Ukweli kuhusu Kanisa Katoliki kuanzisha Dini ya Kiislamu

Bila kuweka hizo unazoziita dogma.
Hoja yako ni Non-sense
 
Wafuasi wapya wanatiwa maji kichwani
 
Wasabato wako friendly na uislamu kuliko na Raman Catholic kwanini, msabato anakwambia bora mara 10 kua na jirani muislamu kuliko kua na jirani RC, kwanini wafuasi wa kristo hapendani kiasi hicho.
Roman Catholic wao wanasemaje?
 
Ukristo wa ukweli ni upi sasa?
Pentecostal au orthodox
 
Mi nikisomaga mada kama hizi huwa najikuta naamini kwamba mwisho wa dunia wanadamu wote tutaenda peponi. Kwa sababu mtoto anazaliwa anakuta wazazi wake ni waislam lazima na yeye ataanza kuamini katika uislam na mwingine anazaliwa anakuta wazazi wake ni wakristo naye analazimika kuwa mkristo..

Sisi tuliopo sasahivi hapa duniani tumekuta tayari mavitabu haya yameshaandikwa na si rahisi kujua maneno yapi ni ya Mungu na yapi ni ya shetani. Sioni kosa mtu kuamini katika uislam au ukristo kwa sababu dini tunarithi tu.

Mungu mwenyewe ameruhusu shetani nae awe na nguvu ya kuanzisha dini yake, na shetani ana nguvu kuliko mwanadamu... mwanadamu kumfata shetani ni rahisi sana kwa sababu ya nguvu za huyu shetani.

Ikitokea ikawa kweli kuna mambo ya kwenda peponi basi watu wote wataingia haijalishi we ni wa dini gani.
 
Upo sahihi, Uislamu ulitaka kudinda kwa Ukatoliki

Sema Catholic Ni hatari Sana ,kwasasa Uislamu umewekwa mfukoni


"Papa aligundua kuwa walichokuwa wameunda kilikuwa nje ya udhibiti aliposikia wanamwita kafiri.

Majenerali wa Kiislamu walikuwa wamedhamiria kuuteka ulimwengu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu na sasa walielekea Ulaya. Mabalozi wa Kiislamu walimwendea papa na kumuuliza. kwa mafahali wa papa kuwapa kibali cha kuvamia nchi za Ulaya.

"Vatikani ilikasirishwa; vita haikuepukika. Uwezo wa muda na udhibiti wa ulimwengu ulizingatiwa kuwa haki ya msingi ya papa. Hangefikiria kuishiriki na wale aliowaona kuwa wapagani.

"Papa aliinua majeshi yake na kuviita vita vya msalaba ili kuwazuia watoto wa Ishmaeli kunyakua Ulaya ya Kikatoliki. Vita vya msalaba vilidumu kwa karne nyingi na Yerusalemu ilitoka mikononi mwa papa.

"Uturuki ilianguka na Uhispania na Ureno zilivamiwa na vikosi vya Kiislam. Huko Ureno, waliita kijiji cha mlimani "Fatima" kwa heshima ya binti wa Muhammad, bila kuota kwamba kingekuwa maarufu ulimwenguni.
 
Mungu amekupa Utashi wa kuchanganua

Wangapi wanazaliwa katika Uislamu Tena wa itikadi kali na mwisho wanampokea Yesu
 
Nikweli wakatoliki wananguvu ndiyo maana baadhi ya mafundisho yake ya kipagani utayakuta kwa waprotestanti karibu wote mfano kitu kinachoitwa Utatu.
 
Mungu amekupa Utashi wa kuchanganua

Wangapi wanazaliwa katika Uislamu Tena wa itikadi kali na mwisho wanampokea Yesu
Sawa tuna utashi wa kuchanganua ila huu utashi hautoshi kabisa kuchanganua maswala ya dini. Ndio maana unakuta mtu anachanganua anafikia kuona uislam ni bora ila uchanganuaji wa mwingine anaona ukristo ndio sahihi. Hapo hawa watu watakuwa na kosa gani wakati uwezo wao wa kuchanganua umewatuma kuamini hivo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…