K.Lyn ni muha na mtanzania mwenye asili ya Hamitic na kijiji ni Kalinzi, kama una wasiwasi kaulize Dr Wilbrod Ntuyabaliwe , baba yake Jacqueline wapo nawajua. Namaliza kwa kusema humu J F kuna Wahutu wengi tu ndio mnaodakia Fulani sio RAIA , kwa sababu ya pua yake, ngozi yake au nywele , ubishi Wa kihutu na kitutsi yarudisheni Rwanda Burundi ,Tanzania si mahala muafaka. Sitachangia tena upuuzi Wa kusema eti K.lyine ana unassaba na na Janeth Kagame . if you argue with a fool , people may not notice the difference .Nimehitimisha kwaherini makaburu Wa Tanzania