hehehe senks fellow tablet kwa kusisitiza hapo red.JF lazima ielewe hizi tiba zina ubaguzi flani, zinahusu jinsia inayoota matiti natural tu. hii midume usiipe hata ushauri wa kwenda loliondo bana ,kila ikipungua hapa duniani ndio bora, tupate kurisi mila za kingi mswati.
kuhusu update: wagonjwa wawili tayari wamezuia kutapika ovyo ovyo lakini wamesisitiza nisiwataje kwahiyo tumia ugreti thinka kuwaelewa halaf unaweza ukawamalizia kwa dozi ya aspirin. JF bila wagonjwa wa jinsia ya kike inawezekana.