CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Mie nacheka humu Mara kanisa la kweli Mara Jesuit tafrani kweli kweli.
Mwanaume MZIMA unacheka Duuuu!!!!!!
Endelea KUCHEKA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nacheka humu Mara kanisa la kweli Mara Jesuit tafrani kweli kweli.
Soma pia historiaSijawahi kuona hoja nyepedi na za kipuuzi kama hii la dai la kuwa Ukatili kuzalisha uislamu.
Uzi wako una chai nyingi kiasi ambacho hata nashinda nianze na you na kuona uzi wenyewe ni upuuzi moja kwa moja.
Ukisoma kwa umakini uislamu historia yake Pamoja na Qu'ran kwa ujumla hitimisho linakuja kuwa haiwi kwa uislamu , Qu'ran Pamoja na utume wa Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) utoke kwa mwengine isipokuwa Allah Mola mlezi wa ulimwengu wote.
Hakuna Ondeleo la Dhambi pasipo kumwagika Damu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kafara lake pale msalabani au sio [emoji23][emoji23]
Jitahidi usome Sana hasa historia ,usijifungie kwenye Quran tuShida yenu wazungu walichelewa sana kuandika Historia. Matokeo yake wanakuka kuwatingia habari za uongo na mlivyo siyo watu wa kusoma na kufanya utafiti mnaingia mkenge.
Siku zote huwa nasema hivi anasema Uislamu umeanzishwa na Ukatoliki haujui Uislamu. Mtoa mada Nina maswali yafuatayo juu yako :
1. Naomba utuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa Waraqah alikuwa Mkatoliki na mama Khadija alikuwa mkatoliki.
2. Hizi habari kwa mara ya kwanza zimeanza kusikika lini na kwanini isiwe kabla ?
3. Tuthibitishie ya kuwa yule mtu aliyekutana na mtume na ami yake katika safari zao za biashara alikuwa Mkatoliki ?
Kuna mada huwa zinatia uvivu kuzijadili, sababu Zina uongo.
Wayahudi wametajwa sana kwenye Quran kwa kuwa wanasifa zifuatazo:Unahitaji elimu kubwa Sana
Yesu hakuja kubadili TORATI
Muhamad mafundisho yake yanatofautiana pakubwa na Waliomtangulia
Wayahudi sio wajinga ,walipotaka kumuhakiki UTUME wake ,ndipo ugomvi ukaanza
Quran imejaa aya za kuwachukia Wayahudi
Yesu hakuacha mtindo wa Rozali, hakuacha masanamu na misingi ya dini ya ukatoliki hakuacha Yesu, hakuacha miungu watu kuabudiwa.Aliacha kanisa linaloonekana acha kujidanganya amlipa Petro funguo, wale wanafunzi wake walikuwa ndio equivalent na maaskofu, wakasambaa na kufungua makanisa, kasome historia ya kanisa vizuri. Yesu hakuacha tuwe disorganized tu eti kanisa la kufikirika.
Weka hayo mapungufu , otherwise ni malalamikoHii stori yako ina mapungufu mengi mno ila imani ya Mungu itabaki pale pale maana hakuna mtu anaweza kupigania Mungu Mungu ni kila kitu katika yote anajitisheleza
Hizi Ni porojo za Quran ambayo imeandikwa na hao hao WakatolikiWayahudi wametajwa sana kwenye Quran kwa kuwa wanasifa zifuatazo:
1.nijamii ambayo imepewa elimu kwani asilimia zaidi ya 90 ya mitume wa muungu waliokuwa wanatoka kwenye jamii ya uyahudi.
2. Kutokaana elimu waliopewa walitarajia kuwa mtume wa mwisho pia atatoka kwenye jamii yao, lakini Allah hakumtoa mtume huyo kwenye jamii yao, na hivyo kupelekea kuwa na chuki kubwa kwenye vifua vyao, na katika kutekeleza chuki zao wapo tayari kushirikiana na kila jamii kuhakikisha kuwa binaadamu hawamfuati mtume sahihi ambao wao hawamkubali kutokana tu hatoki kwenye jamii yao. Ndio maana Quran imewazunguza sana ili kumfahamisha Muhammad na watu wafuasi wake kuhusu ubaya wao, na katika hili ni rahisi mara 100 kumkuta mkiristo au anaeabudia asiekuwa muungu kuingia kwenye uislam kulinganisha na wanaojiita wayahudi.
3. Wayahudi kwa kuwa niwatukutu, ndio maana wakapatiwa mitume wengi hata hivyo walikuwa wabishi na waliwauwa baadhi ya mitume wao, vile vile walitaka kumuuwa Jesus,(jesus vile vile ni myahudi) lakini Allah akamlinda na akafananishwa mmoja wa waliokusudia kumuuwa sura ya Jesus na Allah akamchukuwa Jesus kumpleka mbinguni.
Kiufupu Qur an imesimulia karne zilizopita ambazo kwa kiasi kikubwa zilitawaliwa na historia ya mitumei iliotoka kwenye jamii ya kiyahudi
Unaijua HUKUMU YA YULE KAHABA MKUU (Roman Catholic)?Na shida inayowatesa nyie vikanisa vinavyozuka na kupotea ni umoja wa kanisa katoliki,mkijitazama mmeshindwa kuwa kitu kimoja basi mnalazimisha na ukatoliki usambalatike.
Mbona unashindwa kujibu mada unawalaumu wasabato ,wanahusika Nini hapa?Hahaha. Wasabato bana. Vip mkuu hiv wale waliokuwa airport wanataka kusafiri bure wameishia wapi? Nakumbuka uongo wa the great dissappointment
Hana hoja ni conspiracy za mitandaoni. Labda mi nimuulize swali. Yeye anatumia biblia ipi. Hii ya wakatoliki yenye vitabu 72Mbona unashindwa kujibu mada unawalaumu wasabato ,wanahusika Nini hapa?
Dr Rivera Mjesuit Ni msabato?
Uislamu umeanzia kwa Muhammad mwaka 600AD , hata majini na Shetani walisilimishwa na MuhammadSoma hiki kitabu hiki jinsi Uisilamu ulivyoansishwa Islam org
Pole sanaOna waislamu wanawake huvaa kama masister
Wanafunga kwaresma au ramadhani
Wote wanavaa kanzu na uvumba upo
Wote wanapigania dini zao na kufa kama mashahidi
Wote wanaotumia tasibihi
Wote wanaombea wafu waende peponi
Wote dini zao zinamchanganyiko na upagani
HAKUNA MWARABU HATA MMOJA ALIYEWAHI KUWA MWISLAMU KABLA YA MUHAMMAD USHAHID HUU HAPAUkitaka kuujua Uisilama soma hii kitabu jinsi Uisilamu Uinsilamu ulivyoansishwa Islam org