Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

Moyibi

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,054
Reaction score
701
Kwanza niwapongeze wale wote waliochagulia hapa chuoni kwetu (SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE ) kwa sababu mmepata bahati sana na pia hamtojutia kupata nafasi katika chuo chetu hiki kikongwe kilichobobea katika kilimo Tanzania na duniani kote.....

Haya sasa kama wewe ni first year na unaetegemea kujiunga na chuo chetu karibu sana kwa maswaliiii na utajibiwa bila tatizo lolote...... all in all karibu katika HOME OF EXCELLENCE
Watu wengi wamekuwa wakipenda sana kuwatisha waliochaguliwa hasa first year kwamba SUA chungu

Si kweli kwamba SUA ni chungu but ni kweli kwamba SUA pana ugumu wake, Kudisco SUA ni kazi na pia ni rahisi

NI RAHISI kwasababu SUA ili ufaulu kwenda mwaka unaofuata according to sheri 13.2 na 13.3 ni lazima uwe na credit hours 16 na kuendelea na GPA ya 2 na kupanda, hivyo unakuta wengi wanashindwa kufikisha credit hours 16 na kudisco na kwa mwaka huu wengi wamedisco wamedisco unakuta wana credit hours 15.5.

NI KAZI KUDISCO SUA kwasababu SUA huwezi kudisco semister ya kwanza mpaka usome zote mbili, na kwa mwaka huu ulioisha kimasomo imeonekana mwaka wa kwanza wengi semister ya kwanza waliharibu but semister ya pili walijitahidi na kujiokoa.

Ki ujumla SUA ni kazi kudisco kama ukifuata sheria zake na kuhudhuria vipindi, sema ni ngumu maana vipindi huwa ni masaa karibia matatu na muda mwingi mnajikuta mpo mnasoma lakini ukiweza kujipanga SUA utaiona rahisi na utakula bata kama kawa. Hivyo first year naomba msiogope na karibuni sana SUA na kwa wale wa MAZIMBU CAMPUS karibuni sana na mtaenjoy sana kuja SUA kama mtakuwa committed, ila naomba ujue kama unapenda mzaha basi SUA sio mahala pake maana hapa sheria inafuatwa hivyo utajikuta umedisco kwa kosa la kijinga sana.

KARIBUNI SANA HOME OF AGRICULTURE
 
Kama una 100% ya mkopo kuna hela unatakiwa kulipia?
 
kwa bachelor of food sc and technology ikoje hiyo na inadili na nn?
 
Wale panya wa kutegua mabomu pale APOPO mnawatoa wapi na mafunzo hayo nani anagharamia ya kufundisha hao panyabuku?
 
Kitengo cha vipando na mimea kina maabara kuu wapi ya kutafiti magonjwa yafahamikayo kama cassava mealbug attack na end rote disease katika nyanya
 
Poa Mkuu.mana nilitaka kujua km sehm ya ada unalipa wakat unasubri mkopo
 
Back
Top Bottom