The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Dah!!! MkuuHa ha ha nimechemsha maisha town mkubwa nimehamia Shinyanga huku natumia sm tu mkuu, niko village mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah!!! MkuuHa ha ha nimechemsha maisha town mkubwa nimehamia Shinyanga huku natumia sm tu mkuu, niko village mbaya.
shemeji kale ka phd ka uöngo umekapata chuo gani vile?
usjali jamaa ana makengeza, nikiandika AD yeye anasoma DA, tuendelee tuSsshuuuu uussiiiseeemeeh
kwaaa ngguvuuu. .
hahaha lol
Nilisoma darasa moja na mwenyekiti wa bunge wa hesabu za serikali, tulichukua PhD za kastama kea pale Bom Bom Kijiwe samri
Chuo kinaitwa MSUMALI UNACHOMA KOTE KOTE COLLEGE OF MANAGEMENT AND BUSINESS
Antibiotics CPU kaenda wapi
Hii thread we ndo kamanda
ikiharibiwa
Mimi na wewe tutakula
kwenye sahani mbili tofauti
hahahha lol
sasa hii ni ID au muvi ya kanumba?Tokea nimejiunga JF sijawahi ku-log out hata siku moja sababu ID yangu ina hatimiliki na iko certified na ISO pia nina mpango wa kuilist ID yangu pale DSE ili muweze kununua shares
umetisha kama kikombe cha babu.
dah! tukuanzishie sredi la harambee nini? waswahili wabaya sana! itakuwa wamekuloga tuHa ha ha nimechemsha maisha town mkubwa nimehamia Shinyanga huku natumia sm tu mkuu, niko village mbaya.
heheheeh dah! lol. khaaa!
:lol::lol::lol: Hata DA ukiigeuza inakuwa ni ADusjali jamaa ana makengeza, nikiandika AD yeye anasoma DA, tuendelee tu
Ukifika nyumbani tutajuana vizuri leo subiriHahahahahahahah
Uwiiii mie Leo sina hamu..
TF nisamehe bure
Imenibidi ni cheke..
Mbavu zangu..
Hapana banaa mimi sio hao banaa title ya muvi kiingereza ndani kiswahilisasa hii ni ID au muvi ya kanumba?
huu wimbo kaimba nani?:lol::lol::lol: Hata DA ukiigeuza inakuwa ni AD
mkuu mbona unamvunjia heshima samuel jakson wa bongoHapana banaa mimi sio hao banaa title ya muvi kiingereza ndani kiswahili
Ameimba Jay Z ft Tabu Ley, Zaiko Langalanga na Wanaume Halisihuu wimbo kaimba nani?
heheheeh dah! lol. khaaa!
hii ni foot calling: sheria za JF haziruhusu. wakikuban naondoka na lizzySema kama unabisha sio miguu yako?