Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Hii sio kweli, nachofahamu waislam wanazaliana zaidi so population inavyokua na wao wanaongezeka ila sio kwamba inakua sababu wazungu wanasilimu

Then hivi vitisho vya Uislam kuimeza ulaya vimeanza tokea enzi za Ottoman mpaka akavamia Uturuki iliyokua nchi ya kikatoliki na kuisilimisha. Ila alipojaribu kuvamia makao makuu ya Ukatoliki huko Italia ndio ukawa mwisho wa Mehmet Ali maana alifariki siku Moja kabla ya uvamizi. Na tokea hapo hakuna Muislam alijaribu kuivamia Ulaya.

So as much as siwakubali hao wakatoliki ila sidhani wanaweza ruhusu Uislam uimeze ulaya. Zaidi utasikia vita zinaongezeka uarabuni Ili population ipungue
Data kutokana na sensa ya Uk zinasema wakirsto wanaoyngua kwa kiasi kikubwa huku wengi wao wanageukia kuwa Atheist na wengine Waislamu .
 
Una una uhakika na hiyo mikataba au ni maneno na chuki zako tu ulizopandikizwa?

Fikria nje ya box
Si HADITHI ni HAKIKA.

Tunaye Roho mtakatifu, Roho wa YESU ndani yetu anayeyathibitisha hayo.

Hadi Popee wote tangu wa kwanza, hayupo aliyeenda Mbinguni hata mmoja baada ya kufa, wote wapo kuzimu ilipo mikataba Yao,

Sasa kama viongozi wenu wanaripiti pale, vipi kuhusu wafuasi?

Watu Hawa wanawapeleka maelfu Kila siku kuzimu wanapokufa Kwa kuabudu katika nyumba hizo zenye IBADA za masanamu ya shetani.
 
Kumtahadharisha Kondoo anayeelekea kutumbukia shimoni bila kujua Si KUMHUKUMU Bali ni kumualkert aamue na kugeuza direction.
Ndugu umeanza kugeuka maandishi yako mwenyewe.
Je haya si maneno yako?
HAKIKA Jehanum inawahusu

Sisi sote tumeokolewa kwa neema na imani ya Kristo (si imani yetu), hivyo si mkatoliki, mwislamu wala mtu wa aina yoyote ile bali tu wamoja katika kristo.
Haina haja ya kumuona huyu wala yule haifai bali tuishi kwa upendo na kusaidiana na Yesu atafanya makao ndani yetu.

Amini kuwa Yesu akikaa ndani yako halitakutoka neno lolote la hukumu wala ubaya hautakuwa pamoja nawe.
 
Si HADITHI ni HAKIKA.

Tunaye Roho mtakatifu, Roho wa YESU ndani yetu anayeyathibitisha hayo.

Hadi Popee wote tangu wa kwanza, hayupo aliyeenda Mbinguni hata mmoja baada ya kufa, wote wapo kuzimu ilipo mikataba Yao,

Sasa kama viongozi wenu wanaripiti pale, vipi kuhusu wafuasi?

Watu Hawa wanawapeleka maelfu Kila siku kuzimu wanapokufa Kwa kuabudu katika nyumba hizo zenye IBADA za masanamu ya shetani.
🤣🤣 Pole sana mkuu. Hiki ulicho andika ni takataka
 
Sijawahi kuona hoja nyepesi na za kipuuzi kama hii la dai la kuwa Ukatili kuzalisha uislamu.

Uzi wako una chai nyingi kiasi ambacho hata nashinda nianze na hoja na kuona uzi wenyewe ni upuuzi moja kwa moja.

Ukisoma kwa umakini uislamu historia yake Pamoja na Qu'ran kwa ujumla hitimisho linakuja kuwa haiwi kwa uislamu , Qu'ran Pamoja na utume wa Mtume Muhammad (upon him be peace and blessings of Allah) utoke kwa mwengine isipokuwa Allah Mola mlezi wa ulimwengu wote.
 
Ndugu umeanza kugeuka maandishi yako mwenyewe.
Je haya si maneno yako?


Sisi sote tumeokolewa kwa neema na imani ya Kristo (si imani yetu), hivyo si mkatoliki, mwislamu wala mtu wa aina yoyote ile bali tu wamoja katika kristo.
Haina haja ya kumuona huyu wala yule haifai bali tuishi kwa upendo na kusaidiana na Yesu atafanya makao ndani yetu.

Amini kuwa Yesu akikaa ndani yako halitakutoka neno lolote la hukumu wala ubaya hautakuwa pamoja nawe.
Unatafsiri vibaya NEEMA,

Neema ni kukataa UOVU na dhambi. Neema ipi inakupa ruhusa ya kuabudu sanamu?

Neema ipi inakupa ruhusa ya kuzini Kwa utashi wako na kuamini utaokolewa Kwa neema?

Neema ipi iliyokuruhusu kusali Kwa Rozali au Msaafu ambazo ni IBADA za mashetani?

Ndomana nakwambia, Ukimwamini Yesu na kumpokea Roho MTAKATIFU, lazima atakutoa usiabudu katika nyumba hizo.
 
🤣🤣 Pole sana mkuu. Hiki ulicho andika ni takataka
Tangu mwanzo Waliookoka na kujazwa Roho Mtakatifu, Walio Raia wa Mbinguni huonekana VICHAA.

Yesu alisema, kama Ulimwengu umenikataa Mimi, lazima utawakataa nanyi pia. Tuliona mitume wakiteswa na kuuwawa na watu wa DINI kama ninyi.

Nakuombea Yesu akutane nawe kama alivyokutana na Paulo Ili uijue Neema Hasa ni NINI.

Amen
 
Unatafsiri vibaya NEEMA,

Neema ni kukataa UOVU na dhambi. Neema ipi inakupa ruhusa ya kuabudu sanamu?

Neema ipi inakupa ruhusa ya kuzini Kwa utashi wako na kuamini utaokolewa Kwa neema?

Neema ipi iliyokuruhusu kusali Kwa Rozali au Msaafu ambazo ni IBADA za mashetani?

Ndomana nakwambia, Ukimwamini Yesu na kumpokea Roho MTAKATIFU, lazima atakutoa usiabudu katika nyumba hizo.
Neema ni nini?
 
Tangu mwanzo Waliookoka na kujazwa Roho Mtakatifu, Walio Raia wa Mbinguni huonekana VICHAA.

Yesu alisema, kama Ulimwengu umenikataa Mimi, lazima utawakataa nanyi pia. Tuliona mitume wakiteswa na kuuwawa na watu wa DINI kama ninyi.

Nakuombea Yesu akutane nawe kama alivyokutana na Paulo Ili uijue Neema Hasa ni NINI.

Amen
Hebu tueleze ndugu neema ni nini? Naweza kuelewa kupitia wewe
 
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
Uislam umeanza mwaka gani?
St. Ignatius kaanzisha shirika La Jesuit mwaka gani?
 
STUKA wewe, Warumi waliohusika kushirikiana na wayahudi kumsulubisha Yesu na walipambana na mitume wa YESU Dunia nzima,

Hao hao warumi waabudu miungu ghafula wakaanzisha dini ya ukatoliki baada ya Rome empire kuanguka.

Shida wa wengi wetu, wamerithishwa dini Kutoka mababu.

Ucatolicano kamwe haijawahi kujitofautisha na Dola Hadi Leo Dunia nzima.

Toka huko ni Dini ya mnyama, waliookoka ndio Hasa True followers of Jesus.

STUKA .
YANI HAKUNA KITU UTANIAMBIA NIKATOKA KWENYE KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME. HAKUNA. Hizo story za abunuasi za wasabato nimeshazisikia tangu mdogo nikaziamini ila kuja kufatilia vizuri ni uzushi mwingi. Kwanza kinawauma nini sisi tukifanya yetu? Hatujawalazimisha, kutwa kuwashwawashwa na wakatoliki. Hovyo na vikanisa vya uchochoroni vya kuanzishwa na manabii feki.
 
Data kutokana na sensa ya Uk zinasema wakirsto wanaoyngua kwa kiasi kikubwa huku wengi wao wanageukia kuwa Atheist na wengine Waislamu .
Yes lakini Bado Muslim population inaongezeka ulaya kutokana na kukimbia vita za huko uarabuni na pia kuzaliana kuliko white families.

Yaani wanaosilimu sio wengi kulinganisha na immigrants pamoja na population growth rate.
 
Kuna comment umenijibu kuwa nimeandika takataka,

So Si lazima uipate neema hiyo kupitia Mimi, utaipata kupitia wengine Mungu akipenda uipate.
Uvumilivu ni tunda la roho mtakatifu. Pasipo na uvumilivu roho hayupo.

Kumbuka ukijibu si kwa ajili yangu tu, bali ni kwa ajili ya wana Jf na kizazi kijacho
 
Dah kila nilipokuwa nasoma nimejikuta nasahau nilipotoka panasemaje,, ndefu sana mkuu.
 
YANI HAKUNA KITU UTANIAMBIA NIKATOKA KWENYE KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME. HAKUNA. Hizo story za abunuasi za wasabato nimeshazisikia tangu mdogo nikaziamini ila kuja kufatilia vizuri ni uzushi mwingi. Kwanza kinawauma nini sisi tukifanya yetu? Hatujawalazimisha, kutwa kuwashwawashwa na wakatoliki. Hovyo na vikanisa vya uchochoroni vya kuanzishwa na manabii feki.
Yesu hakuacha DINI yoyote.

Yesu aliacha IMANI na KANISA ambalo ni mtu aaminiye.

Wasabato pia wamekwama na Yao, hawamwamini Roho MTAKATIFU na hawaamini miujiza.

Bila Roho MTAKATIFU, Roho wa YESU, huwezi kumpendeza Mungu.

Njia ya Mbinguni ni nyemvamba na imesonga miiba, lakini njia ielekeayo upotevuni na kuzimu ni Pana sana, fikiri madhehebu na DINI hizo kubwa zimewafunga wangapi?

Mungu atusaidie kupita njia nyemvamba ielekeayo Mbinguni.

Amen
 
Ni ukweli ulio wazi UKATOLIKI NDIO UMEANZISHA Uislamu

kanisa katoliki hujifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha mapokeo yasiyo ya kibiblia. Kwa sababu Ukatoliki ni roho ileile na Uislamu, hii ndiyo sababu waislamu pia haiwaikanushi Biblia kwamba sio kitabu cha Mungu, badala yake nao wanajifanya kuiamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya kanisa katoliki kama yalivyoandikwa kwenye korani ambayo yanapingana vikali na hayopo kwenye Biblia wanayojidai kuiamini. Je unaweza kuniambia ni kwanini wote wakatoliki na waislamu hawaikatai Biblia, bali wanajifanya kuamini Biblia, lakini wanafundisha madogima ya korani? Ni kwa sababu shetani anapenda kuchanganya uongo na ukweli, ili kuteka roho za watu, anajua kama akiitofautisha Biblia kutoka kwenye korani uongo wake utakuwa wazi. Hii ndiyo njia anayotumia kupofusha roho nyingi kwa kuchanganya ukweli na uongo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Au sio.
 
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC. Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire. Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS. Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Dini zote uzionazo duniani ni tawi la ukatoliki, maprostetant wote ni watoto wa katoliki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
WAISLAMU wanasema Wakristo na Wayahudi wauwawe

Sera ile ile ya Roman Catholic

Nazi wa Katoliki waliwalazimisha Wayahudi kuwa Wakatoliki la sivyo wafe:


Chanzo kimoja kinasema: “Hitler pia alikuwa tayari kuzungumza na Askofu maoni yake juu ya swala la Wayahudi:

“Kwa upande wa Wayahudi, ninaendelea na sera ileile ambayo kanisa la Katoliki lilichukua kwa miaka mia tano, wakati lilipowaona Wayahudi kama watu wa Hatari na kuwasukumia katika mageto [ghettos] nk, kwa sababu lilijua jinsi Wayahudi walivyokuwa. Mimi siweki mashindano juu ya dini, lakini ninaona hatari kwa wawakilishi wa mashindano haya ya Kanisa na Serikali, na labda ninafanya Ukristo kuwa huduma kubwa.” —


(The Nazi Persecution of the Churches” by J.S. Conway, Pgs.25)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chanzo kimoja kinasema au sio.
 
Back
Top Bottom