Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ndio maana nasema hamnaga akili Tyndale kwanza ni mtu hakuwa ata na maarifa ya kutisha. Alafu King Henry VIII mwenyewe baada ya kujua tafsiri zake ni potofu aliban na kuchoma bibilia zilizotafsiriwa na tyndale. Mwisho Tyndale alikufa mikononi mwa secular authorities sio kanisa nyamaf. Hamsomi mnabeba beba ujinga. Wapotoshaji, mawakala wa master of deceiption shetani.
PAPA FRANCIS AOMBA MASAMAHA

Papa Francis awaomba radhi Waprotestanti ,BBC WANARIPOTI

26 Januari 2016

Katika hatua ya kujumuisha umoja wa kikristo, Papa Francis amewaomba radhi waumini wa Kiprotestanti kutokana na unyanyasaji walioupata kutoka kanisa Katoliki miaka ya nyuma.
 
Hujaweka evidence ndugu, weka quotation ya biblia.
Vinginevyo yatakuwa ni maneno yako
1 Yohana 2:2 SRUV

naye ndiye kafara ya upatanisho wa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.


JE WAISLAMU WANAKUBALIANA NA YESU KUFA MSALABANI?
 
1 Yohana 2:2 SRUV

naye ndiye kafara ya upatanisho wa dhambi zetu; wala si kwa dhambi zetu tu, bali na kwa dhambi za ulimwengu wote.


JE WAISLAMU WANAKUBALIANA NA YESU KUFA MSALABANI?
Haya siyo maneno ya Yesu ndugu (huyo ni Yohana akiwaandikia wayahudi). Kumbuka tulipo anzia.
Leta maneno ya Yesu tafadhali
 
UKRISTO umeteswa sana Hapa Duniani.

Nikiangali Yesu alivyokuwa anateseka kwa wa Rumi na Wayahudi. Machozi YANANITOKA.

Nikiangalia akina Petro, Akina YOHANA akina Stefano. Akina Jerome.

Wakristo wameteseka sana
Hii Imani imepiganiwa usiku na mchana.
 
Haya siyo maneno ya Yesu ndugu (huyo ni Yohana akiwaandikia wayahudi). Kumbuka tulipo anzia.
Leta maneno ya Yesu tafadhali
Kwanza Unadhani Yohana aliandika kwa kujitungia ?

Yohana alikuwa anaandika anayoambiwa na Yesu

Siamini baadhi ya mistari ,naamini BIBLIA NZIMA

unanipangia wapi nichomoe Maandiko wapi niache?
 
Ndio maana nasema hamnaga akili Tyndale kwanza ni mtu hakuwa ata na maarifa ya kutisha. Alafu King Henry VIII mwenyewe baada ya kujua tafsiri zake ni potofu aliban na kuchoma bibilia zilizotafsiriwa na tyndale. Mwisho Tyndale alikufa mikononi mwa secular authorities sio kanisa nyamaf. Hamsomi mnabeba beba ujinga. Wapotoshaji, mawakala wa master of deceiption shetani.
“Chini ya mawazo na desturi za kijerumani, mateso yalitumiwa kidogo kuanzia karne ya 9 hadi karne ya 12, lakini kwa uhuikaji wa sheria ya Romani mateso yalianzishwa tena katika karne ya 12…Katika mwaka 1252 (Papa) Innocent IV aliruhusu adhabu ya mateso juu ya waasi wa kidini kwa kutumia mamlaka ya kiserikali, na mateso yakaja kuwa na mahali palipojulikana katika utaribu wa mahakama ya kiuchunguzi.” –New Catholic Encyclopedia, arts. “Inquisition”, “Auto-da-Fe’,” na “Massacre of St Bartholomew’s Day.”

Pia Machi 12, 2000 Papa Yohana Paulo II (John Paul II) alikubali kwamba kanisa liliua Wakristo zaidi ya milioni 100, na akaomba msamaha kwa ajili ya mauaji yaliyofanywa na kanisa


(thibitisha hapa: Truth Provided Newsletter -The Pope and Forgiveness?)
 
Haya siyo maneno ya Yesu ndugu (huyo ni Yohana akiwaandikia wayahudi). Kumbuka tulipo anzia.
Leta maneno ya Yesu tafadhali
Hakuna Sehemu Yohana au Yeyote alikuwa anajiamdikia tu


UFUNUO 1

Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
 
Kwahiyo ndugu zangu Jackwillpower na CAPO DELGADO mna hitimisha kwamba walio wacatholic na waislam wote duniani ni watu wa shetani na hivyo jehanum inawahusu?

Mnijibu tafadhali

YOHANA 14 :6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

MIMI SIWEZI KUJIBU ILA NITAMUULIZA YESU ANASEMAJE.

ANASEMA YEYE NDIO NJIA NA KWELI NA UZIMA . MTU HAENDI KWA MUNGU ILA KWA KUMFUATA YESU.

TAZAMENI NIMEKWISHA KUWAONYA.
 
Kwanza Unadhani Yohana aliandika kwa kujitungia ?

Yohana alikuwa anaandika anayoambiwa na Yesu

Siamini baadhi ya mistari ,naamini BIBLIA NZIMA

unanipangia wapi nichomoe Maandiko wapi niache?
Kumbuka #76 tuli ahidiana Yesu ndio iwe reference Yetu.

Kubali kuwa umefail kuleta maneno ya Yesu, kwahiyo na hitimisha kuwa unaongea dhana kutoka kwenye kichwa chako.
 
YOHANA 14 :6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

MIMI SIWEZI KUJIBU ILA NITAMUULIZA YESU ANASEMAJE.

ANASEMA YEYE NDIO NJIA NA KWELI NA UZIMA . MTU HAENDI KWA MUNGU ILA KWA KUMFUATA YESU.

TAZAMENI NIMEKWISHA KUWAONYA.
Sawa sawa. Je catholic wanamfuata Yesu au hawamfuati? Jibu mtumishi
 
Kama uislam ulianzishwa na hao Basi hao waliouanzisha wanatakiwa warudi wakajifunze tena kwenye uislam maana manabii wa uongo na mabadiliko ya vitabu yako kwao ila kwa waislam wameendelea kuwa na msimamo mmoja kitabu kimoja kisicho na mabadiliko yoyote na hakuna nabii yeyote wa uongo katokea kwao
 
Hakuna Sehemu Yohana au Yeyote alikuwa anajiamdikia tu


UFUNUO 1

Ufunuo wa Yesu Kristo, aliopewa na Mungu awaonyeshe watumwa wake mambo ambayo kwamba hayana budi kuwako upesi; naye akatuma kwa mkono wa malaika akamwonyesha mtumwa wake Yohana;
Huu ni Ufunuo, na ule tunaoongelea ni waraka. Bila shaka una akili ya kutofautisha
 
Huu ni Ufunuo, na ule tunaoongelea ni waraka. Bila shaka una akili ya kutofautisha
Yote kaandika Yohana

Kwa hiyo kwa akili yako YOHANA alikuwa anajitungia kutoka akilini mwake?

Au unataka nibague maandiko,?
 
Ukitaka kuufahamu vizuri uislamu na chimbuko lake soma Qur'an wachana na porojo za wagalatia utapotea.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Quran Tena mkuu.
Ngoja tukuwekee hoja uichambue.


QURAN IMEANDIKWA NA SHETANI MPINGA KRISTO NA NABII WA UONGO.

QURAN 2:97 - Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.

ADUI WA MALAIKA WA MUNGU NDIE ALIYEITEREMSHA QURAN

1.JE ADUI WA MALAIKA WA MUNGU ATAKUWA NANI?????

2. JE ADUI WA MUNGU NI NANI????

JIBU NI SHETANI.

SITAMANI WAKRISTO JIJIFANANISHE NA HILO SHIMO LA KUZIMU UFUNUO 9
 
Huu ni Ufunuo, na ule tunaoongelea ni waraka. Bila shaka una akili ya kutofautisha
Unaiamini BIBLIA NZIMA?

Tuanzie hapa kwanza ...

Au wewe Ni Kama waislamu wanasema Biblia imetiwa mikono ila hawana hiyo Biblia halisi ambayo haijatiwa mikono

Ukiwaomba ushahidi wananukuu kwenye Biblia Tena
 
Yote kaandika Yohana

Kwa hiyo kwa akili yako YOHANA alikuwa anajitungia kutoka akilini mwake?

Au unataka nibague maandiko,?
Barua/waraka ameandika kwa akili zake.
Ufunuo alifunuliwa na Kristo mwenyewe habari zinazomhusu Yesu.

Usiogope, soma upya injili baada ya hapo njoo na ushahidi
 
Back
Top Bottom