Ukweli kuhusu crypto currency mtu hawezi kukuambia

Ukweli kuhusu crypto currency mtu hawezi kukuambia

Bank zitakuwepo Kama kawaida lakin soko la crypto litakuwa limeshakuwa kubwa sanaa....

Crypto saizi inaharibia biashara bank ,mtu anaona kuliko akaweke pesa yake bank ,anaona Bora anunue Bitcoin ,Kwan anajua hio pesa ambayo amenunua Bitcoin inaweza kupanda ,kuliko kuiweka bank ambapo utaikuta Kama ilivyo .....

Na nikwambie tu watu Wana mabllion ya pesa kwenye coin ,pesa ambazo ukiweka bank Basi wataanza kufuatilia na kujua chanzo cha pesa zako ,na ikiwezekana kukufungulia kesi za uhujumu uchumi ....

Hii ndio block chain technology ,HAKUNA kujua mtu flan anautajiri kiasi gan na kuanza kufuatilia miamala ya watu ...
Ok! Government inaweza kunufaika vipi na hii system? Kupanda na kushuka kwa thaman ya currency kuna watu huko wanaratibu au mfumo unajiendeshaje haswaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Pain killer kuna uzi kama nitakuwa sijakosea ulisema kuwa

Una pata faida ya usd 100 kila siku na umeifanya crypto kama mbadala wa sport betting sasa mi nataka kujua tofauti na kuwekeza kwa muda mrefu/ kuhold nifanyeje ili nipate faida na hii crypto?
 
Mkuu Pain killer kuna uzi kama nitakuwa sijakosea ulisema kuwa

Una pata faida ya usd 100 kila siku na umeifanya crypto kama mbadala wa sport betting sasa mi nataka kujua tofauti na kuwekeza kwa muda mrefu/ kuhold nifanyeje ili nipate faida na hii crypto?
Kwanza kabisa nisema ,sijawahi kusema kuwa nnimepata faida ya $100 kila siku ..

Crtypo unaweza kutrade, au kuhold, hakuna kingine zaidi ya hapo unaweza kutengeneza pesa ....
 
Ok! Government inaweza kunufaika vipi na hii system? Kupanda na kushuka kwa thaman ya currency kuna watu huko wanaratibu au mfumo unajiendeshaje haswaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza kabisa wale madeveloper au mafounder wa coin wanauwezo wa kuipush coin ikapanda .....wanafanyaje .....

Mfano Kama mafounder ni watu wazito na Wana project Pana ...

Wanahakikisha wanaingia ubia na kampuni labda za magari ,hotel Kali na migahawa , supermarket kubwa kubwa ,ziance kuaccept coin .....

Kitendo cha kufanya hivyo kina sababisha demand inaongezeka,so coin inazid kuspread .....

Kiufupi kupanda na kushuka kwa coin Kuna sababishwa na demand and supply .....waliosoma economics najua wanaelewa ....esapecially ile topic the theory of demand and supply .....

Kuhusu government kunufuaika ...HAKUNA muujiza mwingine mkuu zaidi ya kununu coin na kusubili ipande iuzweee over.....


Ndio maana yule mbunge alidiliki kusema ,serikali ingenunua Bitcoin za billion moja wakati ule Bitcoin inaanzishwa Bei ikiwa chini sanaa ....


Ukiangalia utagundua kuwa ni kitu cha kuhold and to wait price to be high so as you can sell at high price to earn more profit.....
 
Haya mavitu ni Pasua kichwa,ndio maana Bill Gates kuna wakati alisema usithubutu kuwekeza pesa zako huko kama hauko vizuri kiuchumi
Yaaah ni kweli ,Kama haupo vizuri kiu chumi huwezi fanya crypto currency Kwan njaa itakutafuna na utauza coin ndan ya wiki tatu tu bila kuona faida yake .....

Njaa ni kitu kibaya saaa kaa mbali na njaa
 
Kwanza kabisa wale madeveloper au mafounder wa coin wanauwezo wa kuipush coin ikapanda .....wanafanyaje .....

Mfano Kama mafounder ni watu wazito na Wana project Pana ...

Wanahakikisha wanaingia ubia na kampuni labda za magari ,hotel Kali na migahawa , supermarket kubwa kubwa ,ziance kuaccept coin .....

Kitendo cha kufanya hivyo kina sababisha demand inaongezeka,so coin inazid kuspread .....

Kiufupi kupanda na kushuka kwa coin Kuna sababishwa na demand and supply .....waliosoma economics najua wanaelewa ....esapecially ile topic the theory of demand and supply .....

Kuhusu government kunufuaika ...HAKUNA muujiza mwingine mkuu zaidi ya kununu coin na kusubili ipande iuzweee over.....


Ndio maana yule mbunge alidiliki kusema ,serikali ingenunua Bitcoin za billion moja wakati ule Bitcoin inaanzishwa Bei ikiwa chini sanaa ....


Ukiangalia utagundua kuwa ni kitu cha kuhold and to wait price to be high so as you can sell at high price to earn more profit.....
Nashukuru kwa elimu ya leo, je! Naweza kukufata dm nikiwa na shida juu ya masuala haya? Mfano nimepakua hii hapa ila sijajua nawekaje pesa niweze kununua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka 2017 Tron (TRX) ilianzishwa Bei yake ikiwa

1tron =$0.0015 .....

Kwa wakati huo Kama kuna mtu aliamua kununua Tron za $100 ,hii ni sawa na laki mbili na nusu .....

Maana yake angekuwa na Tron ngapi unajua

1 Tron = $0.0015
?=$100

Maana yake angekuwa na tron 66,666.67 hivi ....

Unajua Bei ya Sasa ya Tron ni ngapi ,leo 2021 ......1tro = $0.10825

Hio ni miaka 4 imepita ....

So akisema auze Leo tron zake atakuwa na

1tron = $0.10825
66,666.67tro. = ???

So hapo atakuwa na $ 7216.67

Hizo unajua ni sawa na shilling ngapi ? Ni 18 million ....

Sasa unajiuliza kanunua Tron za laki mbili na nusu Leo anatron za million 18 ndani ya miaka 4 .....

Kama utaamua kuhold coin na kuendelea na Mambo yako kwa muda mrefu kaa ukijua huko mbeleni hata mwalimu ambaye amestafu amepewa pension zake huko nssf atakuamkia shikamoo kaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].... ......

Hapo nimaaua kuacha Bitcoin Kwan mwaka 2010 wengi huenda hatukuwa na smart phone ,nimeamua kuchukua mwaka 2017 ambao wengi humu tulikuwa tunatambua Mambo kabisa

HOLd Hold hold ..... crypto is real
 
Tunaomba elimu zaidi hapo kwenye scam websites na scam coins
Scam coin ......

Hii ni kwa watu wanaotrade Sana ndio wanaweza kutana na hili tatizo ...ukiwa una trade kuna kitu kinaitwa airdrop ,yaani ni coin ambazo zinakuwa zimeingia kwenye soko muda mfupi unakuta wale madeveloper wanazigawa bure ,au kwa Bei ya chini Sana ili kusambaza zijukikane na watu ( kuhakikisha supply inaongezeka)hapa unaweza kutana na og au fake ,na Bei yake inakuwa chini Sana Kama $0.00000000456,coin za namna hii watu wanakimbilia kununua kwa sababu coin ikiwa inaanza unakuta inapump Sana ,inapand kwa speed so unakuta watu wananunua haraka ili wapige hela....!

Kinachotokea ni kwamba mtu anakuwa amenunua kwa pesa nyingi lakin pale akitaka kuiuza ,haiuziki Tena ,anakuta haina value ...unakuta haiwezi kuswap .....

Mfn squid game wiki imeyopita Kuna wameokutana na hili tatizo na wakapoteza pesa zao ,lakin waliotulia vzuri waliweza kujua squid game coin ipi og inayoswapika na fake.....

Scam website ...
Hapa ni kwa watu wanaomine Sana coin ,unapewa link kuwa umine Bitcoin au BUSD au TRON ,kwa kuleta referral ukifika kiwango flani utaweza kutoa ...lakin cha ajabu ukifika kiwango walichoweka unaweza kuta huwezi ku withdrawal lakin coin unaziona kabisa .....

Tuendelee kujifunza ....

The future is crypto
 
Scam coin ......

Hii ni kwa watu wanaotrade Sana ndio wanaweza kutana na hili tatizo ...ukiwa una trade kuna kitu kinaitwa airdrop ,yaani ni coin ambazo zinakuwa zimeingia kwenye soko muda mfupi unakuta wale madeveloper wanazigawa bure ,au kwa Bei ya chini Sana ili kusambaza zijukikane na watu ( kuhakikisha supply inaongezeka)hapa unaweza kutana na og au fake ,na Bei yake inakuwa chini Sana Kama $0.00000000456,coin za namna hii watu wanakimbilia kununua kwa sababu coin ikiwa inaanza unakuta inapump Sana ,inapand kwa speed so unakuta watu wananunua haraka ili wapige hela....!

Kinachotokea ni kwamba mtu anakuwa amenunua kwa pesa nyingi lakin pale akitaka kuiuza ,haiuziki Tena ,anakuta haina value ...unakuta haiwezi kuswap .....

Mfn squid game wiki imeyopita Kuna wameokutana na hili tatizo na wakapoteza pesa zao ,lakin waliotulia vzuri waliweza kujua squid game coin ipi og inayoswapika na fake.....

Scam website ...
Hapa ni kwa watu wanaomine Sana coin ,unapewa link kuwa umine Bitcoin au BUSD au TRON ,kwa kuleta referral ukifika kiwango flani utaweza kutoa ...lakin cha ajabu ukifika kiwango walichoweka unaweza kuta huwezi ku withdrawal lakin coin unaziona kabisa .....

Tuendelee kujifunza ....

The future is crypto
Asante sana mkuu, nimekupata
 
Mwaka 2017 Tron (TRX) ilianzishwa Bei yake ikiwa

1tron =$0.0015 .....

Kwa wakati huo Kama kuna mtu aliamua kununua Tron za $100 ,hii ni sawa na laki mbili na nusu .....

Maana yake angekuwa na Tron ngapi unajua

1 Tron = $0.0015
?=$100

Maana yake angekuwa na tron 66,666.67 hivi ....

Unajua Bei ya Sasa ya Tron ni ngapi ,leo 2021 ......1tro = $0.10825

Hio ni miaka 4 imepita ....

So akisema auze Leo tron zake atakuwa na

1tron = $0.10825
66,666.67tro. = ???

So hapo atakuwa na $ 7216.67

Hizo unajua ni sawa na shilling ngapi ? Ni 18 million ....

Sasa unajiuliza kanunua Tron za laki mbili na nusu Leo anatron za million 18 ndani ya miaka 4 .....

Kama utaamua kuhold coin na kuendelea na Mambo yako kwa muda mrefu kaa ukijua huko mbeleni hata mwalimu ambaye amestafu amepewa pension zake huko nssf atakuamkia shikamoo kaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].... ......

Hapo nimaaua kuacha Bitcoin Kwan mwaka 2010 wengi huenda hatukuwa na smart phone ,nimeamua kuchukua mwaka 2017 ambao wengi humu tulikuwa tunatambua Mambo kabisa

HOLd Hold hold ..... crypto is real
Unaweza ku withdraw..au ndio hela za mtandaoni..unajikuta na mamilioni ila huwezi kuziweka mkononi.
 
Unaweza ku withdraw..au ndio hela za mtandaoni..unajikuta na mamilioni ila huwezi kuziweka mkononi.
Mkuu pole Sana ...

Hizo ni pesa ambazo unatoa na kuweka mfukoni kwako kabisa ,hizo sio pesa za longolongo ....

Haya mambo wameanza kuayongea Hadi bungeni watu wazima na wasomi ,hawawezi kuongea vitu ambavyo hawajui mkuu .....

Fuatilia Mambo utajua na utaelewa in and out
 
Mkuu pole Sana ...

Hizo ni pesa ambazo unatoa na kuweka mfukoni kwako kabisa ,hizo sio pesa za longolongo ....

Haya mambo wameanza kuayongea Hadi bungeni watu wazima na wasomi ,hawawezi kuongea vitu ambavyo hawajui mkuu .....

Fuatilia Mambo utajua na utaelewa in and out

Wewe ulianza lin kununua hizo coin
 
Hold hold coin .....

Kama unaweza kuhold coin ,kaaa ukijua unaenda kula maisha huko mbeleni 2030 ,trust me ...

IMG_20211112_163152_967.jpg
 
Wewe ulianza lin kununua hizo coin
Hakuna mtu mbishi Kama Mimi aisee ,nilikutana na hii elimu nikakaza akili na kichwa ,huku nikiona ni upuuzi kabisa ,mbaya zaidi jamaa walikuwa hawalazimishi wakiona hujielewi wanakuaacha na ujinga wako .....


Mpaka hapo nilipokuja kugundua kuwa Mimi ndio nilikuwa napisha na fursa ....

Mimi nawapa taarifa tu ,kuaamini sio lazima,kwan hata Mimi bado najifunza mengi Sana kwenye huu uwanja wa crypto ......

Keep learning ,the future is crypto
 
Back
Top Bottom