Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

Fara ajibu.

Mhurumieni duduz huenda bado anajiandaa ku-sapua kesho si unajua tena kwa SUA sasa hivi wana September conference! Akimaliza atakuja kujibu maswali yote, BVM siyooo kabisaaaaaaaaa!!
 
Kwa wale walio chaguliwa SUA hongereni sana but ndugu zanguni mnaokuja DEPARTMENT OF AGRICULTURAL ENGINEERING(DAELP) Karibuni sana ni bonge la course lakini mtakaribishwa na michoro mpaka mtatubu kuna mtu anaitwa Eng.Terengia Materu atawafanya m feel mpo chuoni bhn ombeeni mungu msifundishwe na expert wa michoro Dr.Mganilwa Z.M Haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
huku haziitwi SAP zinaitwa PROBATION EXAMS ni shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiida
 
SUA yan full xana mtaipenda tuu
SEMESTER 1 AGRICULTURAL ENGINEERING kizigo chenu naandika jina la course lecturer na credits zake
AE 110 WORKSHOP TRAINING-2.0
AE 111 ENG. DRAWING-2.0-MATERU S.T
AE 112 ENG STATICS-2.0-PROF. MPANDUJI(Ze great conca)
AE 113 INTRO. AGR. ENG.-2.0-PROF. MBILINYI
MTH 104 GENERAL MATHS I-2.0-NYARUSANDA LINUS
AS 101 ANIMAL HEALTH & PDN-1.0-PROF ABOOD(Mnyama)
CIT 100 MICROCOMP APPL.-2.0-
 

Bila kusahau usafiri Wa Bajaj Mkuu, pia bodaboda ambayo ni 1000/= mpaka town na 500 main to new hostel!!
 
kweli mkuu... hasahasa wale wenzangu wa BVM ..... mje mkiwa mmeaga vizuriiii.... maana kuna biochem ... grossy anatomy pamoja na developmental anatomy... bila kusahau histology... zinasumbua sana kwa 1st year

Mkuu usinikumbushe Biochem ya Mutayoba na timu yake! Ni matatizoooo! Pia Gross anatomy ya Assey na Mbasa ni majangaaaaa! Sina hamu!! Wacha siye tujigongee Range, shida ya nini bwana!!
 
yeah... mkuu koziii ipo vizuri iyo.... tutakuwa wote katika department yetu ya veterinary medicene..... about msuliii inahitaji msuliiii kimtindo... karibu sua kijana

Hapana Mkuu, mwambie huyo Wa BLS mtakuwa faculty moja ya veterinary medicine na siyo department!!
 
wewe ni mwanasua, ulienda kufanya nini freedom square.. Umeshikwa na wewe tena inaonekana unangoma kama nne hivi.!

Eti kanajidai ni kageni hapo SUA kumbe kaliingiza manne!
 

HUO Uwezo Niliupata NACTE mkuu kule tuliruhusiwa huenda hayo maelekezo yako ni ya TCU Na Bila Shaka Huelewi Maana Ya Gpa.
Ha ha ha Utani Tu Huo Dogo Hapo Mwshoni Ila Ndio Hivyo Tena Mwenzenu Nina F/A
 
ni vyema kuwasaidia hawa madogo.... nakumbuka enzi izo mlitusaidia sana...... so na sisi ngoja tuwasaidie japo si kivile but wataondoka na kitu hapaa...
 
vp mkuu? uliomba kozi gani hapa chuoniiiii
 
ni kozi inayohusisha mambo ya mboga mboga na matunda.... hii koziii itakufaa sana iwapo utajiajiriiii... ukifika chuoni nitafute nikuunganishe kwa vijana wangu hope watakupa principal za kusoma.... na utafanikiwa bila tatizo
 
ahaaaahaa mkuu.... safarii hii nimetoka salamaaaa aise.... hope unaenjoy maisha ya range management huko mazimbu
 
Jaman wanasua,naomba kuuliza kuhusu course ya Human nutrition ikoje na ajira zake hapo baadae maana kuna mtu ananishauri nibadilishe..msaada please wakuu
 
DOGO iyo kozi iko vizuriiii..... na ajira kwa sasa hivi haisumbuiii..... kwa ushauri wangu we njoo usome... na hakuna haja ya kubadilisha kisa umeshauriwa na mtu... na pia angalia wewe kama wewe malengo yako ni yapiii.... na kaa chini ujiulize why uliijaza kama 1st priority wakati wa ku apply.. wish u all da best
 
mbona hiyo ni bachelor course... vp kwenye selection zilizotoka juzi jina lako halipo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…