Ukweli kuhusu degree ya miss Tanzania

Ukweli kuhusu degree ya miss Tanzania

TAARIFA KWA UMMA

Napenda kuujulisha Umma yafuatayo;

1. Miss Tanzania 2016/2017 aliyeshinda taji jana jijini Mwanza, anaitwa Diana Edward Loy na siyo Diana Lukumai kama inavyotajwa mitandaoni.

2. Mlimbwende huyo amemaliza kidato cha nne 2015 Shule ya Sekondari Arusha Day na si 2011 kama inavyotajwa mitandaoni kwa malengo ovu.

3. Diana hajawahi kujiunga na Elimu ya Chuo Kikuu chochote Tanzania au duniani bali anatarajia kujiunga mwaka huu katika chuo cha IFM kusomea masula ya kodi ngazi ya stashahada (cheti) ingawa kulingana na ratiba zake na majukumu yake mapya ikiwemo kushiriki Miss world mapya huenda akaahirisha mwaka wake wa masomo.

4. Tunawasihi watanzania kutumia vyema mitandao ya kijamii na si kufanya "Character assassination" lakini pia tunaheshimu haki yao ya msingi ya kuhoji masuala ya msingi kabisa kuhusu mtu ambaye ni Public figure na ataliwakilisha taifa katika anga za kimataifa.

Tumuunge mkono mlimbwende wetu ili atuletee Taji la Dunia.
Ni msichana Asiye na bwana wala boyfriend na hajui mwanaume i.e mwanamwali!
Kwa maelezo yake mambo hayo ataanza baada ya kumaliza masoma na kufanya kazi miaka minne!

Ahsanteni.

Charles William
Kaimu Ofisa Habari wake.
0716719589
Cheti ndio stashahada au mimi ndio sijui?!!!
 
Wanasema kamaliza from four mwaka Jana! Mbona hiyo sura sio ya kidato cha mwaka Jana? Huu umiss kaanza lini jamani?
 
Watanzania waongo waongo sana kama ile ajali ya Kimara eti walizusha kua wamefariki watu 50
 
Wanasema kamaliza from four mwaka Jana! Mbona hiyo sura sio ya kidato cha mwaka Jana? Huu umiss kaanza lini jamani?
1477851347568.jpg


Hata nashindwa kushangaa pia
 
Sioni manufaa ya hili shindano kwa taifa letu lakini hii hainizuii kuhisi ujanja ujanja uliopo!!

Miaka 18??..labda!
 
Kanusho hili lilifaa kupelekwa pia kwenye mitandao ya fb na instagram maana huku ndiko wasiomtakia mema Binti huyu wamefurika!
 
Hapo uliposema hana mwanaume wala boyfriend halafu ukaongozea kuwa diana ni mwanamwali dah......Mimi hapo naona umetudanganya coz kumpata mwanamwali katika miss tanzania sidhani kama ilisha/itakuja kutokea anyway siri hiyo aijuaye ni Mungu tu na yule atakayekuja kumwonja.
Hiyo siri haijuaye ni ankoo Lunde
 
Muacheni huyu binti keshajifafanua kwa uzuri. Whoever came up with rumors za kuwa ana degree and so forth amejaribu kufanya character assassination to the girl. I hope TCRA wako macho juu ya hili
 
Back
Top Bottom