Tutakuja kukumbuka shuka siku Tron akiwa $10 ,Shiba akiwa $0.1.....muda utaongeaKuna coin ambazo zimeshakuwa imara tayari kwenye soko Kama ...
Etherium ,Bitcoin ,Solana ,bnb ...
Kwa mtu anayeanza Hana kiasi cha pesa kikubwa siwezi kumshauli kuhold hizo coin ,Kwan Bei yake iko juu ....ila Kama una pesa za kutosha unaweza nunua ....
Coin zenye project unazijua unavosoma na kufuatilia Mambo ..mfan Tron ,doge coin ,Shiba Inu , UMI , n.k .....hizi ni coin ambazo project yake ni kubwa na hazitakuja kupotea kwenye ulimwengu wa crypto na Bei zake ni kawaida Sana .....
Mfn
1tron=$0.1134..
1shiba Inu =$0.0000546..
Hizo ni coin ambazo kufika 2030 Bei zake zitakuwa zimepanda ,sitaki kusema zitakuwa ngapi ,ila zikiwa juu...
Hizo coin haizshuki sanaa ,Wala huwa hazipandi kwa fujo,ziko slow
But sure ....
mkuu siioni TZS!!, naona UGS na KESPlatform safe ya kununua na kuuza cryptocurrency kwa Tanzania Shillings ni hii
Mwaka 2017 Tron (TRX) ilianzishwa Bei yake ikiwa
1tron =$0.0015 .....
Kwa wakati huo Kama kuna mtu aliamua kununua Tron za $100 ,hii ni sawa na laki mbili na nusu .....
Maana yake angekuwa na Tron ngapi unajua
1 Tron = $0.0015
?=$100
Maana yake angekuwa na tron 66,666.67 hivi ....
Unajua Bei ya Sasa ya Tron ni ngapi ,leo 2021 ......1tro = $0.10825
Hio ni miaka 4 imepita ....
So akisema auze Leo tron zake atakuwa na
1tron = $0.10825
66,666.67tro. = ???
So hapo atakuwa na $ 7216.67
Hizo unajua ni sawa na shilling ngapi ? Ni 18 million ....
Sasa unajiuliza kanunua Tron za laki mbili na nusu Leo anatron za million 18 ndani ya miaka 4 .....
Kama utaamua kuhold coin na kuendelea na Mambo yako kwa muda mrefu kaa ukijua huko mbeleni hata mwalimu ambaye amestafu amepewa pension zake huko nssf atakuamkia shikamoo kaka [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].... ......
Hapo nimaaua kuacha Bitcoin Kwan mwaka 2010 wengi huenda hatukuwa na smart phone ,nimeamua kuchukua mwaka 2017 ambao wengi humu tulikuwa tunatambua Mambo kabisa
HOLd Hold hold ..... crypto is real
Je unaweza kununua kidogo kidogo mfano nanunua za /20000 nakuja nanunua za 50000 Kama hivo anMkuu coin zinapanda na kushuka ,unaweza kuta mwezi huu imeshuka Sana ,mwezi ujao ikapanda ....
Mimi nazungumzia project ya miaka 5-10 ...
Yaani coin ukikaa nayo kwa muda huo trust me ,hio coin ITAKUBADILISHA MAISHA na utashangaa ......
Sio Lazima,ICP,FIL,DOT,HNT haijarudi ATH yake hadi hadi leo hiiMkuu coin zinapanda na kushuka ,unaweza kuta mwezi huu imeshuka Sana ,mwezi ujao ikapanda ....
Mimi nazungumzia project ya miaka 5-10 ...
Yaani coin ukikaa nayo kwa muda huo trust me ,hio coin ITAKUBADILISHA MAISHA na utashangaa ......
Ungekua na milioni 400Asante mkuu nikikwama nitakutafuta unipe madini zaidi...kinachoniumaga sana mwaka 2017 btc ilishuka mpaka 5000$ nilikuwa na tsh 20,000,000 nikataka ninunue btc jamaa yangu mmoja ananiambia nimerukwa na akili nikaachana na hyo ishu.Je nisingemsikiliza nikaufuata moyo wangu leo ningekuwa na sh ngapi?