Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukristo wa Kweli Ni UPROTESTAST HALISI ,Kumbuka Kuna UPROTESTAST ULIOASI


NI chama cha Prieure de Sion (Priory de Sion) kilichoanzishwa na familia ya 11 ya Illuminati inayoitwa Freeman Illuminati bloodlines ndicho kilichosababisha kuanzishwa kwa

‘Uprotestant’ au ‘Upinzani’ ndani ya dini.

Wakainuka mashujaa wengi waliopinga mafundisho machafu yaliyoingizwa ndani ya imani ya kweli ili kutetea neno la Mungu litawale tofauti na mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.

Miongoni mwa mashujaa walioinuka kupingana na mafundisho ya chama cha Prieure de Sion alikuwa Martin Luther,Calvin, Jonh Knox, Sir Isack Newton, n.k.


Kumbuka kwamba wapinzani ‘Protestants’hawa walikuwa wanapinga mafundisho wakiwa ndani ya mifumo ya dini zao.

Hata hivyo hawakufanikiwa kuleta matokeo mazuri ya upinzani wao na hivyo wakaamua kutoka na kujitenga na dini wakiwa na baadhi ya mafundisho machafu waliyoyarithi kutoka kwenye mifumo potofu ya kidini.

Wakiwa wamejitenga, sasa waliamua kufanya ‘matengenezo’ kwa lengo la kuondoa mafundisho machafu na kubaki na mafundisho safi kama ilivyoagizwa na Mungu.

Hivyo jina lao wakaitwa‘Reformers’ au ‘Wanamatengenezo’ badala ya ‘Protestants’ au ‘wapinzani’.‘Waprotestants’ wa awali walijua maana ya kanisa na ndio maana hawakuona shida kujitenga na mifumo iliyokuwa inadhaniwa kuwa ndiyo kanisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hi theory/dhana ya Uislamu kuazishwa na RC imebunia hivi karibuni na propagandist wa Vatican baada ya kugundua kwamba uislamu unatafuna jamii yao kwa kasi and Islam is unstoppable, "if you can't win them join them" ndo wazungu wanacho fanya kwa hiyo theory, wataka wajimilikishe uislam kwa theories za kubuni, Islam is the fastest growing religion in Europe as well as in the whole world, researcher wanasema by 2050 Uislamu ndo itakua the majority religion katika nchi nyingi katika Bara la Ulaya ikiongozwa na Wingereza Ufaransa na Ujerumani, Wazungu wanaanza kujianda kisaikolojia vizazi wao kupokea Uislamu.
Ok
 
Ni ukweli ulio wazi UKATOLIKI NDIO UMEANZISHA Uislamu

kanisa katoliki hujifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha mapokeo yasiyo ya kibiblia. Kwa sababu Ukatoliki ni roho ileile na Uislamu, hii ndiyo sababu waislamu pia haiwaikanushi Biblia kwamba sio kitabu cha Mungu, badala yake nao wanajifanya kuiamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya kanisa katoliki kama yalivyoandikwa kwenye korani ambayo yanapingana vikali na hayopo kwenye Biblia wanayojidai kuiamini. Je unaweza kuniambia ni kwanini wote wakatoliki na waislamu hawaikatai Biblia, bali wanajifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya korani? Ni kwa sababu shetani anapenda kuchanganya uongo na ukweli, ili kuteka roho za watu, anajua kama akiitofautisha Biblia kutoka kwenye korani uongo wake utakuwa wazi. Hii ndiyo njia anayotumia kupofusha roho nyingi kwa kuchanganya ukweli na uongo.
Unastahili kuitwa mpumbavu kwa kuandika porojo usizo na uhakika nazo.
Ujinga wako ungebaki nao kichwani.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kwahio na Roma wameona watafute Kiki kupitia uislam yaan na imani inahitaji Kiki duuh...sawa basi hamieni kwenye dini mlio anzisha Sasa si yenu?

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Kwa akili yako (fupi) umeona kama ni RC inatafuta kiki ila ukweli ni kuwa kuna watu wanaandaa makala za namna hii kuichafua RC!!!!?
RC ni kanisa (taasisi) isiyoshughulika na upuuzi kama huu wa kutafuta kiki za kijinga, inaendeshwa kwa misingi na taratibu ilizojiwekea.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Hi theory/dhana ya Uislamu kuazishwa na RC imebunia hivi karibuni na propagandist wa Vatican baada ya kugundua kwamba uislamu unatafuna jamii yao kwa kasi and Islam is unstoppable, "if you can't win them join them" ndo wazungu wanacho fanya kwa hiyo theory, wataka wajimilikishe uislam kwa theories za kubuni, Islam is the fastest growing religion in Europe as well as in the whole world, researcher wanasema by 2050 Uislamu ndo itakua the majority religion katika nchi nyingi katika Bara la Ulaya ikiongozwa na Wingereza Ufaransa na Ujerumani, Wazungu wanaanza kujianda kisaikolojia vizazi wao kupokea Uislamu.
Malizia basi....Islam ndio fastest growing religion Europe kwa sababu gani?

Ni kwa sababu Wazungu wanaacha ukristo na kuwa waislam au ni kwa sababu Waislam WANAHAMIA Ulaya?

Sababu ni ipi kati ya hizo 2 hapo?
Halafu, hivi the largest religion kwa miaka nenda rudi hapa duniani ni ipi? Mbona huwa mnakwepa kuitaja hiyo hoja ya nani ni dini kubwa duniani mnakomalia tu na fastest growing? Who is the largest? Care to mention them?
 
Hadithi ndefu na ya kutunga iliyo jaa uongo mtupu
Mfano michache
Yerusalem ilitekwa na Khalifa Umar r.a. toka mikononi mwa Warumi
Wayahudi wajua walifikaje Africa Kaskazini? Walikimbia kuuwawa na Wakatoliki kwenye kile kinaitwa Spanish/Portuguese Inquisitions na kukimbilia nchi za Waislamu.
Uongo mwingine hajui Uislamu uliingia Ulaya kwanza kwa kuiteka Spain na Portugal kwa Waarabu na kufika Caucas na Ulaya Mashariki na Waturuki. (Kuna tamthiliya yake Azam tv)
Kuhusu bi Khadija na Mtume kufundisha na kutumiwa na Makatoliki na upuuzi mwingine kama huo ni upumbavu mtupu usio stahili kujadiliwa (it's too absurd to argue)
 
Yesu hakuacha DINI yoyote.

Yesu aliacha IMANI na KANISA ambalo ni mtu aaminiye.

Wasabato pia wamekwama na Yao, hawamwamini Roho MTAKATIFU na hawaamini miujiza.

Bila Roho MTAKATIFU, Roho wa YESU, huwezi kumpendeza Mungu.

Njia ya Mbinguni ni nyemvamba na imesonga miiba, lakini njia ielekeayo upotevuni na kuzimu ni Pana sana, fikiri madhehebu na DINI hizo kubwa zimewafunga wangapi?

Mungu atusaidie kupita njia nyemvamba ielekeayo Mbinguni.

Amen
Aliacha kanisa linaloonekana acha kujidanganya amlipa Petro funguo, wale wanafunzi wake walikuwa ndio equivalent na maaskofu, wakasambaa na kufungua makanisa, kasome historia ya kanisa vizuri. Yesu hakuacha tuwe disorganized tu eti kanisa la kufikirika.
 
Hadithi ndefu na ya kutunga iliyo jaa uongo mtupu
Mfano michache
Yerusalem ilitekwa na Khalifa Umar r.a. toka mikononi mwa Warumi
Wayahudi wajua walifikaje Africa Kaskazini? Walikimbia kuuwawa na Wakatoliki kwenye kile kinaitwa Spanish/Portuguese Inquisitions na kukimbilia nchi za Waislamu.
Uongo mwingine hajui Uislamu uliingia Ulaya kwanza kwa kuiteka Spain na Portugal kwa Waarabu na kufika Caucas na Ulaya Mashariki na Waturuki. (Kuna tamthiliya yake Azam tv)
Kuhusu bi Khadija na Mtume kufundisha na kutumiwa na Makatoliki na upuuzi mwingine kama huo ni upumbavu mtupu usio stahili kujadiliwa (it's too absurd to argue)
We jiheshimu makatoliki ndio nani? Maislam je?
 
Hii inaweza kuwa kweli aisee, manake zipo fact kadhaa zinatakiwa kufanyiwa tafakuri jadilifu:

1. Huyo Padre aliyemtabiria Muhammad utume ni kweli kabisa, na waislam wanaijua hii stori. Mimi pia nilishawahi kusoma historia ya Muhammad nilikutana na hiki kitu.

2. Mariam(Bikira Maria) amepewa heshima kubwa katika quran inakaribiana na jinsi anavyoheshimika katika dini ya Roman, amepewa sura nzima katika quran lakin Issa(Yesu) hakuna sura yeyote aliyopewa, hii inahitaji tafakari pia.

3. Jeshi la waislam katika vita ya Jihad walikatazwa kubomoa makanisa, ni kweli kabisa na waislam wanalijua hili. Umar ibn al-Khattab, Khalifa wa pili katika uislam ambaye bint yake Hafsa aliolewa na Muhammad, na ndiye aliyejenga msikiti wa Al Aksa na aliyemuaru kuanza kwa kalenda ya uislam. Huyu mwamba alishawahi kutoa msaada, kutoa pesa kutoka katika dola ya kiislam na kusaidia kukarabati makanisa ya wakristo (Wakatoliki), alikuwa anawaheshimu sana. Hili pia linahitaji tafakari.

4. Jeshi la waislam kipindi hicho kuweza kushinda kwa kasi vile, wakati hawakuwa na nguvu yoyote ilikuwaje? Wakati Rumi ndo ilikuwa ikitawala Dunia? Inawezekana kweli walisaidiwa na Warumi. Tutafakari.

5. Waislam kuwa maadui zao ni wayahudi hili pia ni kweli imeandikwa katika vitabu vyao. Tunaweza kutafakari pia, kwanini ni maadui wakati manabii wao wanawakubali?

NB: Ile ziara ya papa aliyoifanya kukutana na viongozi wa juu wa kiislam inatoa alert kuhusu hili jambo. Tuendelee kuchimba zaidi, tunywe mtori nyama zipo chini.
 
Hii inaweza kuwa kweli aisee, manake zipo fact kadhaa zinatakiwa kufanyiwa tafakuri jadilifu:
1. Huyo Padre aliyemtabiria Muhammad utume ni kweli kabisa, na waislam wanaijua hii stori.
2. Mariam(Bikira Maria) kupewa sura nzima katika quran inahitaji tafakari pia.
3. Jeshi la waislam katika vita ya Jihad walikatazwa kubomoa makanisa ni kweli kabisa na waislam wanalijua hili.
4. Jeshi la waislam kipindi hicho kuweza kushinda kwa kasi vile wakati hawakuwa na nguvu yoyote ilikuwaje? Wakati Rumi ndo ilikuwa ikitawala Dunia? Inawezekana kweli walisaidiwa na Warumi.
5. Waislam kuwa maadui zao ni wayahudi hili pia ni kweli imeandikwa katika vitabu vyao.

NB: Ile ziara ya papa aliyoifanya kukutana na viongozi wa juu wa kiislam inatoa alert kuhusu hili jambo. Tuendelee kuchimba zaidi, tunywe mtori nyama zipo chini.
Ndugu huo ndio ukweli wenyewe , ukichimba zaidi utakuna na makubwa zaidi


Roman Catholic ndiye mwanzilishi wa Uislamu

Sema baadae Uislamu ulitaka kumgeuka Roman Catholic , Kama waprotestant walivyofanya


Ndipo Roman Catholic kupitia Ignatius Loyola wanaunda The Jesuit kuwashibit na wakafanikiwa


Huko Ureno Waislamu na Wakatoliki wanakutana Fatima (huu mji mkatoliki yeyote anaujua)
 
Shida yenu wazungu walichelewa sana kuandika Historia. Matokeo yake wanakuka kuwatingia habari za uongo na mlivyo siyo watu wa kusoma na kufanya utafiti mnaingia mkenge.

Siku zote huwa nasema hivi anasema Uislamu umeanzishwa na Ukatoliki haujui Uislamu. Mtoa mada Nina maswali yafuatayo juu yako :

1. Naomba utuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa Waraqah alikuwa Mkatoliki na mama Khadija alikuwa mkatoliki.

2. Hizi habari kwa mara ya kwanza zimeanza kusikika lini na kwanini isiwe kabla ?

3. Tuthibitishie ya kuwa yule mtu aliyekutana na mtume na ami yake katika safari zao za biashara alikuwa Mkatoliki ?

Kuna mada huwa zinatia uvivu kuzijadili, sababu Zina uongo.
Nenda kasome hata Vitabu vya Maisha ya Muhammad vya Sheikh Farsy ,kasome historia


Waraq , na Bi Khadija walikuwa dini gani kabla ya kukutana na muhamad hasa Khadija ndiye wakwanza kusilimu

Unajua alitoka dini gani

Hakuna muislamu asiyejua hili
 
Shida yenu wazungu walichelewa sana kuandika Historia. Matokeo yake wanakuka kuwatingia habari za uongo na mlivyo siyo watu wa kusoma na kufanya utafiti mnaingia mkenge.

Siku zote huwa nasema hivi anasema Uislamu umeanzishwa na Ukatoliki haujui Uislamu. Mtoa mada Nina maswali yafuatayo juu yako :

1. Naomba utuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa Waraqah alikuwa Mkatoliki na mama Khadija alikuwa mkatoliki.

2. Hizi habari kwa mara ya kwanza zimeanza kusikika lini na kwanini isiwe kabla ?

3. Tuthibitishie ya kuwa yule mtu aliyekutana na mtume na ami yake katika safari zao za biashara alikuwa Mkatoliki ?

Kuna mada huwa zinatia uvivu kuzijadili, sababu Zina uongo.
Unataka kujibiwa lakini unatanguliza malalamiko kuwa Ni uongo


Hebu jitahidi kusoma Vitabu vyenu mjue mengi pia somen historia vzr


MUHAMMAD ALIKUWA ANAVALIA MAVAZI YA KIKATOLIKI WAKATI WA KUSALI : SWALI ANAYEVAA VAZI LA KIKATOLIKI ANAITWA MKATOLIKI AMA MWISLAMU?
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji441][emoji441]

Ilisimuliwa Na 'Ubadah bin Samit alisema:

“Mtume Muhammad s.a.w (tulimuona) akitoka kwetu siku moja, akiwa amevaa vazi la Kirumi [kikatoliki] la sufu na mikono nyembamba. Na Alituongoza katika maombi akiwa amevaa hilo, na si kitu kingine chochote. ”

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عُثْمَانَ بْنِ كَرَامَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، حَدَّثَنَا الأَحْوَصُ بْنُ حَكِيمٍ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ عُبَادَةَ بْنِ الصَّامِتِ، قَالَ خَرَجَ عَلَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ذَاتَ يَوْمٍ وَعَلَيْهِ جُبَّةٌ رُومِيَّةٌ مِنْ صُوفٍ ضَيِّقَةُ الْكُمَّيْنِ فَصَلَّى بِنَا فِيهَا لَيْسَ عَلَيْهِ شَىْءٌ غَيْرُهَا ‏.‏

Sunnah kitabu cha 32 Juzuu ya 4, Hadithi 35

MUHAMMAD ALIRUDI KWA BABA YAKE WA IMANI PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI KUENZI MAVAZI YA KATOLIKI AMBAYE ALIMWAMBIA JIBASHIRIE MWENYEWE KUWA WEWE NI MTUME WA UMMA HUU wakishirikiana na Mke Muhammad aitwaye Bibi Khadija

[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810] Huyu PADRI WARAQA BIN NAUFU NI MKRISTO KUTOKA ROMANI KATOLIKI USHAHIDI HUU CHINI SIKU WANAMPA UTUME MUHAMMAD MWENYEZI MUNGU ALIKUWA SHAHIDI TU KATIKA TUKIO HILO
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]

[emoji3581]Qur'an 4:79. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

[emoji3581]Qur'an 13:43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.

[emoji3581]Qur'an 36:3. Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa.

HIZO JUU NDIYO KAULI ZA MKEWE MUHAMMAD AITWAYE KHADIJA NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI
[emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810][emoji810]
USHAHIDI WA HADITHI HUU HAPA MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKRISITO MKATOLIKI NA MKEWE KHADIJA NA BIBI KHADIJA NDIYE MWANADAMU WA KWANZA ULIMWENGUNI KUSILIMU KUWA MWISLAMU KISHA AKAFUATA ALI BIN TALIB

Amesimuliw na Aisha:

(mke wa Mtume) Kuanza (kwa Uvuvio wa Kimungu) kwa Mtume wa Allah kulikuwa katika hali ya ndoto za kweli katika usingizi wake, kwani hakuwahi kuwa na ndoto lakini ikawa kweli na wazi kama mwangaza wa mchana. Halafu akaanza kupenda kujitenga, kwa hivyo alikuwa akijitenga kwenye pango la Hira ambapo alikuwa akimwabudu Mwenyezi Mungu mfululizo kwa usiku mwingi kabla ya kurudi kwa familia yake kuchukua chakula cha lazima kwa ajili ya kukaa.

Alirudi kwa (mkewe) Khadija tena kuchukua chakula chake (vile vile chakula) vivyo hivyo, mpaka siku moja alipokea Mwongozo wakati alikuwa katika pango la Hira. Mtu Mmoja alimjia na kumwambia asome. Mtume alijibu, "Sijui kusoma." Mtume akaongeza, "Kisha Mtu Yule alinishika (kwa nguvu) na akanibana sana hadi nikahisi shida. Kisha akaniachia na akaniuliza tena nisome, nami nikajibu," Sijui kusoma.
" Hapo alinishika tena na kunibonyeza kwa mara ya pili mpaka nikahisi kuzimia. Kisha akaniachia na kuniuliza nisome, lakini tena nikamjibu.'Sijui kusoma.' Hapo alinishika kwa mara ya tatu na kunibana mpaka nikafadhaika, kisha akaniachia na kusema, 'Soma, kwa Jina la Bwana wako Ambaye ameumba (vyote vilivyopo), . Amemuumba binaadamu kwa tone la damu Na Mola wako ni Mkarimu zaidi. Ambaye amefundisha maandishi kwa kalamu, na amemfundisha mwanadamu yale asiyokuwa akiyajua. (Qur'an 96.1-5).
Kisha Mtume akarudi na hali hiyo na misuli kati ya shingo yake na mabega ilikuwa ikitetemeka mpaka alipomjia Khadija (mkewe) na kusema, "Nifunike " Alimfunika, na hali ya hofu ilipoisha, akamwambia Khadija, "Ewe Khadija! Kuna shida gani kwangu Mimi Muhammad ? Niliogopa kwamba kitu kibaya kimenipata na Najihofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga! ."
Kisha akamwambia hadithi hiyo ilivyotokea pangoni. Khadija alisema, "Hapana! Bali pokea habari njema! Wallahi,Mimi Naona Umekwisha kuwa Mtume Wa Mwenyezi Mungu hatakufedhehesha kamwe, kwani kwa Mwenyezi Mungu unaweka uhusiano mzuri na jamaa na jamaa yako, unasema ukweli, unasaidia masikini na wanyonge, uwakaribishe wageni wako sana na uwasaidie wale waliopatwa na misiba. " Khadija kisha akampeleka kwa Waraqa bin Naufil, mtoto wa mjomba wa baba yake Khadija.


Huyu Padri Waraqa bin Naufal alikuwa amebadilisha Dini na kuingia katika Dini ya Kikristo kwa Muda Mrefu Sana katika Kipindi hicho cha Kabla ya Kuja Dini Mpya ya Uislamu na alikuwa akiandika Kiarabu na Alikuwa anaandika injili kwa Kiarabu vile vile Mwenyezi Mungu aliyotaka ayaandike. Alikuwa mzee na alikuwa amepoteza macho yake.


Khadija alisema (kwa Waraqa), "Ewe binamu yangu! Sikiliza nini mpwa wako Nini anataka kusema." Waraqa akasema, "Ewe mpwa wangu! Umeona nini?" Kisha Mtume akaelezea kila kitu alichokiona.

Waraqa alisema, "Huyu ndiye Malaika (Jibrili) yule aliyetumwa kwa Musa. Basi jibashirie Mwenyewe (Muhammad) Wewe Ni Mtume wa Umma huu.Laiti ningekuwa mchanga." Aliongeza taarifa nyingine. Mtume wa Mwenyezi Mungu aliuliza, "Je! Watu hawa watanifukuza?" Waraqa alisema, "Ndio, kwani hakuna mtu aliyeleta mfano kama huu ulioleta, lakini alitendewa kwa uadui. Ikiwa ningeendelea kuwa hai hadi siku yako unapoanza kuhubiri hii Dini yako Mpya ya Uislamu Basi ningekuunga mkono sana mpwa wangu.

" Lakini muda mfupi baadaye Padri Waraqa bin Naufal alikufa Ndipo Bibi Khadija Mke wa Mtume akawa ndiye Mtu wa Kwanza Ulimwenguni Kusilimu na hakutanguliwa na Mtu yeyote kisha Akafuata Ali bin Talib huyu alisilimu akiwa na Miaka kumi na Uvuvio wa Wahyi ulikatika(ulimamima) kwa muda baada ya Padri waraqa bin Naufal na Mtume wa Allah alihuzunika sana kwa Kufa Huyu padrie waraqa bin Naufal.

رواه عائشة: (زوجة الرسول) كانت بداية رسول الله صلى الله عليه وسلم أحلامًا حقيقية في نومه ، فلم يحلم قط بل صار حقيقيًا وواضحًا كالنهار. ثم بدأ في حب العزلة ، فكان ينعزل عن غار حراء حيث كان يعبد الله باستمرار لعدة ليال قبل أن يعود إلى أهله ليأخذ ما يلزمهم من طعام للإقامة. عاد إلى (زوجته) خديجة مرة أخرى ليأخذ طعامه (وكذلك طعامه) بنفس الطريقة ، حتى استلم ذات يوم المرشد وهو في غار حراء. جاءه شخص ما وقال له أن يقرأ. فأجاب الرسول: لا أعرف القراءة. وأضاف الرسول: ثم أمسكني الرجل (بعنف) وشدني حتى شعرت بالمتاعب ، ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة مرة أخرى ، فقلت: لا أعرف كيف أقرأ. "ثم أمسك بي مرة أخرى وضغط علي مرة ثانية حتى شعرت بالإغماء. ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة ، لكني أجبت مرة أخرى." لا أعرف كيف أقرأ ". هناك أمسك بي مرة ثالثة وأمسك بي حتى انزعجت ، ثم أطلقني وقال: اقرأ باسم ربك الذي خلق (كل ما هو) ، خلق الإنسان بقطعة قماش. اقرأ! والرب أكرم وقد علم الإنسان ما لم يعرفه (القرآن 96.1-5).
ثم عاد الرسول بالحالة واهتزت العضلات بين رقبته وكتفيه حتى جاء إلى خديجة (زوجته) وقال: غطني غطائها ، وعندما انتهت حالة الخوف ، قالت لخديجة. "يا خديجة! ما خطبتي يا محمد؟" كنت أخشى أن يحدث لي شيء سيء وكنت أخشى أن تتأخر روحي بسبب الشياطين وتدمر عقلي وتنام! ثم أخبرته قصة ما حدث في الكهف .. فقالت خديجة: لا! ولكن تلقي البشارة! والله أظنك صرت رسولا ولن يعلمك الله في الحال فالله يقيم علاقات طيبة مع أقاربك فتقول الحق وتساعد الفقراء والضعفاء وأنت مضياف جدا وتساعد الذين عانوا. المآسي. ثم أخذته خديجة إلى ورقة بن نوفيل ، ابن عم والد خديجة. كان هذا القس ورقة بن نوفل قد اعتنق المسيحية لفترة طويلة جدًا في عصر ما قبل الإسلام وكان يكتب باللغة العربية وكان يكتب الإنجيل باللغة العربية كما أراده الله أن يكتبها. كان قد تقدم في السن وفقد بصره. قالت خديجة (لورقة): "يا ابن عمي! اسمع ما يقول ابن أخيك ما يقول". قال ورقة: يا ابن أخي ما رأيت؟ ثم وصف النبي كل ما رآه.
قال ورقة: هذا هو الملاك (جبريل) الذي أرسل إلى موسى ، فتنبأ على نفسك (محمد). أنت رسول هذه الأمة ، لاني كنت طفلاً صغيراً. وأضاف بيانا آخر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل يبعدني هؤلاء؟ قال ورقة: "نعم ، لأن أحداً لم يضرب مثالاً كهذا ، لكنه تصرف بعدائية. لو بقيت على قيد الحياة حتى يومك تبدأ في الدعوة إلى هذا الدين الجديد للإسلام ، فسأكون داعماً جداً لابن أخي". لكن خديجة زوجة الرسول صارت أول إنسان في العالم يعتنق الإسلام ولم يسبقه أحد.

Sahih al-Bukhari 4953 Juzuu Ya 6,kitabu Cha 60, Hadith 478
 
Do Muslims believe in Fatima?



Fatima has been compared to Mary, mother of Jesus, especially in Shia Islam.


Muhammad is said to have regarded her as the best of women and the dearest person to him. She is often viewed as an ultimate archetype for Muslim women and an example of compassion, generosity, and enduring suffering.

1313561760.jpg
 
Sijawahi kuona hoja nyepedi na za kipuuzi kama hii la dai la kuwa Ukatili kuzalisha uislamu.

Uzi wako una chai nyingi kiasi ambacho hata nashinda nianze na you na kuona uzi wenyewe ni upuuzi moja kwa moja.

Ukisoma kwa umakini uislamu historia yake Pamoja na Qu'ran kwa ujumla hitimisho linakuja kuwa haiwi kwa uislamu , Qu'ran Pamoja na utume wa Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) utoke kwa mwengine isipokuwa Allah Mola mlezi wa ulimwengu wote.


1. Jitahidi kuandika vizuri.
2. Punguza Dharau na Matusi.
3. Kuwa mtu wa Kusoma sana na kufanya Tafiti.

ALIYELETA ANDIKO HILI SI MJINGA.

NANI ASIYEJUA VATCAN KUANZISHA ISLAMIC???????!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom