Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Hii sio kweli, nachofahamu waislam wanazaliana zaidi so population inavyokua na wao wanaongezeka ila sio kwamba inakua sababu wazungu wanasilimu

Then hivi vitisho vya Uislam kuimeza ulaya vimeanza tokea enzi za Ottoman mpaka akavamia Uturuki iliyokua nchi ya kikatoliki na kuisilimisha. Ila alipojaribu kuvamia makao makuu ya Ukatoliki huko Italia ndio ukawa mwisho wa Mehmet Ali maana alifariki siku Moja kabla ya uvamizi. Na tokea hapo hakuna Muislam alijaribu kuivamia Ulaya.

So as much as siwakubali hao wakatoliki ila sidhani wanaweza ruhusu Uislam uimeze ulaya. Zaidi utasikia vita zinaongezeka uarabuni Ili population ipungue
UNAIJUA HISTORIA FULL

UBARIKIWE SANA
 
Yaani wewe umezijua habari za Yesu bila kusoma vitabu (Biblia)

Nyie ndio manabii wa Uongo
Manabii walitabiri, soma Yeremia 31 : 31-34
Nimekusogezea hii
Yeremia 31:34
Wala hawatamfundisha kila mtu jirani yake, na kila mtu ndugu yake, wakisema, Mjue BWANA; kwa maana watanijua wote, tangu mtu aliye mdogo miongoni mwao hata aliye mkubwa miongoni mwao, asema BWANA; maana nitausamehe uovu wao, wala dhambi yao sitaikumbuka tena.
 
Ni ukweli ulio wazi UKATOLIKI NDIO UMEANZISHA Uislamu

kanisa katoliki hujifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha mapokeo yasiyo ya kibiblia. Kwa sababu Ukatoliki ni roho ileile na Uislamu, hii ndiyo sababu waislamu pia haiwaikanushi Biblia kwamba sio kitabu cha Mungu, badala yake nao wanajifanya kuiamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya kanisa katoliki kama yalivyoandikwa kwenye korani ambayo yanapingana vikali na hayopo kwenye Biblia wanayojidai kuiamini. Je unaweza kuniambia ni kwanini wote wakatoliki na waislamu hawaikatai Biblia, bali wanajifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya korani? Ni kwa sababu shetani anapenda kuchanganya uongo na ukweli, ili kuteka roho za watu, anajua kama akiitofautisha Biblia kutoka kwenye korani uongo wake utakuwa wazi. Hii ndiyo njia anayotumia kupofusha roho nyingi kwa kuchanganya ukweli na uongo.
Muislamu anaamini INJILI kuwa ni kitabu cha ALLAH, kama ilivyo kwa vitabu vya ZABURI ,TAURATI na QUR AN. Huyo muislamu anaeamini BIBLIA kuwa ni kitabu cha ALLAH atakuwa ameshajiondoa mwenyewe kwenye UISLAMU.
 
Kwahiyo ndugu zangu Jackwillpower na CAPO DELGADO mna hitimisha kwamba walio wacatholic na waislam wote duniani ni watu wa shetani na hivyo jehanum inawahusu?

Mnijibu tafadhali
HAKIKA Jehanum inawahusu wasipotoka huko.

Kondoo humfuata Mchungaji, kama Mchungaji anaelekeza shimoni na Kondoo watatumbukia wasipomuepa Mchungaji.
 
Muislamu anaamini INJILI kuwa ni kitabu cha ALLAH, kama ilivyo kwa vitabu vya ZABURI ,TAURATI na QUR AN. Huyo muislamu anaeamini BIBLIA kuwa ni kitabu cha ALLAH atakuwa ameshajiondoa mwenyewe kwenye UISLAMU.
Sasa muulize huyo muislamu ZABURI,TORATI NA INJILI ZIPO WAPI AZILETE akuoneshe
 
Yaani unakwepa Maandiko na kuyabagua kwa kichaka una Yesu moyoni

Ndio maana mnauziwa mafuta , chumvi na keki kutoka kwa matapeli Kama mwamposa maana Hamsomi Maandiko


Daniel alitambua ukiwa wa Yerusalemu Hadi tarehe ya Kufa Yesu kwa kuvisoma vitabu ,wewe Ngumbaru unadanganya watu


Dan 9:2 SUV

katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, mimi Danieli, kwa kuvisoma vitabu, nalifahamu hesabu ya miaka, ambayo neno la BWANA lilimjia Yeremia nabii, ya kuutimiza ukiwa wa Yerusalemu, yaani, miaka sabini.
Ni kweli kabisa ilipaswa iwe hivi kwa sababu yalikuwa hayajatimia bado yaliyotabiriwa na manabii. Kwa maana manabii walitabiri haya.
Soma Yeremia 31 : 31 - 34
 
YOHANA 14 :6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

MIMI SIWEZI KUJIBU ILA NITAMUULIZA YESU ANASEMAJE.

ANASEMA YEYE NDIO NJIA NA KWELI NA UZIMA . MTU HAENDI KWA MUNGU ILA KWA KUMFUATA YESU.

TAZAMENI NIMEKWISHA KUWAONYA.
Habar?
Kwanza tuangalie history tunazoziita dini na mitume yao (kwa kuzingatia mafundisho ya kiislamu)
1. Uyahudi, mtume wanaemfuata ni Mussa A. W (Jesus) ambae utume wake ulikuja kabla ya Masihi Issa A. W,
2. Christian, mtume wake ni Issa (Jesus) ambae utume wake ulikuja baada ya Mussa na kabla ya Muhammad S. W
3. Islam mtume wake ni Muhamad ambae alitanguliwa na Mussa na Issa
Kwanini dini hizi zinafanana?
Dini hizi zinafanana kwa sababu zifuatazo:
1. Dini zote zinafuata vitabu vilivyoshushwa na Muungu, Tautart for wafuasi wa Mussa ie Uyahudi, injil wafuasi wa Issa ie Christian na Quran wafuasi wa Muhammad ie Islam.
2. Kwa kuwa msingi wa vitabu vyake umetoka kwa Muumba mbingu na Ardhi nk, nilazima kwaasilimia kubwa zitakuwa na mafundisho yanayolingana au kufanana.
3. Mitume wote hao ni wateule wa Muungu na wamekuja kufundisha jamii zao namna ya kumtambua Muungu wao na kuweka mahusiano baina ya binaadamu na Muumba wao ie Ibada.
Kwanini dini hizi zinatafautiana?
Dini hizi zinatofauutiana kwenye baadhi ya mambo ya Ibada na sheria lakini hazitafautiani kwenye misingi mikuu ya dini kama vile Kuwepo muungu, malengo ya kuumbwa binaadamu nk. Tofauti kubwa imekuja kwenye baadhi ya sheria kwamfano kipindi cha Mussa unapoingia najisi kwenye mwili unatakiwa ukate eneo la mwili kwa kutoa nyama ya mwili kwa sehemu iliongia, wakati wa Muhammad unatakiwa usafishe tu kwa kutumia maji au mchanga, idadi ya swala, namna ya kufunga, adhabu za wizi na uzinzi nk
Kwanini kuna upinzani baina ya dini hizi?
Upinzani wa dini hizi umekuja kutokana na wafuasi wa dini zenyewe kwamfano wafuasi wa Mussa ie uyahudi waliendelea kufuata mafundisho ya Mussa kwenye wakati ambao sio awamu ya mussa ie awamu ya Jesus, wakati hawakutakiwa kufanya hivyo na ubaya zaidi ukaidi huu ulipelekea kubadilisha baadhi ya maandiko ya kitabu kitabu chao ie Taurat ili kujenga hoja ya kutakumfuata mtume Jesus.
Vile vile wafuasi wa Jesus waliendelea kufuata mafundisho ya Jesus katika kipindi cha Muhamad, ambacho hawastahiki kufanya hivyo na ubaya zaidi katika kufanikisha lengo la kutokumfuata na wao wakalazimika kubadilisha baadhi ya maandiko yao ili kupata hoja za kutokumfuata mtume wa awamu mpya ya kiutume.
Kwa upande wa mitume awamu iliohai kwa sasa ni ya Muhamad kwani hakujaletwa mtume mwengine baada ya kwake.
Kwanini hoja ya kuwa Islamu umewekwa na christian?
Majibu, wanaosema hevyo wameoanisha feature nyingi zilizopo kwenye christian ambazo vile vile zimechukuliwa kwenye mafundisho ya uislamu, na kwa kuwa mafundisho ya christian au uyahudi yalitoka kwa muungu lakini binaadamu eidha kwa kusahau au kukusudia kupotosha baadhi yamafunzo hayafanywi kwa usahihi au yanafanywa kwa usahihi kwa kulinganisha na yalipo teremka kwenye awamu husika, ila kwa awamu ya Muhamad ambae ndio current in power yameimarishwa na kutekelezwa kwanjia bora zaidi (nb mafundisho ya dini ya uislamu sio behaviour za waislamu ninachokizungumzia hapa)
Conclusion.
Kwa kuwa dini ni mwenendo wa maisha yakila siku yanayoongozwa na itikadi ya kuwepo kwa Muungu, na kuwepomajukumu yaviumbe vilivyoumbwa kwa muumba wao, na ikiwa utaamini kuwa Muungu huyo ni mmoja na hana mshirika kwenye uungu wake, ukiamini hivyo haijalishi nimfuasi wa mussa, issa au mitume ilipita nyuma zaidi kama adam, nuh, yussuf nk imani hio inaitwa ni uislamu ie kujisalimisha (surrendered kwa Muungu), kwa hio issue sio jina issue ni sifa za jina, ikikwa jina lolote la dini ikiwa na feature tulizoeleza unaweza ukaita uislamu au jina jingine.
Naomba kuwasilisha
 
Habar?
Kwanza tuangalie history tunazoziita dini na mitume yao (kwa kuzingatia mafundisho ya kiislamu)
1. Uyahudi, mtume wanaemfuata ni Mussa A. W (Jesus) ambae utume wake ulikuja kabla ya Masihi Issa A. W,
2. Christian, mtume wake ni Issa (Jesus) ambae utume wake ulikuja baada ya Mussa na kabla ya Muhammad S. W
3. Islam mtume wake ni Muhamad ambae alitanguliwa na Mussa na Issa
Kwanini dini hizi zinafanana?
Dini hizi zinafanana kwa sababu zifuatazo:
1. Dini zote zinafuata vitabu vilivyoshushwa na Muungu, Tautart for wafuasi wa Mussa ie Uyahudi, injil wafuasi wa Issa ie Christian na Quran wafuasi wa Muhammad ie Islam.
2. Kwa kuwa msingi wa vitabu vyake umetoka kwa Muumba mbingu na Ardhi nk, nilazima kwaasilimia kubwa zitakuwa na mafundisho yanayolingana au kufanana.
3. Mitume wote hao ni wateule wa Muungu na wamekuja kufundisha jamii zao namna ya kumtambua Muungu wao na kuweka mahusiano baina ya binaadamu na Muumba wao ie Ibada.
Kwanini dini hizi zinatafautiana?
Dini hizi zinatofauutiana kwenye baadhi ya mambo ya Ibada na sheria lakini hazitafautiani kwenye misingi mikuu ya dini kama vile Kuwepo muungu, malengo ya kuumbwa binaadamu nk. Tofauti kubwa imekuja kwenye baadhi ya sheria kwamfano kipindi cha Mussa unapoingia najisi kwenye mwili unatakiwa ukate eneo la mwili kwa kutoa nyama ya mwili kwa sehemu iliongia, wakati wa Muhammad unatakiwa usafishe tu kwa kutumia maji au mchanga, idadi ya swala, namna ya kufunga, adhabu za wizi na uzinzi nk
Kwanini kuna upinzani baina ya dini hizi?
Upinzani wa dini hizi umekuja kutokana na wafuasi wa dini zenyewe kwamfano wafuasi wa Mussa ie uyahudi waliendelea kufuata mafundisho ya Mussa kwenye wakati ambao sio awamu ya mussa ie awamu ya Jesus, wakati hawakutakiwa kufanya hivyo na ubaya zaidi ukaidi huu ulipelekea kubadilisha baadhi ya maandiko ya kitabu kitabu chao ie Taurat ili kujenga hoja ya kutakumfuata mtume Jesus.
Vile vile wafuasi wa Jesus waliendelea kufuata mafundisho ya Jesus katika kipindi cha Muhamad, ambacho hawastahiki kufanya hivyo na ubaya zaidi katika kufanikisha lengo la kutokumfuata na wao wakalazimika kubadilisha baadhi ya maandiko yao ili kupata hoja za kutokumfuata mtume wa awamu mpya ya kiutume.
Kwa upande wa mitume awamu iliohai kwa sasa ni ya Muhamad kwani hakujaletwa mtume mwengine baada ya kwake.
Kwanini hoja ya kuwa Islamu umewekwa na christian?
Majibu, wanaosema hevyo wameoanisha feature nyingi zilizopo kwenye christian ambazo vile vile zimechukuliwa kwenye mafundisho ya uislamu, na kwa kuwa mafundisho ya christian au uyahudi yalitoka kwa muungu lakini binaadamu eidha kwa kusahau au kukusudia kupotosha baadhi yamafunzo hayafanywi kwa usahihi au yanafanywa kwa usahihi kwa kulinganisha na yalipo teremka kwenye awamu husika, ila kwa awamu ya Muhamad ambae ndio current in power yameimarishwa na kutekelezwa kwanjia bora zaidi (nb mafundisho ya dini ya uislamu sio behaviour za waislamu ninachokizungumzia hapa)
Conclusion.
Kwa kuwa dini ni mwenendo wa maisha yakila siku yanayoongozwa na itikadi ya kuwepo kwa Muungu, na kuwepomajukumu yaviumbe vilivyoumbwa kwa muumba wao, na ikiwa utaamini kuwa Muungu huyo ni mmoja na hana mshirika kwenye uungu wake, ukiamini hivyo haijalishi nimfuasi wa mussa, issa au mitume ilipita nyuma zaidi kama adam, nuh, yussuf nk imani hio inaitwa ni uislamu ie kujisalimisha (surrendered kwa Muungu), kwa hio issue sio jina issue ni sifa za jina, ikikwa jina lolote la dini ikiwa na feature tulizoeleza unaweza ukaita uislamu au jina jingine.
Naomba kuwasilisha
Mkuu umeandika vyema sana natamani ungeedit na kutia space ingependeza sana, ila hakuna shida maana uandishi nao ni kipaji kama vingine.
 
UKRISTO umeteswa sana Hapa Duniani.

Nikiangali Yesu alivyokuwa anateseka kwa wa Rumi na Wayahudi. Machozi YANANITOKA.

Nikiangalia akina Petro, Akina YOHANA akina Stefano. Akina Jerome.

Wakristo wameteseka sana
Hii Imani imepiganiwa usiku na mchana.
Mateso waliyopitia mitume enzi za kina Petro na Paulo pia nyakati hizo zitawapata WATAKATIFU nyakati hizi za mwisho.

Huwezi hubiri INJILI iliyonyooka usiipate matatizo Kutoka Kwa mfumo wa catolicano uliojishikamanisha na Dola.

Nyakati hizo ngumu zinarudi tena inapoanza kuhubiriwa Ile INJILI ya Ufalme sawasawa na Mathew 24:1....


Lazima watu wafungwe, wakatwe vichwa Kwa ajili ya kristo.

Amen.
 
Hebu leta ushahidi wa Yesu kusema tufuate hizi amri.
Hapo umeandika ngonjera kisha ukaambatisha na Amri 10 za Mungu.

Kumbuka awe ni Yesu na si vinginevyo.

Usiwe mbishi sana mkuu tunakusaidia.

MATHAYO 22. 36.

36 Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?
Mathayo 22:36

37 Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.
Mathayo 22:37

38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
Mathayo 22:38

39 Na ya pili yafanana nayo, nayo ni hii, Mpende jirani yako kama nafsi yako.
Mathayo 22:39

AMRI TANO ZA MUNGU ZINAMUHUSU MUNGU DIRECT.
KAMA NILIVYO ONYESHA.
Usiabudu miungu, ikumbuke sabato, usitaje jina nk.

AMRI KUU YA PILI. INAHUSU MATENDO YAKO NA JIRANI YAKO.
PERSONAL.
USIUE, USIIBE , USIZINI, USITAMANI MALI.
 
Habar?
Kwanza tuangalie history tunazoziita dini na mitume yao (kwa kuzingatia mafundisho ya kiislamu)
1. Uyahudi, mtume wanaemfuata ni Mussa A. W (Jesus) ambae utume wake ulikuja kabla ya Masihi Issa A. W,
2. Christian, mtume wake ni Issa (Jesus) ambae utume wake ulikuja baada ya Mussa na kabla ya Muhammad S. W
3. Islam mtume wake ni Muhamad ambae alitanguliwa na Mussa na Issa
Kwanini dini hizi zinafanana?
Dini hizi zinafanana kwa sababu zifuatazo:
1. Dini zote zinafuata vitabu vilivyoshushwa na Muungu, Tautart for wafuasi wa Mussa ie Uyahudi, injil wafuasi wa Issa ie Christian na Quran wafuasi wa Muhammad ie Islam.
2. Kwa kuwa msingi wa vitabu vyake umetoka kwa Muumba mbingu na Ardhi nk, nilazima kwaasilimia kubwa zitakuwa na mafundisho yanayolingana au kufanana.
3. Mitume wote hao ni wateule wa Muungu na wamekuja kufundisha jamii zao namna ya kumtambua Muungu wao na kuweka mahusiano baina ya binaadamu na Muumba wao ie Ibada.
Kwanini dini hizi zinatafautiana?
Dini hizi zinatofauutiana kwenye baadhi ya mambo ya Ibada na sheria lakini hazitafautiani kwenye misingi mikuu ya dini kama vile Kuwepo muungu, malengo ya kuumbwa binaadamu nk. Tofauti kubwa imekuja kwenye baadhi ya sheria kwamfano kipindi cha Mussa unapoingia najisi kwenye mwili unatakiwa ukate eneo la mwili kwa kutoa nyama ya mwili kwa sehemu iliongia, wakati wa Muhammad unatakiwa usafishe tu kwa kutumia maji au mchanga, idadi ya swala, namna ya kufunga, adhabu za wizi na uzinzi nk
Kwanini kuna upinzani baina ya dini hizi?
Upinzani wa dini hizi umekuja kutokana na wafuasi wa dini zenyewe kwamfano wafuasi wa Mussa ie uyahudi waliendelea kufuata mafundisho ya Mussa kwenye wakati ambao sio awamu ya mussa ie awamu ya Jesus, wakati hawakutakiwa kufanya hivyo na ubaya zaidi ukaidi huu ulipelekea kubadilisha baadhi ya maandiko ya kitabu kitabu chao ie Taurat ili kujenga hoja ya kutakumfuata mtume Jesus.
Vile vile wafuasi wa Jesus waliendelea kufuata mafundisho ya Jesus katika kipindi cha Muhamad, ambacho hawastahiki kufanya hivyo na ubaya zaidi katika kufanikisha lengo la kutokumfuata na wao wakalazimika kubadilisha baadhi ya maandiko yao ili kupata hoja za kutokumfuata mtume wa awamu mpya ya kiutume.
Kwa upande wa mitume awamu iliohai kwa sasa ni ya Muhamad kwani hakujaletwa mtume mwengine baada ya kwake.
Kwanini hoja ya kuwa Islamu umewekwa na christian?
Majibu, wanaosema hevyo wameoanisha feature nyingi zilizopo kwenye christian ambazo vile vile zimechukuliwa kwenye mafundisho ya uislamu, na kwa kuwa mafundisho ya christian au uyahudi yalitoka kwa muungu lakini binaadamu eidha kwa kusahau au kukusudia kupotosha baadhi yamafunzo hayafanywi kwa usahihi au yanafanywa kwa usahihi kwa kulinganisha na yalipo teremka kwenye awamu husika, ila kwa awamu ya Muhamad ambae ndio current in power yameimarishwa na kutekelezwa kwanjia bora zaidi (nb mafundisho ya dini ya uislamu sio behaviour za waislamu ninachokizungumzia hapa)
Conclusion.
Kwa kuwa dini ni mwenendo wa maisha yakila siku yanayoongozwa na itikadi ya kuwepo kwa Muungu, na kuwepomajukumu yaviumbe vilivyoumbwa kwa muumba wao, na ikiwa utaamini kuwa Muungu huyo ni mmoja na hana mshirika kwenye uungu wake, ukiamini hivyo haijalishi nimfuasi wa mussa, issa au mitume ilipita nyuma zaidi kama adam, nuh, yussuf nk imani hio inaitwa ni uislamu ie kujisalimisha (surrendered kwa Muungu), kwa hio issue sio jina issue ni sifa za jina, ikikwa jina lolote la dini ikiwa na feature tulizoeleza unaweza ukaita uislamu au jina jingine.
Naomba kuwasilisha
Unahitaji elimu kubwa Sana

Yesu hakuja kubadili TORATI

Muhamad mafundisho yake yanatofautiana pakubwa na Waliomtangulia

Wayahudi sio wajinga ,walipotaka kumuhakiki UTUME wake ,ndipo ugomvi ukaanza

Quran imejaa aya za kuwachukia Wayahudi
 
Yaani wewe umezijua habari za Yesu bila kusoma vitabu (Biblia)

Nyie ndio manabii wa Uongo
Kuna kukutana na YESU Kwa kusoma maandiko,


Na Kuna kukutana na YESU live akaingia ndani ya moyo na kukuelekeza katika neno lake, Paulo akikutana naye live.

Pia wapo waliokutana na YESU Kwa Kutokea na YESU live.

Wengi wanamsoma Yesu kwenye maandiko kama HADITHI tu,

Hawajui kuwa sisi Yesu anaongea nasi daily, anatufundisha na kuongoza njia yetu kupitia Roho MTAKATIFU.

Amen
 
HAKIKA Jehanum inawahusu wasipotoka huko.

Kondoo humfuata Mchungaji, kama Mchungaji anaelekeza shimoni na Kondoo watatumbukia wasipomuepa Mchungaji.
Amina mtumishi. Je roho yako haikuumi kuchukua majukumu yasiyokuhusu (kuhukumu)?



Waebrania 10:10

Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.

Waebrania 10:16
Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, <br>Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, <br>Na katika nia zao nitaziandika; <br>ndipo anenapo,

Waebrania 10:17
Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.

Soma upya waebrania kitabu chote unaweza kupata mafundisho kidogo
 
Wasabato wako friendly na uislamu kuliko na Raman Catholic kwanini, msabato anakwambia bora mara 10 kua na jirani muislamu kuliko kua na jirani RC, kwanini wafuasi wa kristo hapendani kiasi hicho.
Wasabato wanahangaika sana na Roman Catholic kila siku wanakuja na nadharia tofauti dhidi ya Roman Catholic lakini Catholics hawana muda wa kujibishana nao wanaendelea na mambo yao
 
AMRI TANO ZA MUNGU ZINAMUHUSU MUNGU DIRECT.
KAMA NILIVYO ONYESHA.
Usiabudu miungu, ikumbuke sabato, usitaje jina nk.

AMRI KUU YA PILI. INAHUSU MATENDO YAKO NA JIRANI YAKO.
PERSONAL.
USIUE, USIIBE , USIZINI, USITAMANI MALI
Haya ni maneno yako mkuu.

Mungu ni upendo, aliufunua kwetu kupitia Kristo. Ndiyo maana Yesu alikuwa anaongea upendo tu na si vinginevyo.

Acheni kuwabebesha watu mizigo ambayo Israeli hawakuiweza. Kristo kaja amechukua mizigo yote alafu kuna watu bado mnalazimisha watu waendelee kujitia ndani ya laana (torati) ambayo hata ninyi mnao ihubiri hamwezi kuibeba.

Kwanini mnakuwa wanafiki enyi ndugu? Je hamkumuelewa paulo pamoja na barua zake nyingi?

Waebrania 10:1
Basi torati, kwa kuwa ni kivuli cha mema yatakayokuwa, wala si sura yenyewe ya mambo hayo, kwa dhabihu zile zile wanazozitoa kila mwaka daima, haiwezi wakati wo wote kuwakamilisha wakaribiao.
 
Amina mtumishi. Je roho yako haikuumi kuchukua majukumu yasiyokuhusu (kuhukumu)?



Waebrania 10:10

Katika mapenzi hayo mmepata utakaso, kwa kutolewa mwili wa Yesu Kristo mara moja tu.

Waebrania 10:16
Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, <br>Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, <br>Na katika nia zao nitaziandika; <br>ndipo anenapo,

Waebrania 10:17
Dhambi zao na uasi wao sitaukumbuka tena kabisa.

Soma upya waebrania kitabu chote unaweza kupata mafundisho kidogo
Kumtahadharisha Kondoo anayeelekea kutumbukia shimoni bila kujua Si KUMHUKUMU Bali ni kumualert aamue na kugeuza direction.

Dini haikupeleki Mbingu yoyote. Imani katika KRISTO ndiyo tiketi ya Mbinguni.

Ukijidanganya unamwamini Yesu na ukabaki ktk Dini hizo ambazo zina mkataba na kuzimu, utakataliwa katika GETI la Mbinguni.

Toka huko, Mwombe Mungu akusaidie kujua mahala sahihi ya kukusanyika pamoja na WATAKATIFU, waendao Mbinguni.

Mimi nimetoka huko pia, usidhani tunakuhukumu, tunakupenda.
Amen
 
Ukijidanganya unamwamini Yesu na ikabaki ktk Dini hizo ambazo zina mkataba na kuzimu, utakataliwa katika GEYI la Mbinguni.
Una una uhakika na hiyo mikataba au ni maneno na chuki zako tu ulizopandikizwa?

Fikria nje ya box
 
Back
Top Bottom