BIN NUN
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 3,477
- 7,085
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ukristo wa kweli sasa [emoji23][emoji23]Ukristo wa ukweli ni upi sasa?
Pentecostal au orthodox
Kwamba ukristo wa kweli haujulikani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ukristo wa kweli sasa [emoji23][emoji23]Ukristo wa ukweli ni upi sasa?
Pentecostal au orthodox
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanisa maana yake sio Jengo ,Ni mkusanyiko wa waumini
Hata mkiwa wawili chini ya mti mkaemdesha ibada ,Ni kanisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukristo wa Kweli Ni UPROTESTAST HALISI ,Kumbuka Kuna UPROTESTAST ULIOASI
NI chama cha Prieure de Sion (Priory de Sion) kilichoanzishwa na familia ya 11 ya Illuminati inayoitwa Freeman Illuminati bloodlines ndicho kilichosababisha kuanzishwa kwa
‘Uprotestant’ au ‘Upinzani’ ndani ya dini.
Wakainuka mashujaa wengi waliopinga mafundisho machafu yaliyoingizwa ndani ya imani ya kweli ili kutetea neno la Mungu litawale tofauti na mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu.
Miongoni mwa mashujaa walioinuka kupingana na mafundisho ya chama cha Prieure de Sion alikuwa Martin Luther,Calvin, Jonh Knox, Sir Isack Newton, n.k.
Kumbuka kwamba wapinzani ‘Protestants’hawa walikuwa wanapinga mafundisho wakiwa ndani ya mifumo ya dini zao.
Hata hivyo hawakufanikiwa kuleta matokeo mazuri ya upinzani wao na hivyo wakaamua kutoka na kujitenga na dini wakiwa na baadhi ya mafundisho machafu waliyoyarithi kutoka kwenye mifumo potofu ya kidini.
Wakiwa wamejitenga, sasa waliamua kufanya ‘matengenezo’ kwa lengo la kuondoa mafundisho machafu na kubaki na mafundisho safi kama ilivyoagizwa na Mungu.
Hivyo jina lao wakaitwa‘Reformers’ au ‘Wanamatengenezo’ badala ya ‘Protestants’ au ‘wapinzani’.‘Waprotestants’ wa awali walijua maana ya kanisa na ndio maana hawakuona shida kujitenga na mifumo iliyokuwa inadhaniwa kuwa ndiyo kanisa
Mie nacheka humu Mara kanisa la kweli Mara Jesuit tafrani kweli kweli.Ukitaka kuufahamu vizuri uislamu na chimbuko lake soma Qur'an wachana na porojo za wagalatia utapotea.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kafara lake pale msalabani au sio [emoji23][emoji23]Ukiamini Kafara ya kifo chake pale msalabani unakuwa umesamehewa dhambi zako
WAISLAMU hawataki kabisa kusikia Hilo jambo
OkHi theory/dhana ya Uislamu kuazishwa na RC imebunia hivi karibuni na propagandist wa Vatican baada ya kugundua kwamba uislamu unatafuna jamii yao kwa kasi and Islam is unstoppable, "if you can't win them join them" ndo wazungu wanacho fanya kwa hiyo theory, wataka wajimilikishe uislam kwa theories za kubuni, Islam is the fastest growing religion in Europe as well as in the whole world, researcher wanasema by 2050 Uislamu ndo itakua the majority religion katika nchi nyingi katika Bara la Ulaya ikiongozwa na Wingereza Ufaransa na Ujerumani, Wazungu wanaanza kujianda kisaikolojia vizazi wao kupokea Uislamu.
Unastahili kuitwa mpumbavu kwa kuandika porojo usizo na uhakika nazo.Ni ukweli ulio wazi UKATOLIKI NDIO UMEANZISHA Uislamu
kanisa katoliki hujifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha mapokeo yasiyo ya kibiblia. Kwa sababu Ukatoliki ni roho ileile na Uislamu, hii ndiyo sababu waislamu pia haiwaikanushi Biblia kwamba sio kitabu cha Mungu, badala yake nao wanajifanya kuiamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya kanisa katoliki kama yalivyoandikwa kwenye korani ambayo yanapingana vikali na hayopo kwenye Biblia wanayojidai kuiamini. Je unaweza kuniambia ni kwanini wote wakatoliki na waislamu hawaikatai Biblia, bali wanajifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya korani? Ni kwa sababu shetani anapenda kuchanganya uongo na ukweli, ili kuteka roho za watu, anajua kama akiitofautisha Biblia kutoka kwenye korani uongo wake utakuwa wazi. Hii ndiyo njia anayotumia kupofusha roho nyingi kwa kuchanganya ukweli na uongo.
Kwa akili yako (fupi) umeona kama ni RC inatafuta kiki ila ukweli ni kuwa kuna watu wanaandaa makala za namna hii kuichafua RC!!!!?Kwahio na Roma wameona watafute Kiki kupitia uislam yaan na imani inahitaji Kiki duuh...sawa basi hamieni kwenye dini mlio anzisha Sasa si yenu?
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Malizia basi....Islam ndio fastest growing religion Europe kwa sababu gani?Hi theory/dhana ya Uislamu kuazishwa na RC imebunia hivi karibuni na propagandist wa Vatican baada ya kugundua kwamba uislamu unatafuna jamii yao kwa kasi and Islam is unstoppable, "if you can't win them join them" ndo wazungu wanacho fanya kwa hiyo theory, wataka wajimilikishe uislam kwa theories za kubuni, Islam is the fastest growing religion in Europe as well as in the whole world, researcher wanasema by 2050 Uislamu ndo itakua the majority religion katika nchi nyingi katika Bara la Ulaya ikiongozwa na Wingereza Ufaransa na Ujerumani, Wazungu wanaanza kujianda kisaikolojia vizazi wao kupokea Uislamu.
Aliacha kanisa linaloonekana acha kujidanganya amlipa Petro funguo, wale wanafunzi wake walikuwa ndio equivalent na maaskofu, wakasambaa na kufungua makanisa, kasome historia ya kanisa vizuri. Yesu hakuacha tuwe disorganized tu eti kanisa la kufikirika.Yesu hakuacha DINI yoyote.
Yesu aliacha IMANI na KANISA ambalo ni mtu aaminiye.
Wasabato pia wamekwama na Yao, hawamwamini Roho MTAKATIFU na hawaamini miujiza.
Bila Roho MTAKATIFU, Roho wa YESU, huwezi kumpendeza Mungu.
Njia ya Mbinguni ni nyemvamba na imesonga miiba, lakini njia ielekeayo upotevuni na kuzimu ni Pana sana, fikiri madhehebu na DINI hizo kubwa zimewafunga wangapi?
Mungu atusaidie kupita njia nyemvamba ielekeayo Mbinguni.
Amen
We jiheshimu makatoliki ndio nani? Maislam je?Hadithi ndefu na ya kutunga iliyo jaa uongo mtupu
Mfano michache
Yerusalem ilitekwa na Khalifa Umar r.a. toka mikononi mwa Warumi
Wayahudi wajua walifikaje Africa Kaskazini? Walikimbia kuuwawa na Wakatoliki kwenye kile kinaitwa Spanish/Portuguese Inquisitions na kukimbilia nchi za Waislamu.
Uongo mwingine hajui Uislamu uliingia Ulaya kwanza kwa kuiteka Spain na Portugal kwa Waarabu na kufika Caucas na Ulaya Mashariki na Waturuki. (Kuna tamthiliya yake Azam tv)
Kuhusu bi Khadija na Mtume kufundisha na kutumiwa na Makatoliki na upuuzi mwingine kama huo ni upumbavu mtupu usio stahili kujadiliwa (it's too absurd to argue)
Ndugu huo ndio ukweli wenyewe , ukichimba zaidi utakuna na makubwa zaidiHii inaweza kuwa kweli aisee, manake zipo fact kadhaa zinatakiwa kufanyiwa tafakuri jadilifu:
1. Huyo Padre aliyemtabiria Muhammad utume ni kweli kabisa, na waislam wanaijua hii stori.
2. Mariam(Bikira Maria) kupewa sura nzima katika quran inahitaji tafakari pia.
3. Jeshi la waislam katika vita ya Jihad walikatazwa kubomoa makanisa ni kweli kabisa na waislam wanalijua hili.
4. Jeshi la waislam kipindi hicho kuweza kushinda kwa kasi vile wakati hawakuwa na nguvu yoyote ilikuwaje? Wakati Rumi ndo ilikuwa ikitawala Dunia? Inawezekana kweli walisaidiwa na Warumi.
5. Waislam kuwa maadui zao ni wayahudi hili pia ni kweli imeandikwa katika vitabu vyao.
NB: Ile ziara ya papa aliyoifanya kukutana na viongozi wa juu wa kiislam inatoa alert kuhusu hili jambo. Tuendelee kuchimba zaidi, tunywe mtori nyama zipo chini.
Nenda kasome hata Vitabu vya Maisha ya Muhammad vya Sheikh Farsy ,kasome historiaShida yenu wazungu walichelewa sana kuandika Historia. Matokeo yake wanakuka kuwatingia habari za uongo na mlivyo siyo watu wa kusoma na kufanya utafiti mnaingia mkenge.
Siku zote huwa nasema hivi anasema Uislamu umeanzishwa na Ukatoliki haujui Uislamu. Mtoa mada Nina maswali yafuatayo juu yako :
1. Naomba utuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa Waraqah alikuwa Mkatoliki na mama Khadija alikuwa mkatoliki.
2. Hizi habari kwa mara ya kwanza zimeanza kusikika lini na kwanini isiwe kabla ?
3. Tuthibitishie ya kuwa yule mtu aliyekutana na mtume na ami yake katika safari zao za biashara alikuwa Mkatoliki ?
Kuna mada huwa zinatia uvivu kuzijadili, sababu Zina uongo.
Unataka kujibiwa lakini unatanguliza malalamiko kuwa Ni uongoShida yenu wazungu walichelewa sana kuandika Historia. Matokeo yake wanakuka kuwatingia habari za uongo na mlivyo siyo watu wa kusoma na kufanya utafiti mnaingia mkenge.
Siku zote huwa nasema hivi anasema Uislamu umeanzishwa na Ukatoliki haujui Uislamu. Mtoa mada Nina maswali yafuatayo juu yako :
1. Naomba utuwekee ushahidi unao onyesha ya kuwa Waraqah alikuwa Mkatoliki na mama Khadija alikuwa mkatoliki.
2. Hizi habari kwa mara ya kwanza zimeanza kusikika lini na kwanini isiwe kabla ?
3. Tuthibitishie ya kuwa yule mtu aliyekutana na mtume na ami yake katika safari zao za biashara alikuwa Mkatoliki ?
Kuna mada huwa zinatia uvivu kuzijadili, sababu Zina uongo.
Pangua hojaMada ya Mchongo.
Sijawahi kuona hoja nyepedi na za kipuuzi kama hii la dai la kuwa Ukatili kuzalisha uislamu.
Uzi wako una chai nyingi kiasi ambacho hata nashinda nianze na you na kuona uzi wenyewe ni upuuzi moja kwa moja.
Ukisoma kwa umakini uislamu historia yake Pamoja na Qu'ran kwa ujumla hitimisho linakuja kuwa haiwi kwa uislamu , Qu'ran Pamoja na utume wa Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) utoke kwa mwengine isipokuwa Allah Mola mlezi wa ulimwengu wote.