Ukweli kuhusu crypto currency mtu hawezi kukuambia

Ukweli kuhusu crypto currency mtu hawezi kukuambia

Wewe kama una kopesheka, chukua mkopo ktk mabenki, peleka ktk hizo Crypts wekeza huko kwa kipindi cha umri wa miaka 5 - 10, baada ya hapo chungulia una faida kiasi gani baada ya kuweka 50Milion na baada ya miaka 5 - 10 una kiasi gani?

Huku mshahara wako una endelea kukatwa kulipa deni la bank, huku una endelea kuishi kwa marupurupu, maposhosho na kiasi kidogo baada ya makato na pesa baada ya kupanda tucheo ktk hiko kipindi cha miaka 5 - 10

Ukija kujikuta una 1bilion una toa kiasi au una endelea kuacha ikomae kama Desi...

Ukifa hukuacha taarifa kwa mke watoto na ndugu Basi imekula kwako... Umekufa na Mali yako
 
Najaribu kununua Dogecoin kwa Coinbase inataka passport yaani [emoji2]
 
Nakupongeza Mkuu Pain Killer kwa Maarifa mazuri,Niko kijijini nalima MAPARACHICHI nasubiri Milioni 900, Kisha nirudi mjini(DCC) ,NITAKUTAFUTA !!!!!
 
Kama imekupita hii, Iko recorder fuatilia na usikilize.

1642402700111.png


Wadau 3.4K walikuwepo!
 
Kuna coin ambazo zimeshakuwa imara tayari kwenye soko Kama ...

Etherium ,Bitcoin ,Solana ,bnb ...

Kwa mtu anayeanza Hana kiasi cha pesa kikubwa siwezi kumshauli kuhold hizo coin ,Kwan Bei yake iko juu ....ila Kama una pesa za kutosha unaweza nunua ....

Coin zenye project unazijua unavosoma na kufuatilia Mambo ..mfan Tron ,doge coin ,Shiba Inu , UMI , n.k .....hizi ni coin ambazo project yake ni kubwa na hazitakuja kupotea kwenye ulimwengu wa crypto na Bei zake ni kawaida Sana .....

Mfn

1tron=$0.1134..

1shiba Inu =$0.0000546..

Hizo ni coin ambazo kufika 2030 Bei zake zitakuwa zimepanda ,sitaki kusema zitakuwa ngapi ,ila zikiwa juu...

Hizo coin haizshuki sanaa ,Wala huwa hazipandi kwa fujo,ziko slow
But sure ....
Tutakuja kukumbuka shuka siku Tron akiwa $10 ,Shiba akiwa $0.1.....muda utaongea
 
Mwaka 2017 Tron (TRX) ilianzishwa Bei yake ikiwa

1tron =$0.0015 .....

Kwa wakati huo Kama kuna mtu aliamua kununua Tron za $100 ,hii ni sawa na laki mbili na nusu .....

Maana yake angekuwa na Tron ngapi unajua

1 Tron = $0.0015
?=$100

Maana yake angekuwa na tron 66,666.67 hivi ....

Unajua Bei ya Sasa ya Tron ni ngapi ,leo 2021 ......1tro = $0.10825

Hio ni miaka 4 imepita ....

So akisema auze Leo tron zake atakuwa na

1tron = $0.10825
66,666.67tro. = ???

So hapo atakuwa na $ 7216.67

Hizo unajua ni sawa na shilling ngapi ? Ni 18 million ....

Sasa unajiuliza kanunua Tron za laki mbili na nusu Leo anatron za million 18 ndani ya miaka 4 .....

Kama utaamua kuhold coin na kuendelea na Mambo yako kwa muda mrefu kaa ukijua huko mbeleni hata mwalimu ambaye amestafu amepewa pension zake huko nssf atakuamkia shikamoo kaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].... ......

Hapo nimaaua kuacha Bitcoin Kwan mwaka 2010 wengi huenda hatukuwa na smart phone ,nimeamua kuchukua mwaka 2017 ambao wengi humu tulikuwa tunatambua Mambo kabisa

HOLd Hold hold ..... crypto is real

Mkuu we ume hold???[emoji1666]
 
Mkuu coin zinapanda na kushuka ,unaweza kuta mwezi huu imeshuka Sana ,mwezi ujao ikapanda ....


Mimi nazungumzia project ya miaka 5-10 ...

Yaani coin ukikaa nayo kwa muda huo trust me ,hio coin ITAKUBADILISHA MAISHA na utashangaa ......
Je unaweza kununua kidogo kidogo mfano nanunua za /20000 nakuja nanunua za 50000 Kama hivo an
 
Mkuu coin zinapanda na kushuka ,unaweza kuta mwezi huu imeshuka Sana ,mwezi ujao ikapanda ....


Mimi nazungumzia project ya miaka 5-10 ...

Yaani coin ukikaa nayo kwa muda huo trust me ,hio coin ITAKUBADILISHA MAISHA na utashangaa ......
Sio Lazima,ICP,FIL,DOT,HNT haijarudi ATH yake hadi hadi leo hii
 
Asante mkuu nikikwama nitakutafuta unipe madini zaidi...kinachoniumaga sana mwaka 2017 btc ilishuka mpaka 5000$ nilikuwa na tsh 20,000,000 nikataka ninunue btc jamaa yangu mmoja ananiambia nimerukwa na akili nikaachana na hyo ishu.Je nisingemsikiliza nikaufuata moyo wangu leo ningekuwa na sh ngapi?
Ungekua na milioni 400
 
Back
Top Bottom