Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Unataka kujibiwa lakini unatanguliza malalamiko kuwa Ni uongo


Hebu jitahidi kusoma Vitabu vyenu mjue mengi pia somen historia vzr


MUHAMMAD ALIKUWA ANAVALIA MAVAZI YA KIKATOLIKI WAKATI WA KUSALI : SWALI ANAYEVAA VAZI LA KIKATOLIKI ANAITWA MKATOLIKI AMA MWISLAMU?
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji441][emoji441]

Ilisimuliwa Na 'Ubadah bin Samit alisema:

“Mtume Muhammad s.a.w (tulimuona) akitoka kwetu siku moja, akiwa amevaa vazi la Kirumi [kikatoliki] la sufu na mikono nyembamba. Na Alituongoza katika maombi akiwa amevaa hilo, na si kitu kingine chochote. ”

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عُثْمَانَ بْنِ كَرَامَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، حَدَّثَنَا الأَحْوَصُ بْنُ حَكِيمٍ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ عُبَادَةَ بْنِ الصَّامِتِ، قَالَ خَرَجَ عَلَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ذَاتَ يَوْمٍ وَعَلَيْهِ جُبَّةٌ رُومِيَّةٌ مِنْ صُوفٍ ضَيِّقَةُ الْكُمَّيْنِ فَصَلَّى بِنَا فِيهَا لَيْسَ عَلَيْهِ شَىْءٌ غَيْرُهَا ‏.‏

Sunnah kitabu cha 32 Juzuu ya 4, Hadithi 35

MUHAMMAD ALIRUDI KWA BABA YAKE WA IMANI PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI KUENZI MAVAZI YA KATOLIKI AMBAYE ALIMWAMBIA JIBASHIRIE MWENYEWE KUWA WEWE NI MTUME WA UMMA HUU wakishirikiana na Mke Muhammad aitwaye Bibi Khadija

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810] Huyu PADRI WARAQA BIN NAUFU NI MKRISTO KUTOKA ROMANI KATOLIKI USHAHIDI HUU CHINI SIKU WANAMPA UTUME MUHAMMAD MWENYEZI MUNGU ALIKUWA SHAHIDI TU KATIKA TUKIO HILO
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

[emoji3581]Qur'an 4:79. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

[emoji3581]Qur'an 13:43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.

[emoji3581]Qur'an 36:3. Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa.

HIZO JUU NDIYO KAULI ZA MKEWE MUHAMMAD AITWAYE KHADIJA NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
USHAHIDI WA HADITHI HUU HAPA MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKRISITO MKATOLIKI NA MKEWE KHADIJA NA BIBI KHADIJA NDIYE MWANADAMU WA KWANZA ULIMWENGUNI KUSILIMU KUWA MWISLAMU KISHA AKAFUATA ALI BIN TALIB

Amesimuliw na Aisha:

(mke wa Mtume) Kuanza (kwa Uvuvio wa Kimungu) kwa Mtume wa Allah kulikuwa katika hali ya ndoto za kweli katika usingizi wake, kwani hakuwahi kuwa na ndoto lakini ikawa kweli na wazi kama mwangaza wa mchana. Halafu akaanza kupenda kujitenga, kwa hivyo alikuwa akijitenga kwenye pango la Hira ambapo alikuwa akimwabudu Mwenyezi Mungu mfululizo kwa usiku mwingi kabla ya kurudi kwa familia yake kuchukua chakula cha lazima kwa ajili ya kukaa.

Alirudi kwa (mkewe) Khadija tena kuchukua chakula chake (vile vile chakula) vivyo hivyo, mpaka siku moja alipokea Mwongozo wakati alikuwa katika pango la Hira. Mtu Mmoja alimjia na kumwambia asome. Mtume alijibu, "Sijui kusoma." Mtume akaongeza, "Kisha Mtu Yule alinishika (kwa nguvu) na akanibana sana hadi nikahisi shida. Kisha akaniachia na akaniuliza tena nisome, nami nikajibu," Sijui kusoma.
" Hapo alinishika tena na kunibonyeza kwa mara ya pili mpaka nikahisi kuzimia. Kisha akaniachia na kuniuliza nisome, lakini tena nikamjibu.'Sijui kusoma.' Hapo alinishika kwa mara ya tatu na kunibana mpaka nikafadhaika, kisha akaniachia na kusema, 'Soma, kwa Jina la Bwana wako Ambaye ameumba (vyote vilivyopo), . Amemuumba binaadamu kwa tone la damu Na Mola wako ni Mkarimu zaidi. Ambaye amefundisha maandishi kwa kalamu, na amemfundisha mwanadamu yale asiyokuwa akiyajua. (Qur'an 96.1-5).
Kisha Mtume akarudi na hali hiyo na misuli kati ya shingo yake na mabega ilikuwa ikitetemeka mpaka alipomjia Khadija (mkewe) na kusema, "Nifunike " Alimfunika, na hali ya hofu ilipoisha, akamwambia Khadija, "Ewe Khadija! Kuna shida gani kwangu Mimi Muhammad ? Niliogopa kwamba kitu kibaya kimenipata na Najihofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga! ."
Kisha akamwambia hadithi hiyo ilivyotokea pangoni. Khadija alisema, "Hapana! Bali pokea habari njema! Wallahi,Mimi Naona Umekwisha kuwa Mtume Wa Mwenyezi Mungu hatakufedhehesha kamwe, kwani kwa Mwenyezi Mungu unaweka uhusiano mzuri na jamaa na jamaa yako, unasema ukweli, unasaidia masikini na wanyonge, uwakaribishe wageni wako sana na uwasaidie wale waliopatwa na misiba. " Khadija kisha akampeleka kwa Waraqa bin Naufil, mtoto wa mjomba wa baba yake Khadija.


Huyu Padri Waraqa bin Naufal alikuwa amebadilisha Dini na kuingia katika Dini ya Kikristo kwa Muda Mrefu Sana katika Kipindi hicho cha Kabla ya Kuja Dini Mpya ya Uislamu na alikuwa akiandika Kiarabu na Alikuwa anaandika injili kwa Kiarabu vile vile Mwenyezi Mungu aliyotaka ayaandike. Alikuwa mzee na alikuwa amepoteza macho yake.


Khadija alisema (kwa Waraqa), "Ewe binamu yangu! Sikiliza nini mpwa wako Nini anataka kusema." Waraqa akasema, "Ewe mpwa wangu! Umeona nini?" Kisha Mtume akaelezea kila kitu alichokiona.

Waraqa alisema, "Huyu ndiye Malaika (Jibrili) yule aliyetumwa kwa Musa. Basi jibashirie Mwenyewe (Muhammad) Wewe Ni Mtume wa Umma huu.Laiti ningekuwa mchanga." Aliongeza taarifa nyingine. Mtume wa Mwenyezi Mungu aliuliza, "Je! Watu hawa watanifukuza?" Waraqa alisema, "Ndio, kwani hakuna mtu aliyeleta mfano kama huu ulioleta, lakini alitendewa kwa uadui. Ikiwa ningeendelea kuwa hai hadi siku yako unapoanza kuhubiri hii Dini yako Mpya ya Uislamu Basi ningekuunga mkono sana mpwa wangu.

" Lakini muda mfupi baadaye Padri Waraqa bin Naufal alikufa Ndipo Bibi Khadija Mke wa Mtume akawa ndiye Mtu wa Kwanza Ulimwenguni Kusilimu na hakutanguliwa na Mtu yeyote kisha Akafuata Ali bin Talib huyu alisilimu akiwa na Miaka kumi na Uvuvio wa Wahyi ulikatika(ulimamima) kwa muda baada ya Padri waraqa bin Naufal na Mtume wa Allah alihuzunika sana kwa Kufa Huyu padrie waraqa bin Naufal.

رواه عائشة: (زوجة الرسول) كانت بداية رسول الله صلى الله عليه وسلم أحلامًا حقيقية في نومه ، فلم يحلم قط بل صار حقيقيًا وواضحًا كالنهار. ثم بدأ في حب العزلة ، فكان ينعزل عن غار حراء حيث كان يعبد الله باستمرار لعدة ليال قبل أن يعود إلى أهله ليأخذ ما يلزمهم من طعام للإقامة. عاد إلى (زوجته) خديجة مرة أخرى ليأخذ طعامه (وكذلك طعامه) بنفس الطريقة ، حتى استلم ذات يوم المرشد وهو في غار حراء. جاءه شخص ما وقال له أن يقرأ. فأجاب الرسول: لا أعرف القراءة. وأضاف الرسول: ثم أمسكني الرجل (بعنف) وشدني حتى شعرت بالمتاعب ، ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة مرة أخرى ، فقلت: لا أعرف كيف أقرأ. "ثم أمسك بي مرة أخرى وضغط علي مرة ثانية حتى شعرت بالإغماء. ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة ، لكني أجبت مرة أخرى." لا أعرف كيف أقرأ ". هناك أمسك بي مرة ثالثة وأمسك بي حتى انزعجت ، ثم أطلقني وقال: اقرأ باسم ربك الذي خلق (كل ما هو) ، خلق الإنسان بقطعة قماش. اقرأ! والرب أكرم وقد علم الإنسان ما لم يعرفه (القرآن 96.1-5).
ثم عاد الرسول بالحالة واهتزت العضلات بين رقبته وكتفيه حتى جاء إلى خديجة (زوجته) وقال: غطني غطائها ، وعندما انتهت حالة الخوف ، قالت لخديجة. "يا خديجة! ما خطبتي يا محمد؟" كنت أخشى أن يحدث لي شيء سيء وكنت أخشى أن تتأخر روحي بسبب الشياطين وتدمر عقلي وتنام! ثم أخبرته قصة ما حدث في الكهف .. فقالت خديجة: لا! ولكن تلقي البشارة! والله أظنك صرت رسولا ولن يعلمك الله في الحال فالله يقيم علاقات طيبة مع أقاربك فتقول الحق وتساعد الفقراء والضعفاء وأنت مضياف جدا وتساعد الذين عانوا. المآسي. ثم أخذته خديجة إلى ورقة بن نوفيل ، ابن عم والد خديجة. كان هذا القس ورقة بن نوفل قد اعتنق المسيحية لفترة طويلة جدًا في عصر ما قبل الإسلام وكان يكتب باللغة العربية وكان يكتب الإنجيل باللغة العربية كما أراده الله أن يكتبها. كان قد تقدم في السن وفقد بصره. قالت خديجة (لورقة): "يا ابن عمي! اسمع ما يقول ابن أخيك ما يقول". قال ورقة: يا ابن أخي ما رأيت؟ ثم وصف النبي كل ما رآه.
قال ورقة: هذا هو الملاك (جبريل) الذي أرسل إلى موسى ، فتنبأ على نفسك (محمد). أنت رسول هذه الأمة ، لاني كنت طفلاً صغيراً. وأضاف بيانا آخر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل يبعدني هؤلاء؟ قال ورقة: "نعم ، لأن أحداً لم يضرب مثالاً كهذا ، لكنه تصرف بعدائية. لو بقيت على قيد الحياة حتى يومك تبدأ في الدعوة إلى هذا الدين الجديد للإسلام ، فسأكون داعماً جداً لابن أخي". لكن خديجة زوجة الرسول صارت أول إنسان في العالم يعتنق الإسلام ولم يسبقه أحد.

Sahih al-Bukhari 4953 Juzuu Ya 6,kitabu Cha 60, Hadith 478
Matini ya Kiarabu hakuna sehemu inasema Waraqah alikuwa Padri.

Kingine mavazi ya kirumi katika matini ya Kiarabu haisemwi kuwa ni mavazi ya Kikatoliki. Maneno kwenye mabango uliyo yaweka ni yako wewe au huko uliko nukuu.

Nasubiri ushahidi Toka katika vitabu vya asili kuonyesha Waraqah alikuwa Padri mkatoliki na Mama Khadija alikuwa Mkatoliki.

Kingine usiwe unaweka habari ndefu isiyo jibu swali au hoja ya aliye dhidi yako.
 
Mbona unania attack ? Acha mihemko kaa ujifunze utaelewa kwanini Uislamu sio njia sahihi

RCC hutumia ishara ya mwezi nusu katika majengo yao na machapisho yao; ishara ambayo ni ya kale ya kipagani na ya kibabeli iliyowakilisha ibada ya Baali, mungu jua

Islamu pia hutumia ishara ya mwezi nusu kwenye majengo na machapisho yao, kama walivyofanya wapagani wa kale wa kibabeli.View attachment 2613067
Je hilo swala la kutumia hiyo alama tunapata wapi katika Source za kiislamu kuwa ni amri au Maelezo kutoka kwa Allah ?

Je Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) amewahi kutumia au kuamrisha jambo hilo ?

Kama hilo jambo halipo katika halo hizo basi jua kwamba limewekwa kwa matamanio ya nafsi za watu na sio dini.Hapo moja kwa moja hoja yako ni nyepesi na dhaifu.
 
Matini ya Kiarabu hakuna sehemu inasema Waraqah alikuwa Padri.

Kingine mavazi ya kirumi katika matini ya Kiarabu haisemwi kuwa ni mavazi ya Kikatoliki. Maneno kwenye mabango uliyo yaweka ni yako wewe au huko uliko nukuu.

Nasubiri ushahidi Toka katika vitabu vya asili kuonyesha Waraqah alikuwa Padri mkatoliki na Mama Khadija alikuwa Mkatoliki.

Kingine usiwe unaweka habari ndefu isiyo jibu swali au hoja ya aliye dhidi yako.
Unachekesha Sana ,Kama unabisha hawakuwa wakatoliki

Nilitegemea useme walikuwa Dini gani

Hata waislamu wenzako watakushangaa

Bi Khadija ametokea Catholic pamoja na Waraq
 
Jitahidi usome Sana hasa historia ,usijifungie kwenye Quran tuView attachment 2612808
Hapa unainyesha wewe ndiyo siyo msomaji. Hayo maneno ya kwenye mabano hayana usahihi. Nani alikwambia Ukristo ni ukatoliki ?

Kingine huyo muandishi aliandika nini katika Qur'aan maana kinachonukuliwa ni kama Qur'aan yote ameandika yeye, na huna ushahidi unao onyesha ya kuwa aliandika nini ?

Kingine Mtume alikuwa na waandishi zaidi ya watatu, kwanini anatajwa huyo na hamuweki ushahidi aliandika nini katika Qur'aan ?

Ukiangalia picha unazo linganisha ya Tasbihi na Huo msalaba, katika Uislamu hakuna mambo hayo, hayo mambo yameletwa baadae na watu walio kuja kuingia katika Uislamu.

Yaani bado hujaonyesha ya kuwa Uislamu ulianzishwa na Ukatoliki.
 
.

Fafanua how islam allied with Hitler na hiyo salvation by works ?

Nazi wa Katoliki waliwalazimisha Wayahudi kuwa Wakatoliki la sivyo wafe:

“Hitler pia alikuwa tayari kuzungumza na Askofu maoni yake juu ya swala la Wayahudi: “Kwa upande wa Wayahudi, ninaendelea na sera ileile ambayo kanisa la Katoliki lilichukua kwa miaka mia tano, wakati lilipowaona Wayahudi kama watu wa Hatari na kuwasukumia katika mageto [ghettos] nk, kwa sababu lilijua jinsi Wayahudi walivyokuwa. Mimi siweki mashindano juu ya dini, lakini ninaona hatari kwa wawakilishi wa mashindano haya ya Kanisa na Serikali, na labda ninafanya Ukristo kuwa huduma kubwa.” —(The Nazi Persecution of the Churches” by J.S. Conway, Pgs. 25, 26 & 162).

Waislamu pia huwalazimisha Wakristo kuwa Waislamu la sivyo wauawe
 
Hapa unainyesha wewe ndiyo siyo msomaji. Hayo maneno ya kwenye mabano hayana usahihi. Nani alikwambia Ukristo ni ukatoliki ?

Kingine huyo muandishi aliandika nini katika Qur'aan maana kinachonukuliwa ni kama Qur'aan yote ameandika yeye, na huna ushahidi unao onyesha ya kuwa aliandika nini ?

Kingine Mtume alikuwa na waandishi zaidi ya watatu, kwanini anatajwa huyo na hamuweki ushahidi aliandika nini katika Qur'aan ?

Ukiangalia picha unazo linganisha ya Tasbihi na Huo msalaba, katika Uislamu hakuna mambo hayo, hayo mambo yameletwa baadae na watu walio kuja kuingia katika Uislamu.

Yaani bado hujaonyesha ya kuwa Uislamu ulianzishwa na Ukatoliki.
Utaelewa taratibu tu

Muhammadi Baada ya kutungiwa mashahiri na wale mapadri wa kanisa katoliki la Rumi; padri BAHYRA na Padri WARAQ bin NAUFAL na sister khadija: akawauliza, mumeyatowa Wapi haya [emoji780][emoji780][emoji780][emoji780][emoji780][emoji780][emoji780][emoji780]
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]


Wakajibu"" Hakika haya yamo katika vitabu vya kale vilivyo tangulia, yaani
Vitabu vya Ibrahimu na Musa
[emoji1371] Qur'an 87:19 inaripoti hivyo [emoji845]
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
 
Nazi wa Katoliki waliwalazimisha Wayahudi kuwa Wakatoliki la sivyo wafe:

“Hitler pia alikuwa tayari kuzungumza na Askofu maoni yake juu ya swala la Wayahudi: “Kwa upande wa Wayahudi, ninaendelea na sera ileile ambayo kanisa la Katoliki lilichukua kwa miaka mia tano, wakati lilipowaona Wayahudi kama watu wa Hatari na kuwasukumia katika mageto [ghettos] nk, kwa sababu lilijua jinsi Wayahudi walivyokuwa. Mimi siweki mashindano juu ya dini, lakini ninaona hatari kwa wawakilishi wa mashindano haya ya Kanisa na Serikali, na labda ninafanya Ukristo kuwa huduma kubwa.” —(The Nazi Persecution of the Churches” by J.S. Conway, Pgs. 25, 26 & 162).

Waislamu pia huwalazimisha Wakristo kuwa Waislamu la sivyo wauawe
1.Kusoma kwa makini katika chanzo vya kuaminika
2.Fanya utafiti bila kukurupuka na kutoa hitimisho.
3.Elimu

Waislamu waliishi na Wayahudi Pamoja na Wakirsto madina enzi za Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah)kwa miaka Mungu huku wakipewa ulinzi na uhuru wa kuabudu .

Sasa hilo la kulazimisha kuwa Waislamu la sivyo wauwawe moja kwa moja mbona halipo na umezua ?
 
Je hilo swala la kutumia hiyo alama tunapata wapi katika Source za kiislamu kuwa ni amri au Maelezo kutoka kwa Allah ?

Je Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) amewahi kutumia au kuamrisha jambo hilo ?

Kama hilo jambo halipo katika halo hizo basi jua kwamba limewekwa kwa matamanio ya nafsi za watu na sio dini.Hapo moja kwa moja hoja yako ni nyepesi na dhaifu.
Kwamba limewekwa kwa matamanio ya watu? Hao watu kina Nani?


Hao watu ndio waanzilishi wa Dini ya Uislamu

Si ndio nyie huwa mnasema dini yenu haijachakachuliwa?
330751683.jpg
 
1.Kusoma kwa makini katika chanzo vya kuaminika
2.Fanya utafiti bila kukurupuka na kutoa hitimisho.
3.Elimu

Waislamu waliishi na Wayahudi Pamoja na Wakirsto madina enzi za Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah)kwa miaka Mungu huku wakipewa ulinzi na uhuru wa kuabudu .

Sasa hilo la kulazimisha kuwa Waislamu la sivyo wauwawe moja kwa moja mbona halipo na umezua ?
HIVI UNAJUA KWANINI MUHAMMAD ALIWACHUKIA SANA WAYAHUDI?

QURAN NA HADITH ZIMEJAA AYA ZA KUWACHUKIA WAYAHUDI


HojaWayahudi ilikuwa ni juu ya mashaka waliyonayo, kuwa mafunuo haya ya Muhammadi hayakuwa ya kweli, Aya ifuatayo ya Qur-an maonyesha hilo.



Qur-an Al-Baarah 2:97 Ufafanuzi uk 24 aya 97 hapa wayahudi

wanampinga Malaika Jibril ambaye ndiye aliyeleta mafunuo hayo kwa Muhammad.



Hata Ibada va ijumaa inatokana na ugomvi wa Wayahudi na Muhammad.,Wayahudi walimwambia Hiyo Ibada ya Kuswali Ijumaa amejitungia



- Kutokana na hali hiyo mahusiano baina ya Muhammad na Wayahudi yaliharibika,



Fuatilia katika aya zifuatazo:-



Qur-an 5_:82 Maadui wa Uislam ni Wayahudi

Qur-an 2:I04 [Ufafanuzi] Wayahudi walihitirafiana na Muhammad na kurushiana maneno.



Tangu hapo Muhammad hakupenda kamwe kuwiana na kile wanachofanya wayahudi katika mifumo ya kidini, na ndipo anaitangaza rasmi siku ya ljumaa kama siku ya sala katika Ummah wa Kiislam wakati huo akiwa Yathrib (Madina),
 
Hapa unainyesha wewe ndiyo siyo msomaji. Hayo maneno ya kwenye mabano hayana usahihi. Nani alikwambia Ukristo ni ukatoliki ?

Kingine huyo muandishi aliandika nini katika Qur'aan maana kinachonukuliwa ni kama Qur'aan yote ameandika yeye, na huna ushahidi unao onyesha ya kuwa aliandika nini ?

Kingine Mtume alikuwa na waandishi zaidi ya watatu, kwanini anatajwa huyo na hamuweki ushahidi aliandika nini katika Qur'aan ?

Ukiangalia picha unazo linganisha ya Tasbihi na Huo msalaba, katika Uislamu hakuna mambo hayo, hayo mambo yameletwa baadae na watu walio kuja kuingia katika Uislamu.

Yaani bado hujaonyesha ya kuwa Uislamu ulianzishwa na Ukatoliki.
Huwezi kuona maana umeamua kuwa mfia Dini ,siku ukitoka nje ya box huwez Kubaki kwenye Uislamu
2001838100.jpg
 
Kanisa siyo mkusanyiko wa waumini.
Kanisa ni roho yako, na kiongozi wake ni kristo
Wewe toka Jana nilianza kukupuuza maana sijui uelewa wako Ni mdogo au una shida gani ...

Hujui hata Kanisa maana yake Nini? Sasa wewe Ni mkristo kweli? Nyie ndio hawa mwamposa anawauzia maji na udongo na yeye anajenga mahoteli mbeya .


Neno “kanisa” maana ya asili yatoka kwa neno la Kiyunani ekklesia lili lo na maana ya “kusanyiko” au “walioitwa.”

Maana ya asili ya “kanisa” sio ile ya jengo, bali ni watu.



Warumi 6:5, yasema, “…salimia kanisa linalokutana kwa nyumba.


Paulo anaashiria kanisa lilo katika nyumba yao- si jengo la kanisa bali mwili wa washiriki.
 
Kwahiyo wewe unaunga mkono machafuko na watu kuuana.?
Aliyekudanganya wanafanya Amani na kupatana Nani?

Jesuits ndio mainjinia wa vikundi vya Ugaidi huko Uarabuni unalijua Hilo


1 Wathesalonike 5:3



Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafla, kama vile uchungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa
 
Ukotoliki na ukiristo ni ushirikina wa wazi kwa hiyo ni mbigu na ardhi na uislamu ambayo ni kumpwekesha Mola mlezi pekee pasi na kumshirikisha.

Wewe kiazi wakati mwingine una kopi na kupaste vitu bila tafiti ndio wa kunishauri mimi kusoma na kufanya tafiti ? nikufahamishe tu nina soft copies ,hard copies,audio books na documentary videos kuhusu tafiti ,history,mambo yaliyojificha(nyuma ya pazia ) na current issues kuhusu mambo mbalimbali .

Hata nikiwa natembea naplay audio book ,nikichoka kusoma naplay video kwa kila siku natumia masaa hayapungui matano katika kuchukua maarifa katika dini na nyanja mbalimbali.
Basi nachelea kusema bado unasafi ndefu Sana

Uislamu ,Ukristo ukiongozwa na Catholic na Uyahudi wanaunda dini Moja bandia

Shida nyie wafuasi hamuelewi mmebaki wafia dini tu
 
Kwa ufupi ni kuomba na kutegemea kingine baada ya Mwenyezi Mungu au kuomba Mwenezi Mungu pamoja na wengine kwa wakati mmoja katika mambo ambayo haustahili kuombwa mja na hana uwezo nao isipokuwe yeye mifano ;

1.Mimi nije niungame nitubu dhambi zangu kupitia wewe wakati hayo ni mamlaka ya Mwenyezi Mungu pekee.

2.Kuamini kwamba kiumbe /mtu au kitu chochote ndicho chenye uwezo wa kukupa mabalaa na kukuponya .Kama kusema "Ewe Maria .............." ,"Ahsante Yesu ilibaki kidogo gari linigonge "

3.Kuweka mtu wa Kati baina ya mja na Mwenyezi Mungu ,mfano hauwezi kufanikiwa au maombi yako kujibiwa mpaka uende kwa fulani (Priest nk)

4.Nk
Bado huna Elimu kuhusu kafara ya Yesu ,unahitaji ufundishwe

Ndio maana kwenye Ukristo utaelezwa kwanini Ibrahimu aliambiwa amtoe Isaka Sadaka ,Kuna sababu, kwanini pia Wana wa Israeli walikuwa wanatoa Sadaka za kuteketezwa

Uta connect dot utaelewa vzr

Kwenye Uislamu unaambiwa Sadaka alikuwa ishamael ,lakin hakuna correlation yoyote

Kwenye Ukristo unakuja had kuipata Kafara ya Yesu ambaye ndiye ondoleo la Dhambi
 
Asiyekuwa na mwana ,Mwenye kuundesha ulimwengu wote ,kuleta Mvua, jua giza ,aliyemuumba Adam na mwenye kukusanya sifa zote za ukamilifu.
mungu kwenye Uislamu ana makandokando mengi Sana

Allah Ni Huyo Huyo aliyeabudiwa na wapagani pale macca
417131075.jpg
 
Yale Yale unasema Muhammad saw alikopi nilikwambia alikuja kuendelea alipoishia Daudi,Musa,Yesu Sasa wew ulitaka aje na kipya kipi? Nyie mlivotaka kuleta kipya matokeo yake ndio mmtoka kwenye dini yenyewe mnapuyanga na biashara sio dini tena wakati Yesu mwenyew hakutaka tuchanganye dini na biashara ndio maana alimwaga vitu walivokuja kuuzia msikitini. Nawambien wakristo mafundisho ya Yesu mnayo kwa 1% sisi Waislam tunayo kwa zaidi ya 90%
Huna jipya hapa zaidi ya vioja tuuu

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Labda Kama unamuongelea Isa


Ila Yesu yule mnazareth aliyetabiriwa na manabii huwezi kumkuta kwenye Uislamu na Quran
 
Nyie Mungu wenu Ni Yesu mnashindwa kuelewa kwamba uislam umeanzia kwa nabii Adam nyie mmekomaa na Muhammad saw ambae yeye kaja juzi karne ya 6 uislam ni zaidi ya idea ya kikristo(Roman) ya miungu 3,

Uislam ni kuanzia kwa Adam, Nuhu, ibrahim, Musa wote hao walikua na meseji moja ya Mungu mmoja. Ukiangalia hapo waroma wanaanzia kwa Muhammad kutengeneza conspiracy yao wakizani uislam ulianzia pale ndio maana Kuna vitu vingi wanajichanganya mtume kaja kuendeleza alipoishia Yesu. Wao Yesu ni miongoni mwa miungu Yao halafu wanakwambia watengeze uislam.

Changamoto yao kwanza kitabu biblia yenyewe wameivurugu kweli Mara vitabu 66 Mara vitabu 72 Mara version hii Mara ile..Kama kweli waliunda uislam nilitegemea na Quran waitengenezee version inayokidhi mahitaji ya Sasa.

Chakushangaza hawawezi kuedit hata mstari mmoja wa Quran tangu imeshuka Hadi leo na ndio ishu imewafanya wadate.
Wao wauchezee uroma kwakutengeneza sheria mpya mpya lakin uislam msingi wake hawawezi kufanya kitu na hawakuunda kitu sisi tunaamini kuanzia Ibrahim As na ndie alijenga alkaaba Sasa taratibu za Ibrahim zikoje katka imani? Je Ibrahim na ukatoliki wanaendana? Ukiangalia ibrahim hajawahi kuzungumzia utatu mtakatifu Sasa wao wameupata wapi?

Ushauri wakatoliki wajikite kutngeneza kanisa lao kwanza na hizi Mambo za ushoga zinazowaandama ili dini yao ionekani ninsafi hata watu waanze kuhamia kama maadili katika kanisa lao yameshindikana iweje waweze kukontrol Islam au Wana Baki wanatengeneza theory kurubuni watu.

Kinachowanganya ni kua wao wameacha misingi ya dini wakaunda taasisi wanasema Muhammad aliambiwa awafuate watu wa kitabu sawa.alimanisha afuate Injili halisi aliyokuja nayo Yesu. Lakin Leo hii ukiomba upewe Injili ya Yesu wallahi hupati hata aya moja kutoka kwa waroma kwani wameshaivuruga na kuweka vitu vya maslahi Yao kwajili ya taasisi Yao.

Qurani 2:2

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app




UJINGA KATIKA DINI YA MOOD.

QURAN 34.44
QURAN 62.3
Quran 16.43.
Quran 16.125

Hizi Aya zoote zinakiridini/Imani ya UKRISTO na UYAHUDI vitabu vyao vilitanguli kabla Ya uislamu.

WAO WATAKWAMBIA MANABII WOTE NI WAISLAMU. NJE YA QURAN HAKUNA UISLAMU.

JARIBUNI KUAMINI VITABU VILIVYO TANGULIA.

Agano la kale katika Biblia limeandikwa miaka zaidi ya 3200 iliyopita wakati Agano Jipya limeandikwa miaka 2000.

Hiyo Quran imeandikwa miaka 1400 iliyopita.

Ukiwa na akili tu lazima ujuwe ni kipi kitabu cha ukweli.

WITO WA UKRISTO NI KUOKOA WALE WALIOPOTE.
UFUNUO UNAITA DINI HIYO NI SHIMO LA KUZIMU
 
Wewe toka Jana nilianza kukupuuza maana sijui uelewa wako Ni mdogo au una shida gani ...

Hujui hata Kanisa maana yake Nini? Sasa wewe Ni mkristo kweli? Nyie ndio hawa mwamposa anawauzia maji na udongo na yeye anajenga mahoteli mbeya .


Neno “kanisa” maana ya asili yatoka kwa neno la Kiyunani ekklesia lili lo na maana ya “kusanyiko” au “walioitwa.”

Maana ya asili ya “kanisa” sio ile ya jengo, bali ni watu.



Warumi 6:5, yasema, “…salimia kanisa linalokutana kwa nyumba.


Paulo anaashiria kanisa lilo katika nyumba yao- si jengo la kanisa bali mwili wa washiriki.
🤣🤣 Yani una google alafu unaileta hapa kama ilivyo alafu unajiita unaakili ya kuchanganua hoja.
Screenshot_20230507-132523_1.jpg


Soma hapa maongezi kati ya Yesu na mwanamke msamaria... Alafu jaribu kutafakari uone kama unapata kitu.
Yohana 4:19
Yule mwanamke akamwambia, Bwana, naona ya kuwa u nabii!

Yohana 4:20
Baba zetu waliabudu katika mlima huu, nanyi husema ya kwamba huko Yerusalemu ni mahali patupasapo kuabudia.

Yohana 4:21
Yesu akamwambia, Mama, unisadiki, saa inakuja ambayo hamtamwabudu Baba katika mlima huu, wala kule Yerusalemu.

Yohana 4:22
Ninyi mnaabudu msichokijua; sisi tunaabudu tukijuacho; kwa kuwa wokovu watoka kwa Wayahudi.

Yohana 4:23
Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.

Yohana 4:24
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.

Yohana 4:25
Yule mwanamke akamwambia, Najua ya kuwa yuaja Masihi, (aitwaye Kristo); naye atakapokuja, yeye atatufunulia mambo yote.
 
Back
Top Bottom