The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Asprin unaitwa na Eliza kaunta namba mbiliNatamani nikuelewe lakini nashindwa.
Anyway at least kuna mtu ananikumbuka wakati sipo, hata kama nimeenda msalani haijalishi. Ishu ni kukumbukwa! AD una maumivu sehemu yoyote ya mwili, hasa zile unazozificha na manguo...damn! hivi nani aligundua kitu maazi?
Natamani nikuelewe lakini nashindwa.
Anyway at least kuna mtu ananikumbuka wakati sipo, hata kama nimeenda msalani haijalishi. Ishu ni kukumbukwa! AD una maumivu sehemu yoyote ya mwili, hasa zile unazozificha na manguo...damn! hivi nani aligundua kitu maazi?
hehehe panga foleni, namalizana na keren happuch halaf yuko AD, anafatia husninyo halaf ndo zam yako. hakikisha haukuji na nguo nyingi ili kuepusha over heat ya plasmodium ambao mara nyingi sayansi inasema wakipata joto sana wanafanya mutation na kusababisha mgonjwa kuwa addicted na klorokwini na marazi kuwa kroniki.:lol::lol::lol::lol::lol: mwenzio malaria imepanda kichwani njoo nitibuu:lol::lol::lol::lol::lol:
hehehe panga foleni, namalizana na keren happuch halaf yuko AD, anafatia husninyo halaf ndo zam yako. hakikisha haukuji na nguo nyingi ili kuepusha over heat ya plasmodium ambao mara nyingi sayansi inasema wakipata joto sana wanafanya mutation na kusababisha mgonjwa kuwa addicted na klorokwini na marazi kuwa kroniki.
halaf ukishakutibiwa unaombwa usiwaambie wenzio, foleni ni kubwa na muda hautoshi.
ilikuwa ukuwe namba moja lakini keren Happuch kaja na biblia mkononi ikabidi nimeogopa. lakini ameanza kupona. ukiskia kengele ingia. unaombwa upake lipustiki ya kutosha ili tuangalie kama mbu anaweza kutafautisha rangi ya lipustiki na rangi ya damu?, msinielewe vibaya, najarib kutumia wagonjwa wangu kufanya baazi ya research muhim kwa jamiiHahahahahahahah lol
Sina la kusema
Ila nashukuru mie number 2
Mmmhhh
ilikuwa ukuwe namba moja lakini keren Happuch kaja na biblia mkononi ikabidi nimeogopa. lakini ameanza kupona. ukiskia kengele ingia. unaombwa upake lipustiki ya kutosha ili tuangalie kama mbu anaweza kutafautisha rangi ya lipustiki na rangi ya damu?, msinielewe vibaya, najarib kutumia wagonjwa wangu kufanya baazi ya research muhim kwa jamii
umeanza kuvunja masharti ya daktari hata haujafika klinik? unajua huduma zangu zinaangalia source ya marazi kabla tiba. weka nyekundu kabla sijacancel apointment.Hahahahahahahah lol
nilikuwa nafikiria lolliondo
Lakini naamini klorokwin
Itanitibu.
Hahah
mmmhhh
Kuhusu lipstick nyekundu
Mie si pendi..
Duuhh itabidi ubadili rangi..
Mmhh
hehehe panga foleni, namalizana na keren happuch halaf yuko AD, anafatia husninyo halaf ndo zam yako. hakikisha haukuji na nguo nyingi ili kuepusha over heat ya plasmodium ambao mara nyingi sayansi inasema wakipata joto sana wanafanya mutation na kusababisha mgonjwa kuwa addicted na klorokwini na marazi kuwa kroniki.
halaf ukishakutibiwa unaombwa usiwaambie wenzio, foleni ni kubwa na muda hautoshi.
Zaburi:23 inasema tutibu wagonjwa kwa foleni.Duh namba 4 poor Maria :lol::lol:
umeanza kuvunja masharti ya daktari hata haujafika klinik? unajua huduma zangu zinaangalia source ya marazi kabla tiba. weka nyekundu kabla sijacancel apointment.
tutafkiria hiyo ukija kwenye tiba ya pili. kwa marazi yako wewe inaonekana unahitaji kuhuzuria tiba mara kama nne hivi. nalog out kidogo kuna mke wa mheshimiwa flani kaja kuomba ushauri nasaha acha nimalizane nae. tutaonana baada ya kama one hour hiviDuuh
Nimepigania kupata no. 2
Borea nifuate masharti ya doctor
Mmmhhh
Lakini mie napenda natural lip gloss..
Mmhhh llol
Duh namba 4 poor Maria :lol::lol:
Mimi na wewe ni kitu kimoja
Haina maana ooohhh oohh
Haina maana kunyimana lol
U know si wezi kukusahau dear
Nilikuacha upunguze pressure kwanza..
nway kila nikisoma poster zako
Bp inapanda..
uso unakuwa mwekundu
mikono na miguu Una legea
Jasho je mbamba lani tiririka
Toka usoni
JE ASPRIN YAWEZA TIBU UGONJWA WANGU
AU NIANZE SAFARI LOLLIONDO...
tutafkiria hiyo ukija kwenye tiba ya pili. kwa marazi yako wewe inaonekana unahitaji kuhuzuria tiba mara kama nne hivi. nalog out kidogo kuna mke wa mheshimiwa flani kaja kuomba ushauri nasaha acha nimalizane nae. tutaonana baada ya kama one hour hivi
hehehe senks fellow tablet kwa kusisitiza hapo red.JF lazima ielewe hizi tiba zina ubaguzi flani, zinahusu jinsia inayoota matiti natural tu. hii midume usiipe hata ushauri wa kwenda loliondo bana ,kila ikipungua hapa duniani ndio bora, tupate kurisi mila za kingi mswati.Fellow tablet we log out tu, hata usiporudi usijali ntakuwakilisha....kwa kuanzia niambie ulipoishia kuwatibia hawa binadamu ( Naamini uliwaambia hawa watu kuwa dawa zetu ni maalum na spesheli kwa binadamu anayeenda haja ndogo akiwa amechuchumaa.)....Wanaomwaga kimiminika kichafu mwilini wakiwa wamesimama, wawahi foleni kwa babu kule Loliondo,
hehehe senks fellow tablet kwa kusisitiza hapo red.JF lazima ielewe hizi tiba zina ubaguzi flani, zinahusu jinsia inayoota matiti natural tu. hii midume usiipe hata ushauri wa kwenda loliondo bana ,kila ikipungua hapa duniani ndio bora, tupate kurisi mila za kingi mswati.
kuhusu update: wagonjwa wawili tayari wamezuia kutapika ovyo ovyo lakini wamesisitiza nisiwataje kwahiyo tumia ugreti thinka kuwaelewa halaf unaweza ukawamalizia kwa dozi ya aspirin. JF bila wagonjwa wa jinsia ya kike inawezekana.
hahahahahaha nimecheka sanaa, hivi vidonge viwili ni balaa!
hahahahahahaha mimi ni katika wale wanaopanga foleni kijiji cha Samunge, kata ya Samunge, tarafa ya Sale, wilaya ya Ngorongoro, mkoa wa ArushaThats women medicine calling....you have been notified, warned and will be banned soon if you are a man! If you are a she..... you are FORGIVEN and you will be treated free of chaji fo ze whole yia! Clap yua hendz tafazali!!