Ukweli kuhusu crypto currency mtu hawezi kukuambia


Got you soldier, [emoji41]
 
Nina ndoto ya kuanzisha coin yangu hapa tz
 
vitajulikana tu...kwani aliyeanzisha btc si ni binadamu kama mm tu mkuu au?
Satoshi nakamoto huyu jamaa sio poa kabisa ,alianzisha BTC mpaka Sasa hajulikani sura wala Yuko wapi alijua amekuja kuharibu soko la finance kwa bank na taasisi za kifedha so wangemla kichwa ....

Any way kila lakheri kwenye project zako za kuanzisha coin....
 
Asante mkuu nikikwama nitakutafuta unipe madini zaidi...kinachoniumaga sana mwaka 2017 btc ilishuka mpaka 5000$ nilikuwa na tsh 20,000,000 nikataka ninunue btc jamaa yangu mmoja ananiambia nimerukwa na akili nikaachana na hyo ishu.Je nisingemsikiliza nikaufuata moyo wangu leo ningekuwa na sh ngapi?
 
Asante mkuu nikikwama nitakutafuta unipe madini zaidi...kinachoniumaga sana mwaka 2017 btc ilishuka mpaka 5000$ nilikuwa na tsh 20,000,000 nikataka ninunue btc jamaa yangu mmoja ananiambia nimerukwa na akili nikaachana na hyo ishu.Je nisingemsikiliza nikaufuata moyo wangu leo ningekuwa na sh ngapi?
 
Wabongo wengi hasa hawa wa mitandao walisahauza coin zao kipindi ili clash Katikati ya mwaka huu na walikua wapole kweli,now imepanda kelele kibao bladfaken
 
Wabongo wengi hasa hawa wa mitandao walisahauza coin zao kipindi ili clash Katikati ya mwaka huu na walikua wapole kweli,now imepanda kelele kibao bladfaken
Mkuu coin zinapanda na kushuka ,unaweza kuta mwezi huu imeshuka Sana ,mwezi ujao ikapanda ....


Mimi nazungumzia project ya miaka 5-10 ...

Yaani coin ukikaa nayo kwa muda huo trust me ,hio coin ITAKUBADILISHA MAISHA na utashangaa ......
 
Tatizo la sisi wabongo hatuwezi kununua coin na kukaa nayo kwa muda mrefu kwa sababu ....

Umenunua coin labda ya $100 ,...

Mtoto akijigonga meza akaugua ,unataka kuuza coin ...

Mke anasafiri unataka kuuza coin umpe hela ...

Mshahara umechelewa unauza coin ulizowekeza ...

Coin imeshuka kidogo unaamua kuuza ,kisa pressure na maneno ya watu ( Punic seller ).....

Watu wa namna hio hawataweza kujua nguvu ya crypto ,....

Nishase.a crypto holding sio mafanikio ya muda mfupi ,you have to keep ,kuwa na subila kweli kweli ,usifikili hii ni kazi ,uache shughuri zako za kila siku .....

Kama unauza chapati endelea ,Kama inachanganya zege endelea ,Kama unauza mahindi endelea ,Kama ni mwalimu endelea na kazi yako ,Kama huna kazi endelea kutafuta physical work itakayokuingizia kipato ......


Usije uakaanza kusema crypto ni utapel kisa umekuja unataka utajiri wa haraka haraka ambao haupo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ohooooo....
 
Sasa kufikia 2040 Mabank yatakuwepo ikiwa online coin ndo itakuwa inatamba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kufikia 2040 Mabank yatakuwepo ikiwa online coin ndo itakuwa inatamba?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bank zitakuwepo Kama kawaida lakin soko la crypto litakuwa limeshakuwa kubwa sanaa....

Crypto saizi inaharibia biashara bank ,mtu anaona kuliko akaweke pesa yake bank ,anaona Bora anunue Bitcoin ,Kwan anajua hio pesa ambayo amenunua Bitcoin inaweza kupanda ,kuliko kuiweka bank ambapo utaikuta Kama ilivyo .....

Na nikwambie tu watu Wana mabllion ya pesa kwenye coin ,pesa ambazo ukiweka bank Basi wataanza kufuatilia na kujua chanzo cha pesa zako ,na ikiwezekana kukufungulia kesi za uhujumu uchumi ....

Hii ndio block chain technology, HAKUNA kujua mtu flan anautajiri kiasi gan na kuanza kufuatilia miamala ya watu ...
 
Nataka kujifundisha haya maswala, sijui chochote, naombeni mwongozo nianzie wapi, shule yake inachukua muda gani, walimu wazuri ,bajeti nk
 
Baadala ya kununua bit coin serikali inunue servers za kufa mtu za bitcoin mining .Umeme wote wa Stiegler utumike kuzalisha bitcoin tu. Computational economy is the future. Kilimo baadaye.
 
Baadala ya kununua bit coin serikali inunue servers za kufa mtu za bitcoin mining .Umeme wote wa Stiegler utumike kuzalisha bitcoin tu. Computational economy is the future. Kilimo baadaye.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]daaaa
 
Nataka kujifundisha haya maswala,sijui chochote, naombeni mwongozo nianzie wapi, shule yake inachukua muda gani, walimu wazuri ,bajeti nk
Ni juhudi zako tu za kufuatilia mambo na kuelewa .......

Kuhusu walimu wazuri Kuna mentor kibao wapo ni JINSI wewe utakavyokuwa unamuuliza na yeye kukuelekeza ...

Kuhusu budget ,nikiasi chochote japo kuanzia $10 ni nzuri zaidi ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…