"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

"Ukweli" kuhusu kifo cha RPC Barlow ni huu hapa...

Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========

-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.

MY Take:

-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.

Maswali ni mengi wasitake kuvunga vunga;
1: Kikao cha harusi mpaka saa nane usiku, Vikao vya kamati za harusi huwa vikizidi sana ni saa 3usiku zaidi ya hapo ni zaidi ya mambo ya Harusi!
2: Kama Mwl. D. Moses alikuwa dada/ndugu yake, iweje mume wake/Bw. Shemeji wa Marehemu awe analalamika?
3: Ngunguli wenyewe wanadharau, iweje anakula mali za watu kisha unamrudisha mpaka getini nyumbani kwake?
Kamanda kama alikuwa anabofya kizenji mali za watu, atakuwa pamoja na "Sheikh Twain" jahunum!
 
Alikuwa hana uhusiano nzuri na JK. Tena aliwahi kuzuia mizigo ya JK
Under Riz1 control ikienda Uganda...."""""

Mtoa taarifa kasema jamaa alikuwa very strictly kwa kazi""" utiifu umemuua jamaa
!!!!!!!!

Jamani tujaribu kuwa serious kidogo - mambo ya utani wakati wa majonzi sio fresh hata kidogo - sijuhi kwa nini watu wanasahau kwamba JK licha ya kuwa RAIS, vile vile ni Commander in Chief! Swali ni je, ni commander gani wa Police/JWTZ worth his/her salt anaweza kuwa na ubavu wa kumfanyia insurbonation JK alafu akaendelea kubaki madarakani?

Kitu kingine, mkuu mbona Mh. JK ni mwenyeji wa Bwagamoyo - sasa ili la kusema mizigo yake iliwahi kuzuiwa kusafirishwa kwenda Uganda unamaanisha nini? JK anaposema/lalamika kwamba baadhi ya Watanzania tumegehuka na kuwa viwanda vya kuzalisha/kusema Uongo/uzushi atakuwa anakosea kweli?
 
Kuna polisi wengine wapo nje ya NChi wanaosoma ili waje waondoa hawa bila hata kuonana?
 
die Scheiße ist auf Scheiße Gott sei Dank starb dort sein das Ende aller Lügen und sündige hinfort nicht mehr weinen, seine liebe Frau und Söhne RIP .its nicht die bin glücklich für diese nicht wahr, aber so traurig Kaizer pliz tafsiri kimoyomoyo nisiondolewe bure jf na Meezy[/QUOTE

Was so da!!!!!s . es ist nicht normal oder?
ich weiß nicht aber der Tod ist der Tod alles hat sein Ende
 
polisi ni vema kusema ukweli kwa kila lililotokea, na hii italifanya liwe na uaminifu na jamii
na hivi vikao vya harusi mpk saa 8 usiku vikome
pia hivi vyeo tuvitumiage vizuri maana eti kwa vile yy ni kamanda wa mkoa basi anafungulia watu asiye wajua kioo cha gari usiku. tuwe waoga regardless wa vyeo tulivyonavyo
 
schweren Scheiße hat den Ventilator zu schlagen! Er dachte, es ist ein Geheimnis unter der Sonne ... schade.
 
Wakati naendelea kuwacheki (kuwaangalia), kama nawafahamu ama lah, ghafla nikasikia mlio wa bunduki kisha wale watu wakakimbia. Nikaanza kuona damu nyingi zinamwagika chini”, alisema mtoto Keny.
Huyu dogo fiksi! Mbona mwili inasemekana ulikutwa chini ya gari la marehemu. Mbona haongelei hicho kipengele. Nahisi hata kama hao majambazi walikuwa ndani ya nyumba hatosema. Ile simu iliyopigwa halafu mtu anakuja kuuliwa getini. I can smell a rat here
Tukio jingine lilitokea miezi michache iliyopita, ni lile la mwanasiasa maarufu jijini hapa, Seni Manumbu aliyeuawa kwa kupigwa risasi za moto na watu wasiojulikana, wakati alipokuwa akifunguliwa geti ili aingie nyumbani kwake.
Wakilinganisha maganda ya risasi watapata kujua kama ni kundi lilelile kwasababu MODUS OPERANDI yao inafanana. Hilo linaweza kusaidia kujua dhamira ya mauaji. Inaweza ikawa ni kundi la kukodiwa au ni genge la majambazi ambalo linaona kama hao watu ni vikwazo kwao. Pia kutumiwa na wanasiasa
 
hahahahaha hiyo imenichekesha sana eti ''Ingekua mtu kila anapozini anatoka kitundu wengine mngekua kama neti humu''....Pia kuna mzee mmoja alisema alianza kuzini kabla ya uhuru na aliacha miaka ya karibuni,kwa hiyo akadai kama zingekuwa zile organ (Female Organs) zinabandikwa mwilini...yeye angekuwa nazo hadi kwenye nyayo za miguu na pangekosekana sehemu ya kuziweka zaidi.hahahah
 
spot on mkuu, hii inatia shaka sana - mark you! It was, well - past midnight kwa nini hakufuatana na mlinzi wake.

mbona povu tena mtoa mada anasema imekuwa ni kawida yake kumrudisha mida hiyo ya usiku, na kama ni uhusiano ni wa muda mrefu , na huyo demu unaambiwa ni wa mtu hivyo nina imani huyo mlinzi licha ya kutumika kama mlizi vilevile alikuwa anatumika kama kuwadi kwa hivyo swala la demu kuwa na namba ya mlinzi sio la kutilia shaka
 
Mod Tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.

Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========

-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.

MY Take:

-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.


mkuu inaelekea unajua mengi kuhusu kifo cha kamanda Barlow, unaonaje ukipeleka taarifa hizo kwa IGP Mwema
 
Mod Tafadhali usiunganishe thread hii. Najua iko inayoripoti kifo, iko ya maswali.

Hii inahusu majibu na revelations zilizoingia kwenye dish langu.
===========

-Kamanda Barlow alikuwa na mwanamke ndani ya gari wakiwa peke yao wawili
-Mwanamke si dada yake wala ndugu yake
-Lilikuwa gari la binafsi na Kamanda aliendesha mwenyewe.
-Walitoka kwenye kikao La Kairo Hotel na siyo Florida Hotel kama IGP alivyosema katika taarifa yake
-Walipofika Kitangiri, Kamanda aliamua kumpeleka yule mama ndani kwnye uchochoro badala ya kumwacha barabarani
-Si mara ya kwanza Kamanda kumpeleka mama yule eneo lile
-Walipoingia uchochoroni, waliwakuta the so called "polisi jamii" wakiwa kwenye doria
-Kamanda alishusha kioo na kuwauliza ni kina nani, na wao walimjibu kuwa ni polisi jamii.
-Aliwahoji kwa nini wamevaa mikanda ya polisi wakati waliishazuiwa
-Ulitokea ubishi kidogo
-Kamanda akainua redio call kuwaita vijana wake waje kuwakamata
-Polisi jamii wakamdaka kumnyanganya redio call hiyo na kumpiga risasi ya shingoni
-Wakamvuta na kumlaza chini ya uvungu wa gari
-Yule mama ndiye aliyemwita mlinzi wa RPC na kumwambia aje kumchukua "mzee" maana ameuawawa
-Mama anaisaidia polisi hata sasa.

MY Take:

-Jeshi la polisi linajaribu kusafisha hali ya hewa kwa kufanya damage control
-Mme wa mama yule amekuwa akilalamika kuwa analiwa mali yake
-Kuna uwezekano, polisi jamii walijua kamanda anakuja saa ile na yule mama, na walitekeleza maagizo waliyopewa
-Kuna other underlying issues ndani ya jeshi la polisi Mwanza
-Uchunguzi hautapata ushirikiano wa kutosha kwa sababu ya chuki kubwa kati ya jamii na jeshi hilo.

Wewe ungefaa kuwepo ndani ya CIA ya bongo...Naomba hii tamthilia ipewe jina ya THE NAKED TRUTH na wewe(JF Senior Expert Member) ukawa Director.
 
Mke wa mtu "Thumu"

Huyu kaaacha mkewe na watoto ndani ya nyumba na kuhangaika na kiburudisho kingine
Wakati mwanamke kaacha mmewe ndani na kwenda kuhangaika na Kamanda
Mungu tusaidie..
 
Mmmmh hapo mie bado kidogo, Polisi jamii bunduki wanaitoa wapi, na kama kulikuwa na mabishano kabla hata ya kufikia kunyang'anywa redio call lazma tayari mazingira yalishakuwa ya hatari kwa mtu yeyote hasa tena kwa kiongozi mkubwa wa mkoa kama huyo tena kwa kuzingatia nafasi yake ni wazi kwamba atakuwa na maadui wengi, hivyo ktk hali ya kawaida lazima mtu ashtuke kabla ya maamuzi ya hatari kama hayo yalofikiwa kutokea na pasina utata hii ilikuwa ni planned na hao wauaji walijipanga kwa ajili ya tukio hilo.
 
Back
Top Bottom