Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Habari wakuu,
Hapa juzi elimu kuhusu crypto currency imekuwa inatrend Hadi bungeni huko, wabunge wameanza kuwa wanazungumzia hili swala, yule mbunge kafika mahali kabisa kasema serikali ingenunua Bitcoin za billion moja 2010 saizi tungekuwa na hela za kutosha.
Kwanza kabisa nipende kuseam kuwa crypto currency (sarafu za kidigital) ni kweli ipo na dunia inaelekea huko, kama usipojifunza saizi 2035 huko utajifunza whether you like or note, usifikili 2035 ni mbali. Kwani ndio itakuwa medium of exchange baada ya kutumia paper money kwa muda mrefu, kumbuka Kuna evolution of money ,tulitoka bater trade - metalic money -coin money - paper money soon tunaenda kwenye sarafu za kidigital.
Kwenye crypto currency Kuna vitu viwili.
Kama utaamua kutrade crypto currency Basi kaa ukijua upo kwenye list ya kupoteza pesa zako kwanin hutanunua coin zenye project utanunua shit coin na meme coin ambazo muda wowote zitapanda na kushuka Kama kimbunga, utajikuta unadeal na airdrop za kutosha. Hapa unaweza kumake pesa kwa haraka ,vile vile unaweza kupoteza pesa haraka haraka. Hii haiepukiki lazima tu utapoteza Kama utaamua kutdrade.
- Kama utaamua kuhold coin hapa una asilimia 99.99% ya kutokupoteza pesa yako, hii ni endapo utaamua kusoma na kuhold coin zenye project ndefu na imara huku ukitegemea kukaaa nazo zaidi ya miaka 5-10, hapa namaanisha unanunua coin unaiweka bila kuigusa, kama unavoweza nunua mahindi na kuyaweka kwenye store huku ukisubili Bei yake ipande.
Note: KWENYE CRYPTO HAKUNA MAFANIKIO YA MUDA MCHACHE ,MAFANAIKIO YA COIN YEYOTE UNAKUJA KUYAONA BAADA YA MIAKA 5-10, UKIHOLD COIN KWA JUMLA YA MIAKA 10 KWENYE WALLET YAKO KAA UKIJUA HIO COIN ITAKUBADILISHA MAISHA YAKO NA HUTOJUTA. TAITIZO NI KWAMBA WATU HAWAWEZI KUFANYA HIVYO.
- Usije ukafikili Crypto currency ni kazi, hapa utakufa na stress, hii sio kazi, hii ni sawa na uwekezaji, badala uchukue pesa yako uiweke bank uje uichukue baada ya miaka 5 ndio wanashauri ununua coin, kwan hio coin utakayo nunua baada ya miaka hiyo mitano itakuwa imepanda bei, kununua coin ni sawa umenunua mazao umeweka ndan umesubili yapande ndio uuze.
- Coin yeyote ambayo madeveloper Wana project nzuri, hio coin huwa inapanda kila mwaka usipoteza muda kuwaza kuwa coin haipandi inaweza ikapanda na kushuka wiki kadhaa miaze kachaa, lakin haiwezi kupita miaka miwili coin ipo pale pale.
Watu wengi wanashindwa kuhold coin kwa ajiri ya mafanikio ya mbele, na kujikuta wakitrade, uza na kununua ,wanaona coin inpump wananunua coin haina hata market cap, total supply haipo, circulating supply ni 0.00 lakin anajilipua tu. Kuna coin ambazo ni scam, yaani unanunua coin unaona inapanda badae ukiswap unakuta hakuna hela, haina value na anakuwa amepoteza pesa. Hivi vyote ni vimbwanga ambavyo wanakutana navyo watu wanaotrade. Kama umehold unakuwa zako pemben unaendelea na maisha yako.
Usije ukafikili hii ni biashara Kama huna kazi[emoji28] ,Kwan daily utashinda unafungua trust wallet, binance, kuaangalia coin zako huu ni uwekeza Kama nilivosema Kama unataka utajiri wekeza then endelea na Mambo yako yaan nunua coin then endelea na shughuri zako za kila siku.
JINSI UNAWEZA KUTAPELIWA
- Kwa wakala, sheria za crypto currency kama unataka kununua coin unamtumia kwanza pesa wakala, then wewe ndio anakutumia coin hapa hapa baadhi ya watu huko kwenye magroup ya wasap na telegram wamepigwa sana na kuichukia crypto japo kwa Sasa hili tatizo limeshatatuliwa, mfn binance kuna mawakala kabisa wamesajiliwa wanafanya hizo kazi.
- Kununua scam coin, kuna coin ambazo ni scam unaweza nunua na kujikuta umepoteza pesa, hizi coin zinakuwa kabisa kwenye wallet na usipokuwa Makin unapigwa vizuri, so kupitia kusoma kwanza yote haya utayaepuka, so inatakiwa unakuwa Makin.
Crypto is real, tuendeleaa kujifunza
Uzi tayari
/URL]
Hapa juzi elimu kuhusu crypto currency imekuwa inatrend Hadi bungeni huko, wabunge wameanza kuwa wanazungumzia hili swala, yule mbunge kafika mahali kabisa kasema serikali ingenunua Bitcoin za billion moja 2010 saizi tungekuwa na hela za kutosha.
Kwanza kabisa nipende kuseam kuwa crypto currency (sarafu za kidigital) ni kweli ipo na dunia inaelekea huko, kama usipojifunza saizi 2035 huko utajifunza whether you like or note, usifikili 2035 ni mbali. Kwani ndio itakuwa medium of exchange baada ya kutumia paper money kwa muda mrefu, kumbuka Kuna evolution of money ,tulitoka bater trade - metalic money -coin money - paper money soon tunaenda kwenye sarafu za kidigital.
Kwenye crypto currency Kuna vitu viwili.
- KUTRADE CRYPTO CURRENCY
- KUHOLD CRYPTO CURRENCY
Kama utaamua kutrade crypto currency Basi kaa ukijua upo kwenye list ya kupoteza pesa zako kwanin hutanunua coin zenye project utanunua shit coin na meme coin ambazo muda wowote zitapanda na kushuka Kama kimbunga, utajikuta unadeal na airdrop za kutosha. Hapa unaweza kumake pesa kwa haraka ,vile vile unaweza kupoteza pesa haraka haraka. Hii haiepukiki lazima tu utapoteza Kama utaamua kutdrade.
- Kama utaamua kuhold coin hapa una asilimia 99.99% ya kutokupoteza pesa yako, hii ni endapo utaamua kusoma na kuhold coin zenye project ndefu na imara huku ukitegemea kukaaa nazo zaidi ya miaka 5-10, hapa namaanisha unanunua coin unaiweka bila kuigusa, kama unavoweza nunua mahindi na kuyaweka kwenye store huku ukisubili Bei yake ipande.
Note: KWENYE CRYPTO HAKUNA MAFANIKIO YA MUDA MCHACHE ,MAFANAIKIO YA COIN YEYOTE UNAKUJA KUYAONA BAADA YA MIAKA 5-10, UKIHOLD COIN KWA JUMLA YA MIAKA 10 KWENYE WALLET YAKO KAA UKIJUA HIO COIN ITAKUBADILISHA MAISHA YAKO NA HUTOJUTA. TAITIZO NI KWAMBA WATU HAWAWEZI KUFANYA HIVYO.
- Usije ukafikili Crypto currency ni kazi, hapa utakufa na stress, hii sio kazi, hii ni sawa na uwekezaji, badala uchukue pesa yako uiweke bank uje uichukue baada ya miaka 5 ndio wanashauri ununua coin, kwan hio coin utakayo nunua baada ya miaka hiyo mitano itakuwa imepanda bei, kununua coin ni sawa umenunua mazao umeweka ndan umesubili yapande ndio uuze.
- Coin yeyote ambayo madeveloper Wana project nzuri, hio coin huwa inapanda kila mwaka usipoteza muda kuwaza kuwa coin haipandi inaweza ikapanda na kushuka wiki kadhaa miaze kachaa, lakin haiwezi kupita miaka miwili coin ipo pale pale.
Watu wengi wanashindwa kuhold coin kwa ajiri ya mafanikio ya mbele, na kujikuta wakitrade, uza na kununua ,wanaona coin inpump wananunua coin haina hata market cap, total supply haipo, circulating supply ni 0.00 lakin anajilipua tu. Kuna coin ambazo ni scam, yaani unanunua coin unaona inapanda badae ukiswap unakuta hakuna hela, haina value na anakuwa amepoteza pesa. Hivi vyote ni vimbwanga ambavyo wanakutana navyo watu wanaotrade. Kama umehold unakuwa zako pemben unaendelea na maisha yako.
Usije ukafikili hii ni biashara Kama huna kazi[emoji28] ,Kwan daily utashinda unafungua trust wallet, binance, kuaangalia coin zako huu ni uwekeza Kama nilivosema Kama unataka utajiri wekeza then endelea na Mambo yako yaan nunua coin then endelea na shughuri zako za kila siku.
JINSI UNAWEZA KUTAPELIWA
- Kwa wakala, sheria za crypto currency kama unataka kununua coin unamtumia kwanza pesa wakala, then wewe ndio anakutumia coin hapa hapa baadhi ya watu huko kwenye magroup ya wasap na telegram wamepigwa sana na kuichukia crypto japo kwa Sasa hili tatizo limeshatatuliwa, mfn binance kuna mawakala kabisa wamesajiliwa wanafanya hizo kazi.
- Kununua scam coin, kuna coin ambazo ni scam unaweza nunua na kujikuta umepoteza pesa, hizi coin zinakuwa kabisa kwenye wallet na usipokuwa Makin unapigwa vizuri, so kupitia kusoma kwanza yote haya utayaepuka, so inatakiwa unakuwa Makin.
Crypto is real, tuendeleaa kujifunza
Uzi tayari
/URL]