Kivipi?? Warwanda na warundi wawatawale Watz?? Wewe utakua na inferiority complex tu, mie ninachoona ni watz ndio wanawatawala maana bila bandari ya Dar huko ni njaa.Wazambia na Wamalawi hawana ujinga huo....warwanda na Waburundi wanatutafuta ni muda muafaka kuwachukia hadharani la sivyo watatutawala milele
aa jamani nimecheka press ilishaitwa?Na iitwe press conference tupewe mrejesho
Baba yake tulimfahamu na maarufu kama Sheikh Omar pale Arusha.Kwani Kinana wazazi wake unawafahamu? Anayejua atujuze pia
Kutokujua kwake kunakusaidia nini ewe mtanzania masikini??Ukishajua itakusaidia nin?
ww ni mama yake mdogoKumekuwepo na sintofahamu za hivi karibuni ya kwamba Mama Wawili si mtanzania
Kuna mdau yeyote anayejua ukweli wa sakata hili?
Hana shida ya uraia, ogopa mtu weekend anakwenda Vacation Hawaii. Utamtisha na nn kuhusu uraia.Tunaomba idara ya uhamiaji ifuatilie suala hili
GOOGLE IS LIMITED..wanakupa results kama inawalipa wao...ndo maana HTATA TRUMP KAWASEMA NA AMESHAANZA KUWASHUGHULIKIA....kwamba wanaminya taarifa zake, za upinzani ndo wanaachia!!!!....Whitehouse imeanza na Google, Twitter, Fb na Insta....lazima tuheshimiane....PIA JIFUNZE KIDOGO MAMBO...google sio baba wala mama yako.Siku hizi kuna google wajameni, kama unataka kufahamu kuhusu jambo, kitu au mtu fulani maarufu, just google it. lakini ukitegemea Shigongo akupe info za watu utabaki na maruweruwe tu.
Mijitu mingne bhana, ww mbona baba yako ni Gwajima lakn ww unalijua hilo?
Acha majungu wewe mtoto wa kiume!
Wajaluo bongo tupo wengi sanaMbona wewe unaonekana kama mjaluo wa kenya?..uhamiaji mfuatilieni huyu..anaonakana ni nyan'gau huyu!
GOOGLE IS LIMITED..wanakupa results kama inawalipa wao...ndo maana HTATA TRUMP KAWASEMA NA AMESHAANZA KUWASHUGHULIKIA....kwamba wanaminya taarifa zake, za upinzani ndo wanaachia!!!!....Whitehouse imeanza na Google, Twitter, Fb na Insta....lazima tuheshimiane....PIA JIFUNZE KIDOGO MAMBO...google sio baba wala mama yako.
can u prove, kabila la mkapa linaitwa makua kwa Tz na Msumbiji ni Metu wakiongea wanelewana karibia 80% na hii ipo kwa makabila yote yaliyopo mpakani. usitumie kigezo kuwa mpakani ndo iwe tiketi ya kumtoa uraiahata nkapa kwake nchumbiji
Tabu iko palepale 😂😂Kwani Kinana wazazi wake unawafahamu? Anayejua atujuze pia