Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Yesu hakuacha mtindo wa Rozali, hakuacha masanamu na misingi ya dini ya ukatoliki hakuacha Yesu, hakuacha miungu watu kuabudiwa.

Turudi kwenye mstari KUONGOZWA na Roho mtakatifu.
Yesu hakuacha wapayukaji, wasengenyaji, Yesu hakuacha ata bibilia kwa taarifa yako, Yesu aliacha Roho mtakatifu, mwalimu wa kanisa, wakristo wa mwanzo wanamisingi yote iliyopo katoliki, hiyo rosary ni bibilia tupu, sanamu hazijakatazwa, ila yumekatazwa kuzipa uhai, asingemwambia Musa akatengeneze sanamu ya nyoka au kina suleiman kutengeneza sanamu, hamsomi bibilia wala historia ya kanisa mnakurupuka tu. Hatufanyi kinyume na Mungu, yani mnavodhani mnatujua kumbe tunawachora tu na umuch know wenu, hamjui lolote.
 
Yesu hakuacha mtindo wa Rozali, hakuacha masanamu na misingi ya dini ya ukatoliki hakuacha Yesu, hakuacha miungu watu kuabudiwa.

Turudi kwenye mstari KUONGOZWA na Roho mtakatifu.
hiyo biblia unayosoma imetunzwa na wakatoliki pole.
 
Ndo nini hiko? 🤣 🤣 Hapo ndo kasema mjikutekute disorganized kanisa la hewani, acheni hizo, asinge mpa petro mamlaka, yani Yesu aliacha visible structure. Hio nukuu mmeielewa kwa mnavotaka.
 
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
Kwani uisilamu umeanzishwa mwaka gani?
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
Hebu tuletee na ujinga uliopo katika biblia, mbona unagusa upande mmoja tu ndugu.

Nianze na hizi aya mbili, tuletee zingine tafadhali:

Kutoka 35:3
Hamtawasha moto katika nyumba zenu kwa siku ya Sabato.

Kumbukumbu la Torati 22:10
Usilime kwa ng’ombe na punda wakikokota jembe pamoja.

Najua unafikria sasa, mimi ni dini gani?


Malizia hoja na Yesu akiwaonya mafarisayo:
Mathayo 23:25 - 28
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi.
Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi.
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote.
Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.
 
Kanisa katoliki haliwezi kufanya ujinga huo wa kuanzisha hiyo dini ya kiislamu ya mashetani,hizo ni stori za kutunga tu za kuchafua kanisa katoliki.
 
Hebu tuletee na ujinga uliopo katika biblia, mbona unagusa upande mmoja tu ndugu.

Nianze na hizi aya mbili, tuletee zingine tafadhali:

Kutoka 35:3
Hamtawasha moto katika nyumba zenu kwa siku ya Sabato.

Kumbukumbu la Torati 22:10
Usilime kwa ng’ombe na punda wakikokota jembe pamoja.

Najua unafikria sasa, mimi ni dini gani?


Malizia hoja na Yesu akiwaonya mafarisayo:
Mathayo 23:25 - 28
Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnasafisha nje ya kikombe na chano, na ndani yake vimejaa unyang’anyi na kutokuwa na kiasi.
Ewe Farisayo kipofu, safisha kwanza ndani ya kikombe, ili nje yake nayo ipate kuwa safi.
Ole wenu, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mmefanana na makaburi yaliyopakwa chokaa, nayo kwa nje yaonekana kuwa mazuri, bali ndani yamejaa mifupa ya wafu, na uchafu wote.
Vivyo hivyo ninyi nanyi, kwa nje mwaonekana na watu kuwa wenye haki, bali ndani mmejaa unafiki na maasi.


MIMI SIPO HIVYO.

DINI YAKO HAITANISAIDIA MIMI KITU CHOCHOTE.

BY THE WAY SIJUI HATA MAANA YA NENO LENYEWE.
 
[emoji1787][emoji1787] Yani una google alafu unaileta hapa kama ilivyo alafu unajiita unaakili ya kuchanganua hoja.
View attachment 2613167

Soma hapa maongezi kati ya Yesu na mwanamke msamaria... Alafu jaribu kutafakari uone kama unapata kitu.
Yohana 4:19
Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!

Yohana 4:20
Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.

Yohana 4:21
Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.

Yohana 4:22
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.

Yohana 4:23
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.

Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Yohana 4:25
Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote.
Unalalamika nimegugo duh

Neno Kanisa ,asili yake Ni kiyunani

Sasa nenda kagugo maana ya neno Kanisa ,acha kulalamika

neno Kanisa linamaanisha "mkusanyiko wa waamini" kama ule wa Waisraeli chini ya Musa kwenye mlima Sinai walipopewa Amri za Mungu.



Neno hilohilo lilitumiwa na Wakristo wa kwanza kwa ajili yao wenyewe kusema wameshika nafasi ya Israeli kama taifa la Mungu hata wasipokuwa Wayahudi bali watu wa mataifa mengine.



Watu wengi siku hizi wanaelewa kanisa kumaanisha jengo. Huku si kuelewa kibibilia maan ya kanisa.
 
Ndo nini hiko? [emoji1787] [emoji1787] Hapo ndo kasema mjikutekute disorganized kanisa la hewani, acheni hizo, asinge mpa petro mamlaka, yani Yesu aliacha visible structure. Hio nukuu mmeielewa kwa mnavotaka.
Petro hajawahi kuwa Papa Kama mnavyodanganywa

Kwanza unajua Petro alioa

Mapapa Leo wanaoa?

Toka nje ya box
 
Kanisa katoliki haliwezi kufanya ujinga huo wa kuanzisha hiyo dini ya kiislamu ya mashetani,hizo ni stori za kutunga tu za kuchafua kanisa katoliki.
Kanisa katoliki limeweka mafundisho potofu mengi duniani ,unashangaa Nini KUANZISHA Uislamu?


Ili kuiteka Jerusalemu ilibidi waunde dini bandia ,ndipo unamkuta Muhammad sasa
 
HAKUNA MWARABU HATA MMOJA ALIYEWAHI KUWA MWISLAMU KABLA YA MUHAMMAD USHAHID HUU HAPA


QURAN 34:44

QURAN 43:21~22,

QURAN 51:52,

QURAN 3:164 NA QURAN 62:2
Ndio ujuwe uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu,muumba mbingu na nchi,na vilivyomo,uislamu sio dini ya muarabu,yeye pia kaletewa.
 
UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
Wewe umekuja kutukana tuu toka mwanzo humu huna hoja sisi hatuamini biblia ila tunaamini torati,zaburi na Injili sasa iweje useme hatuamini vitabu vilivyotangulia wew ni mjinga +++

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Kanisa katoliki haliwezi kufanya ujinga huo wa kuanzisha hiyo dini ya kiislamu ya mashetani,hizo ni stori za kutunga tu za kuchafua kanisa katoliki.


Kaka wewe ni Rafiki yangu sana Huo NDIO ukweli VATCAN ILIANZISHA UISLAMU.

1. VATCAN imebadili siku ya kuabudu sabato.

2. VATCAN imeleta lozali na sanamu.

3. VATCAN IMETOA AMRI ya Mungu Usiabudu sanamu.

4. VATCAN imeleta Rozali.

5. MAPADRI wwanajitangaza Ushoga, papa anaunga mkono.

6.Kulawitinwatoto wadogo.

7.vatcan mbioni kuanzisha DINI Moja ya Dunia nzima
 
Ndio ujuwe uislamu ni dini ya Mwenyezi Mungu,muumba mbingu na nchi,na vilivyomo,uislamu sio dini ya muarabu,yeye pia kaletewa.


WANACHONISHANGAZA HAWAJUI KUWA QURAN INASEMA NITAWAZAENI HAPA DUNIANI NA NITAWAPOTEZA WOTE.

QURAN 15:39 - Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote


INSHORT YEYE ASIYE MPOKEA YESU KRISTO ATAPOKEA BIKRA NA MITO YA POMBE HUKO KUZIMU.

SHETANI AMESEMA ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE.
 
Endeleeni kuhangaika na uislamu mpaka mtachoka! Kibaya zaidi mods wanaziachia airtime
 
Back
Top Bottom