataka kusemaje? yuko Mama kasema kuna kijana alizamia ndani akamfungua mkanda na kumsukuma juu jiulize wewe ungeweza kufanya nini?
Off-topic.
 
Kabla maji hayajaingia ndani,presha inakuwa kubwa nje,kutokana nap mgandamizo wa maji,maji baada ya kuingia, presha ya ndani na nje inakuwa Sawa,hapo kuuvunja inakuwa rahisi,kingine Cha kufahamu hii Ndege sio kwamba ilikuwa imepaki,then unavunja mlango!!,inawezekana mlango ulikuwa umeishapata damage kutokana na impact kubwa baada ya Ndege kujibamiza kwenye maji,
Mechanically speeking, mlango ulikuwa umeishaharibika,haukuwa imara Tena.
Wrong one, mlango wa Dharula uliopo Nyuma na ule wa wakawaida uliopo nyuma hakuguzwa na maji. Hivyo wahudumu walifungua kama inavyohitajika.
 
Uko sahihi kabisa. Mlango gani ulikuwa nje ya maji? Maana kama mlango ulikuwa ndani ya maji, then unaubomoaje wakati maji yanakandamiza mlango inwards towards the plane na unaufunguaje?

Secondly, ukiufungua na uko ndani ya maji, maji yatajaa ndani INSTANTLY na kuwaua wote after some few seconds of being submerged

Tusiwe matutusa kukubali story za majaliwa! We are not all fools
Tusiwe matutusa kukubali story za majaliwa! We are not all fools[emoji23]
 
Back
Top Bottom