Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Unaiamini BIBLIA NZIMA?

Tuanzie hapa kwanza ...

Au wewe Ni Kama waislamu wanasema Biblia imetiwa mikono ila hawana hiyo Biblia halisi ambayo haijatiwa mikono

Ukiwaomba ushahidi wananukuu kwenye Biblia Tena
Naamini Kristo ambaye ni Neno la Mungu.
Na siyo biblia.
 
Barua/waraka ameandika kwa akili zake.
Ufunuo alifunuliwa na Kristo mwenyewe habari zinazomhusu Yesu.

Usiogope, soma upya injili baada ya hapo njoo na ushahidi
Acha uzushi na uongo,

Unataka kusema hata Paulo nyaraka zake zote kaandika kwa akili yake ?


Hebu unapoamua kujadili Biblia ,usibague Maandiko


Paulo amechangia kiasi kikubwa agano jipya vitabu karibu 20+ na zote nyaraka , Je na yeye katumia Akili zake?
 
Sawa sawa. Je catholic wanamfuata Yesu au hawamfuati? Jibu mtumishi

Tafuta amli kumi za Mungu.
Kama wanazifuata basi watakuwa wanamfuata Yesu.

Mimi siwezi kuwajibia ngoja Biblia yenyewe ijibu kama wanazifuata.
TUANZE NA HIZI TANO AMBAZO NI SAWA NA MOJA YA KUMPENDA MUNGU YA YESU.



2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kutoka 20:3 . HAWAFUATI. ( 1 )

4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:4 HAWAFUATI ( 2 )

7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Kutoka 20:7

8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Kutoka 20:8

10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
Kutoka 20:11

HAWAFUATI (. 3 )


KATIKA AMRI YA KWANZA YA KUMPENDA MUNGU AMRI 5 WAMEFELI AMRI 3.
 
IMG_20230426_191150.jpg

na hawa nao amewaleta nani?
 
Porojo. Umeandika weeee, ila HAKUNA KANISA LINAITWA ROMAN CATHOLIC punguani wewe. Mnawashwawashwa sana, sisi tupo kimya tumekubali matokeo yetu, mnatuchokoza, kama motoni unahisi tunaenda sawa. Haiwahusu muache umbea na usengenyaji. Ndio maana hamjielewi.
STUKA wewe, Warumi waliohusika kushirikiana na wayahudi kumsulubisha Yesu na walipambana na mitume wa YESU Dunia nzima,

Hao hao warumi waabudu miungu ghafula wakaanzisha dini ya ukatoliki baada ya Rome empire kuanguka.

Shida wa wengi wetu, wamerithishwa dini Kutoka mababu.

Ucatolicano kamwe haijawahi kujitofautisha na Dola Hadi Leo Dunia nzima.

Toka huko ni Dini ya mnyama, waliookoka ndio Hasa True followers of Jesus.

STUKA .
 
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
Hata Mtume mwenyewe hakuwa Muislam, alikuwa mpagani tu kisha akashukiwa na shetani na kumpa haya za Qur'an. Wasiojuwa watabisha ila ukweli ndiyo huu.
 
Kristo hapatikani vitabuni. Anakaa ndani yangu. Kumbe unaongelea Kristo anaekaa vitabuni ndio maana unapotosha ndugu.

Jipe muda kujifunza zaidi na utaacha kuhukumu wengine bila sababu
Yaani wewe umezijua habari za Yesu bila kusoma vitabu (Biblia)

Nyie ndio manabii wa Uongo
 
Hi theory/dhana ya Uislamu kuazishwa na RC imebunia hivi karibuni na propagandist wa Vatican baada ya kugundua kwamba uislamu unatafuna jamii yao kwa kasi and Islam is unstoppable, "if you can't win them join them" ndo wazungu wanacho fanya kwa hiyo theory, wataka wajimilikishe uislam kwa theories za kubuni, Islam is the fastest growing religion in Europe as well as in the whole world, researcher wanasema by 2050 Uislamu ndo itakua the majority religion katika nchi nyingi katika Bara la Ulaya ikiongozwa na Wingereza Ufaransa na Ujerumani, Wazungu wanaanza kujianda kisaikolojia vizazi wao kupokea Uislamu.
Hii sio kweli, nachofahamu waislam wanazaliana zaidi so population inavyokua na wao wanaongezeka ila sio kwamba inakua sababu wazungu wanasilimu

Then hivi vitisho vya Uislam kuimeza ulaya vimeanza tokea enzi za Ottoman mpaka akavamia Uturuki iliyokua nchi ya kikatoliki na kuisilimisha. Ila alipojaribu kuvamia makao makuu ya Ukatoliki huko Italia ndio ukawa mwisho wa Mehmet Ali maana alifariki siku Moja kabla ya uvamizi. Na tokea hapo hakuna Muislam alijaribu kuivamia Ulaya.

So as much as siwakubali hao wakatoliki ila sidhani wanaweza ruhusu Uislam uimeze ulaya. Zaidi utasikia vita zinaongezeka uarabuni Ili population ipungue
 
Tafuta amli kumi za Mungu.
Kama wanazifuata basi watakuwa wanamfuata Yesu.

Mimi siwezi kuwajibia ngoja Biblia yenyewe ijibu kama wanazifuata.
TUANZE NA HIZI TANO AMBAZO NI SAWA NA MOJA YA KUMPENDA MUNGU YA YESU.



2 Mimi ni Bwana, Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa.
3 Usiwe na miungu mingine ila mimi.
Kutoka 20:3 . HAWAFUATI. ( 1 )

4 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia.
Kutoka 20:4 HAWAFUATI ( 2 )

7 Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.
Kutoka 20:7

8 Ikumbuke siku ya Sabato uitakase.
Kutoka 20:8

10 lakini siku ya saba ni Sabato ya Bwana, Mungu wako, siku hiyo usifanye kazi yo yote, wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mtumwa wako, wala mjakazi wako, wala mnyama wako wa kufuga, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.
11 Maana, kwa siku sita Bwana alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba; kwa hiyo Bwana akaibarikia siku ya Sabato akaitakasa.
Kutoka 20:11

HAWAFUATI (. 3 )


KATIKA AMRI YA KWANZA YA KUMPENDA MUNGU AMRI 5 WAMEFELI AMRI 3.
Hebu leta ushahidi wa Yesu kusema tufuate hizi amri.
Hapo umeandika ngonjera kisha ukaambatisha na Amri 10 za Mungu.

Kumbuka awe ni Yesu na si vinginevyo.
 
Kristo hapatikani vitabuni. Anakaa ndani yangu. Kumbe unaongelea Kristo anaekaa vitabuni ndio maana unapotosha ndugu.

Jipe muda kujifunza zaidi na utaacha kuhukumu wengine bila sababu
Yaani unakwepa Maandiko na kuyabagua kwa kichaka una Yesu moyoni

Ndio maana mnauziwa mafuta , chumvi na keki kutoka kwa matapeli Kama mwamposa maana Hamsomi Maandiko


Daniel alitambua ukiwa wa Yerusalemu Hadi tarehe ya Kufa Yesu kwa kuvisoma vitabu ,wewe Ngumbaru unadanganya watu


Dan 9:2 SUV

katika mwaka wa kwanza wa kumiliki kwake, mimi Danieli, kwa kuvisoma vitabu, nalifahamu hesabu ya miaka, ambayo neno la BWANA lilimjia Yeremia nabii, ya kuutimiza ukiwa wa Yerusalemu, yaani, miaka sabini.
 
Back
Top Bottom